Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Tutaandamana nchi nzima kudai haki ya wagombea wetu walio enguliwa kwenye uchaguzi

Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Tutaandamana nchi nzima kudai haki ya wagombea wetu walio enguliwa kwenye uchaguzi

Na haki huwa haiombwi bali hupiganiwa, haki hupambaniwa.
 
Uchaguzi wa mwaka huu ni mwepesi sana.

Wapinzani wamechoka mapema sana wanapanga kuvuruga uchaguzi

Kuandamana kwa ajili ya majimbo 18 wakati Kuna viti zaidi 250 ni uamuzi wa hovyo sana

Ni dhahiri wapinzani wamegundua hawamuwezi Magufuli kwenye sanduku,wanatafuta kila mbinu ya kuharibu uchaguzi,ili ionekane wameonewa
Kwa wepesi wote huu, ungetakiwa uulize wakuu wako chamani, Kwanini waogope kuweka mpira dimbani? Kwanini wanabaka demokrasia kwa kutafuta usindi wamezani?
 
Back
Top Bottom