Zitto Kabwe: Ubadhirifu wa 2020/21 ni mara mbili ya mwaka uliotangulia. Kulikuwa na ubadhirifu kwa jina la uzalendo

Zitto Kabwe: Ubadhirifu wa 2020/21 ni mara mbili ya mwaka uliotangulia. Kulikuwa na ubadhirifu kwa jina la uzalendo

Kama Magufuli aliiba hivyo na bado akatuletea maendeleo yote yale; wao awamu ya nne hawakuiba mbona walishindwa kutufanyia chochote cha maana?

Awamu ya sita ambayo haiibi, imeongeza kodi, tozo, imekopa kwa namna isiyomithilika na bado inachukua misaada mbona haijafanya hata 25% tu ya aliyoyafanya Magufuli kwenye mwaka wake wa kwanza?

We need more leaders like Magufuli kuliko hawa wanaojiita watoto wa mjini wanaoiibia hii nchi bila hata aibu. Makamba acha kumtumia Zitto, njoo wewe mwenyewe utuelezee matatizo ya umeme. Tuelezeeni mna-absorb vipi shocks zinazosababishwa na athari za mgogoro wa Ukraine na Urusi.

Mwenzenu Magufuli alituvusha salama kwenye Covid-19.
Mkuu, Mimi nafikiri ifike sehemu watuletee ushahidi hapa, watuambie Magufuli ana kiasi gani cha fedha kwenye account zake iwe nje au ndani ya nchi ambazo zilikuwa kinyume na mapato yake, lakini pia watueleze Mali anazomiliki ambapo pasi na shaka zithibitike zilitokana na wizi.

Siyo kila siku kutuletea ngonjera hapa, Serikali ya awamu ya tano ilitudhihirishia kuwa nchi yetu ni tajiri na inaweza kufanya mambo makubwa ukiwa na kiongozi kama Magufuli, hawa wengine waliotangulia na waliopo wameshindwa, kazi iliyobaki ni kufadhiri propaganda ili kututoa kwenye reli.
 
Kama Magufuli aliiba hivyo na bado akatuletea maendeleo yote yale; wao awamu ya nne hawakuiba mbona walishindwa kutufanyia chochote cha maana?
Awamu ya sita ambayo haiibi, imeongeza kodi, tozo, imekopa kwa namna isiyomithilika na bado inachukua misaada mbona haijafanya hata 25% tu ya aliyoyafanya Magufuli kwenye mwaka wake wa kwanza?

We need more leaders like Magufuli kuliko hawa wanaojiita watoto wa mjini wanaoiibia hii nchi bila hata aibu. Makamba acha kumtumia Zitto, njoo wewe mwenyewe utuelezee matatizo ya umeme. Tuelezeeni mna-absorb vipi shocks zinazosababishwa na athari za mgogoro wa Ukraine na Urusi.

Mwenzenu Magufuli alituvusha salama kwenye Covid-19.
Bajeti ya 2020/2021 ilikuwa ni ya mwaka wa uchaguzi nina uhakika wa 100% wana CCM wengi wanajua walivyotumia pesa hizo kufanikisha uchaguzi, hapa hata namba moja atakuwa na ufahamu!!!


Lakini kingine bajeti hii JPM hakumaliza utekelezaji wake naamini kabisa kwa wakati ambao alikuwa anaumwa au baada ya kufariki lolote linaweza kutokea ikiwemo ubadhirifu huo!!!


Nashangaa ni kwanini anahusishwa yeye ni si waliomalizia utekelezaji wa Bajeti hiyo!!!

Pengine kuna jambo tusilolijua!’
 
Mkuu, Mimi nafikiri ifike sehemu watuletee ushahidi hapa, watuambie Magufuli ana kiasi gani cha fedha kwenye account zake iwe nje au ndani ya nchi ambazo zilikuwa kinyume na mapato yake, lakini pia watueleze Mali anazomiliki ambapo pasi na shaka zithibitike zilitokana na wizi.

Siyo kila siku kutuletea ngonjera hapa, Serikali ya awamu ya tano ilitudhihirishia kuwa nchi yetu ni tajiri na inaweza kufanya mambo makubwa ukiwa na kiongozi kama Magufuli, hawa wengine waliotangulia na waliopo wameshindwa, kazi iliyobaki ni kufadhiri propaganda ili kututoa kwenye reli.
Wautoe wapi sasa? 😁😁
 
Hii nchi bila upigaji barabara zote za vijijini zingekua na lami. Tiba ya cancer kila mkoa, kila kata ingekua na affordable homes to rent. Unapata one bedroom flat kwa laki moja. Mishahara ya kima cha chini kuanzia laki sita. Tatizo la maji lisinge kuwepo.

