Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Tutaandamana nchi nzima kudai haki ya wagombea wetu walio enguliwa kwenye uchaguzi

Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Tutaandamana nchi nzima kudai haki ya wagombea wetu walio enguliwa kwenye uchaguzi

Kaka Zitto uchaguzi huu hakuna kujitoa na agenda kuu za kampeni ziwe mbili tu kudai Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi,wasipokubali hiyo tarehe 28 October inakuwa Sikh ya maandamano ya kudai katiba mpya na time huru ya uchaguzi,hakunana kupiga kura bila ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
ACT na Chadema naweza kuwaita vyama rafiki, ila visivyo na muungano.
 
Anaandika mhe Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba chama chake kitafuata taratibu zote za kisheria kudai haki pia wanaunga mkono tamko la mwenyekiti wa chama hicho pamoja mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA mhe Tundu Lissu kwamba lazima wananchi wafanye maandamano ya kudai haki ya wagombea wao na usawa katika uchaguzi kutokana na wagombea wengi wa vyama vya upinzani kuenguliwa.

Wakati tunaendelea na hatua zote za kisheria ( hatutaacha hata moja ) pia tunaunga mkono wito wa Mwenyekiti wa Chama Taifa @SeifSharifHamad na Mgombea wa @ChademaTz @TunduALissu kuandamana Nchi nzima kutaka wagombea wetu warejeshwe. @TumeUchaguziTZ iwe makini sana sana.


MY TAKE: Kudai haki ni jambo la lazima mahala popote pale duniani ambapo haki za wengine zinakandamizwa lakini vyama pinzani vinatakiwa kutambua kwamba vitisho dhidi ya serikali sio njia sahihi ya kudai haki.
Haki siyo hisani, ila inapiganiwa. "A right is always fought for through threats or physical confrontation".
 
Labda Kama wataandamana huko Twita Ila siyo huku mtaani.

Sasahivi hatupoi leo tukishamaliza tu kukiwasha Dodoma tunahamia kesho kwa mkapa kuungana na timu ya Wananchi.

Sasa kwa jinsi Wananchi tulivyo busy na Mambo ya Furaha na mhimu kama haya tutapata Muda wa kuandamana kwa ajili ya upuuzi wa wachimia njaa Wachache tu.

Hatupo tayari mtusamehe.
Usichanganye mambo. CCM siyo Yanga. Au kwa kuwa Jezi za Yanga zinafanana na sare ya CCM?
 
Anaandika mhe Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba chama chake kitafuata taratibu zote za kisheria kudai haki pia wanaunga mkono tamko la mwenyekiti wa chama hicho pamoja mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA mhe Tundu Lissu kwamba lazima wananchi wafanye maandamano ya kudai haki ya wagombea wao na usawa katika uchaguzi kutokana na wagombea wengi wa vyama vya upinzani kuenguliwa.

Wakati tunaendelea na hatua zote za kisheria ( hatutaacha hata moja ) pia tunaunga mkono wito wa Mwenyekiti wa Chama Taifa @SeifSharifHamad na Mgombea wa @ChademaTz @TunduALissu kuandamana Nchi nzima kutaka wagombea wetu warejeshwe. @TumeUchaguziTZ iwe makini sana sana.


MY TAKE: Kudai haki ni jambo la lazima mahala popote pale duniani ambapo haki za wengine zinakandamizwa lakini vyama pinzani vinatakiwa kutambua kwamba vitisho dhidi ya serikali sio njia sahihi ya kudai haki.
Mtaandamana Twitter,Facebook na instagram au ?Maana sioni Mtanzania atakaeandamana.
 
Ofa ya lowasa ilikuwa kubwa ila mkamdhalau sasa mna kibalaka wa beberu ambae mlimpigania na kumpa sifa kuliko wengine hapo ufipa, sasa cha moto mnakiona. Badala ya kutoa tambo za mafuliko yasiyo zuilika kwa mikono, sasa manapanga kufanya fujo, mmekata tamaa mapema sana hata jogoo halijawika?

Matamshi yenu ni ya hasira baada ya kuona hali jana.

