Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Anaandika mhe Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba chama chake kitafuata taratibu zote za kisheria kudai haki pia wanaunga mkono tamko la mwenyekiti wa chama hicho pamoja mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA mhe Tundu Lissu kwamba lazima wananchi wafanye maandamano ya kudai haki ya wagombea wao na usawa katika uchaguzi kutokana na wagombea wengi wa vyama vya upinzani kuenguliwa.
Wakati tunaendelea na hatua zote za kisheria ( hatutaacha hata moja ) pia tunaunga mkono wito wa Mwenyekiti wa Chama Taifa @SeifSharifHamad na Mgombea wa @ChademaTz @TunduALissu kuandamana Nchi nzima kutaka wagombea wetu warejeshwe. @TumeUchaguziTZ iwe makini sana sana.
MY TAKE: Kudai haki ni jambo la lazima mahala popote pale duniani ambapo haki za wengine zinakandamizwa lakini vyama pinzani vinatakiwa kutambua kwamba vitisho dhidi ya serikali sio njia sahihi ya kudai haki.
Wakati tunaendelea na hatua zote za kisheria ( hatutaacha hata moja ) pia tunaunga mkono wito wa Mwenyekiti wa Chama Taifa @SeifSharifHamad na Mgombea wa @ChademaTz @TunduALissu kuandamana Nchi nzima kutaka wagombea wetu warejeshwe. @TumeUchaguziTZ iwe makini sana sana.
MY TAKE: Kudai haki ni jambo la lazima mahala popote pale duniani ambapo haki za wengine zinakandamizwa lakini vyama pinzani vinatakiwa kutambua kwamba vitisho dhidi ya serikali sio njia sahihi ya kudai haki.