Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Tutaandamana nchi nzima kudai haki ya wagombea wetu walio enguliwa kwenye uchaguzi

Na haki huwa haiombwi bali hupiganiwa, haki hupambaniwa.
 
Kwa wepesi wote huu, ungetakiwa uulize wakuu wako chamani, Kwanini waogope kuweka mpira dimbani? Kwanini wanabaka demokrasia kwa kutafuta usindi wamezani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…