Plei makamada.
Vipi mwenzetu? Hukuhitimu "KKK"?
 
Wakati nyie wenyewe mmeusika kuwaondoa wagombea wa Chadema
 
Anaandika mhe Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba chama chake kitafuata taratibu zote za kisheria kudai haki pia wanaunga mkono tamko la mwenyekiti wa chama hicho pamoja mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA mhe Tundu Lissu kwamba lazima wananchi wafanye maandamano ya kudai haki ya wagombea wao na usawa katika uchaguzi kutokana na wagombea wengi wa vyama vya upinzani kuenguliwa.

Wakati tunaendelea na hatua zote za kisheria ( hatutaacha hata moja ) pia tunaunga mkono wito wa Mwenyekiti wa Chama Taifa @SeifSharifHamad na Mgombea wa @ChademaTz @TunduALissu kuandamana Nchi nzima kutaka wagombea wetu warejeshwe. @TumeUchaguziTZ iwe makini sana sana.


MY TAKE: Kudai haki ni jambo la lazima mahala popote pale duniani ambapo haki za wengine zinakandamizwa lakini vyama pinzani vinatakiwa kutambua kwamba vitisho dhidi ya serikali sio njia sahihi ya kudai haki.
KWA HIYO HIYO HAKI WAISUBIRI WALETEWE KWENYE SAHANI?
 
Hizo hatua za kisheri fanyeni tu kutimiza wajibu ila kwa tulipofika, maandamano ndio njia sahihi iliyobaki.
Lakini Tanzania tuna watu wenye uelewa wa hiki tunachozungumza? Wangapi wako radhi kuandamana?
 
Anaandika mhe Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba chama chake kitafuata taratibu zote za kisheria kudai haki pia wanaunga mkono tamko la mwenyekiti wa chama hicho pamoja mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA mhe Tundu Lissu kwamba lazima wananchi wafanye maandamano ya kudai haki ya wagombea wao na usawa katika uchaguzi kutokana na wagombea wengi wa vyama vya upinzani kuenguliwa.

Wakati tunaendelea na hatua zote za kisheria ( hatutaacha hata moja ) pia tunaunga mkono wito wa Mwenyekiti wa Chama Taifa @SeifSharifHamad na Mgombea wa @ChademaTz @TunduALissu kuandamana Nchi nzima kutaka wagombea wetu warejeshwe. @TumeUchaguziTZ iwe makini sana sana.


MY TAKE: Kudai haki ni jambo la lazima mahala popote pale duniani ambapo haki za wengine zinakandamizwa lakini vyama pinzani vinatakiwa kutambua kwamba vitisho dhidi ya serikali sio njia sahihi ya kudai haki.
Ombi langu mkuu kabla ya maandamano waainishe sababu zilizotumika kuwaengua wagombea hao. Ili basi Basi tuwepo kwenye same page and same pain Ila hii ya kutuambia tuandamane wakati hatuelezwi sababu slza msingi za kuandamana naona kunayo shida pahala.
 
If this was successful submitted then nawashauri watu wahoji kwa Nini mtu kaenguliwa na sababu ziwekwe wazi, maana inaonekana hadi unborn wamepewa na wajumbe nafasi ya kuchukua na kujaza form. Na Mimi/ sisi wapiga kura sikubali uzembe wa tangu wajumbe, mpaka mteule utusumbue! Tupo kiakili awamu hii!
[emoji116][emoji3577]
IMG_20200829_140101.jpeg
 
Mtanisamehe kwa wale ambao nitawakera ila kama kuna Mwanasiasa Mnafiki na ambaye si wa 'Kumuamini' kwa 100% ni huyu Zitto Kabwe wenu.
Huwa nafuatilia topic zako huwa hupindishi ukweli.
Zake huwa anategea kila gape ili kujinufaisha binafsi.
Sasa anataka kuitumia chadema kukwea maana amegundua aliingia choo cha kike kwa uteuzi wa mgombea wa urais huku bara.
 
