Uchaguzi wa mwaka huu ni mwepesi sana.
Wapinzani wamechoka mapema sana wanapanga kuvuruga uchaguzi
Kuandamana kwa ajili ya majimbo 18 wakati Kuna viti zaidi 250 ni uamuzi wa hovyo sana
Ni dhahiri wapinzani wamegundua hawamuwezi Magufuli kwenye sanduku,wanatafuta kila mbinu ya kuharibu uchaguzi,ili ionekane wameonewa