CCM wamekuwa wakiendesha siasa za hila. Mwanademokrasia hawezi kupoteza muda wake kumwengua mpinzani wake bali hutumia muda wake mwingi kushindana kwa kupigiwa kura.

Mara nyingi kiongozi wako akiwa ni mtu wa tabia fulani, na wafuasi wake humfuata.

Rais hajui demokrasia, hajui haki, siyo mcha Mungu bali ni muigizaji, wakati wote alipokuwa mbunge alikuwa akipita kwa hila bila ya kupigiwa kura na wapiga kura. Sasa ameondoka na hulka yake yote na kuiingiza ndani ya chama. Leo wafuasi wake, hata wale ambao mwanzoni walionekana kuwa ni timamu katika mambo mengi, wametekwa na matendo na tabia zisizo za kistaarabu za kiongozi wao. Wanashangilia na kukumbatia uovu.

Kufuata taratibu za kisheria ni kupoteza muda. Rais amenajisi mihili mikuu ya Jamhuri. Mahakama na bunge zimefanywa kuwa ni taasisi za Chama.

Wananchi ni lazima tuidai haki kwa nguvu. Na watu wajue kuwa njia za kistaarabu kuweza kufanya kazi endapo tu unakabiliana na mtu mstaarabu, siyo huyu wa sasa. Huyu ni kiongozi anayependa kutumia nguvu na mabavu, hawezi kuelewa mpaka na sisi tututmie nguvu na mabavu.

Zito usipoteze muda kufuata hizo taratibu za kisheria. Fanyeni kampeni kubwa nchi nzima hada kwenye miji yote angalao kwa siku 10 kwaajili ya kuiandaa kazi takatifu ya kujenga utawala wa sheria, haki na demokrasia. Baada ya hapo maandamano yaanze ya kumlazimisha Rais kutii katiba na sheria na kuacha siasa za hila.

Sent using Jamii Forums mobile app

Bado upo kwenye madini?
 
Anaandika mhe Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba chama chake kitafuata taratibu zote za kisheria kudai haki pia wanaunga mkono tamko la mwenyekiti wa chama hicho pamoja mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA mhe Tundu Lissu kwamba lazima wananchi wafanye maandamano ya kudai haki ya wagombea wao na usawa katika uchaguzi kutokana na wagombea wengi wa vyama vya upinzani kuenguliwa.

Wakati tunaendelea na hatua zote za kisheria ( hatutaacha hata moja ) pia tunaunga mkono wito wa Mwenyekiti wa Chama Taifa @SeifSharifHamad na Mgombea wa @ChademaTz @TunduALissu kuandamana Nchi nzima kutaka wagombea wetu warejeshwe. @TumeUchaguziTZ iwe makini sana sana.


MY TAKE: Kudai haki ni jambo la lazima mahala popote pale duniani ambapo haki za wengine zinakandamizwa lakini vyama pinzani vinatakiwa kutambua kwamba vitisho dhidi ya serikali sio njia sahihi ya kudai haki.
Inasemekana kuna biashara zinafanyika.
Tujiulize vitu vya kufikirisha.Hivi nyie viongozi,sio chanzo cha haya matatizo?Mtu anajiunga CHAMA LEO,KESHO anachukuwa form ya kugombea,huyu kweli ni mkereketwa au mfanyabiashara?
Pili baada ya formu kuchukuliwa,kulikuwa na jitihada zo zote za wataalamu wenu wa sheria kuelekeza namna nzuri ya jizijaza?
Viambatanisho vinavyotakiwa kuambatanishwa kwa mujibu wa sheria za tume ya uchaguzi?
Kabla ya uchukuaji wa fomu si kunakuwa na semina endelezi kati ya vyama na tume ya uchaguzi?Mrejesho wa makubaliano ya semina hiyo,vinawafikiwa WAGOMBEA?
Angalini mambo ya msingi sio tu kuilaumu tume.
Kwa uwelewa wangu fomu hujazwa kwa mujibu wa sheria,na si huruma au chama.Mbona wagombea wote wa zamani fomu zao zimejazwa sawa?
 
Back
Top Bottom