Nenda WATUMISHI HOUSING wakuudumie flat la rent ya 150k pale Gezaulole uenjoy maisha
 
Mimi nimeshuhudia makubwa mengi ya ajabu.... Tushukuru uongozi ule ulikoma March 2021. Bila hivyo tungeongea mengine...
Magufuli was not fit for the biggest office ..
Alikuwa very poor in management skills
 
Bora baba mlevi lakini nyumba yake anaijali huyu pimbi kakalia kumponda magufuli lakini moyo unamsuta ni mjinga na mpumbavu kuamini kwamba kuna wizi mkubwa wakati kila unapoenda unakutana na mradi ulio achwa na marehem kafanya mengi sana ndani ya mda kidogo .Pia watanzania tusivo na akili tumegeuka kwa sasa ni nani anae sikiliza kero za wananchi na kuzitatua hapo hapo ama alivo ondoka marehem ugumu wa maisha umepanda ama umeshuka....?Hebu tuwe na akili kidogo hata na shukrani kwa Jpm.
Aliyeondoka na aliyepo wote ni walewale hakuna mwenye nafuu
 
Kila nikimuangalia usoni huyu jamaa namuona ni mgonjwa jamani ni vema akapime naona uso umebabuka sijui ni joto kali
 
Hata kama Zito awe na matatizo gani, lakini anayoyasema dhidi ya utawala wa dikteta Magufuli ni sahihi.
Huyo jamaa ni mchawi tu kama walivyo wachawi wengine!

Alibaniwa ulaji ndio chanzo cha bitterness yote hio na nina hakika analipwa fair share kulipaka matope jina la JPM. Call him what you can ila jamaa atabakia kuwa the best president ever.

Alikuwa mbaya na mchungu kwa watu wa hovyo. Utawala huu ndio utakuwa mzuri kwa watu wa hovyo na yote yashakuwa dhahiri ndio maana mapambio hayaishi.

Aliyeiba 1.5T alifanya maajabu ndani ya muda mchache kuliko ambaye alifisadi nchi kwa miaka yote na kufuja kodi za wananchi.
 
Huu ufisadi wa Magufuli ndio unamuuma sana Zitto zaidi ya ule wa Escrow, EPA nk

Huyu mmoja alikuwa anaiba huku anajiita mzalendo ili kutudanganya, yule mwingine alikuwa anaiba kimya kimya, hawa kwangu wote ni wezi tu.

Najua Zitto anashindwa kumlaumu yule mmoja kwasababu aliwahi kusema huyo alikuwa ni sawa na baba yake, anamfichia aibu.

Anajua kulalamika kama vile ni mzalendo wa kweli, kumbe akiambiwa habari za Katiba Mpya naye hataki kuzisikia. Maana yake huyu mnafiki anataka tuendelee kuibiwa na marafiki zake ili nae agaiwe, ila tukiibiwa na wale wasio rafiki zake ndio anaumia.

Kuendelea kumshangilia huyu tapeli na hizi kelele zake za kila siku kwa Magufuli ni kujidumaza akili tu, anawazubaisha wajinga, na kwa ujinga wao wanazidi kumshangilia.
Msema ukweli hata awe shetani anasema ukweli tu! tulichopigwa kwa miaka mitano ni zaidi ya kashfa zote kwa pamoja! toka tupate uhuru, Escrow+EPA+RICHmond+ all <Magucorruption scandle/
 
Kwanza kabisa kunahitajika utawala wa haki na sheria ambao msingi wake ni Katiba ambayo kila anaevunja sheria anawajibishwa.

Kule Uingereza Boris Johnson, Waziri Mkuu alifanyiwa party ofisini kwake kipindi cha lock down. Jana amelazimika kuomba msamaha hadharani akiwa bungeni na bado kuna jitihada za kumuondoa madarakani. Dhana yao kubwa ni kuwa akiwa kama Waziri Mkuu anajua sheria na alipaswa kuziheshimu. Kuna waliofiwa na ndugu na jamaa kipindi cha lock down na walishindwa kuhudhuria mazishi iweje yeye afanyiwe party.

Tukifika kwenye level ya kuweza kuwawajibisha viongozi wa juu, wachini pia watakua a nidhamu.
Sina la kuongeza hapa mkuu, umeyasema yote.
Hapa kwetu ni kinyume kabisa na hayo yaliyompata 'JoBo', hapa kwetu mbunge anayeleta kihelehele huko bungeni kumsema mkubwa ndiye atakayepata cha mtema kuni.

Hivi kweli kwa tabia zetu hizi za kinafiki, kuna siku moja na sisi tutafikia hatua ya kuwaona hawa miungu wetu kuwa ndio wanaopaswa kutuheshimu sisi wananchi na si kinyume chake?
 
Sina la kuongeza hapa mkuu, umeyasema yote.
Hapa kwetu ni kinyume kabisa na hayo yaliyompata 'JoBo', hapa kwetu mbunge anayeleta kihelehele huko bungeni kumsema mkubwa ndiye atakayepata cha mtema kuni.

Hivi kweli kwa tabia zetu hizi za kinafiki, kuna siku moja na sisi tutafikia hatua ya kuwaona hawa miungu wetu kuwa ndio wanaopaswa kutuheshimu sisi wananchi na si kinyume chake?
Mfumo mbovu wa CCM
 
Kama magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii aliua uchumi,viwanda,biashara,mapato yalishuka,inadaiwa alifisidi fedha thamani ya trillion 10, swali,hizo fedha zilitoka wapi wakati biashara na viwanda vilikuwa vimekufa? Hizo fedha alipeleka benki ipi,tunaomba ushahidi wamiamala ya hizo fedha zilizotoka na kuingia,mbona kagoda,escrow, IPTL,nk tulikuwa tunaonaeeeeee hizo kelele Ni mwamvuli was kukinga uovu na wizi unaopigwa Sasa na ufujaji unaoendelea Sasa ,kajibwa kamepata mnofu kanajihami kwa kutimua vumbi
 
Huyu anatumika vibaya, Watanzania wa leo siyo wa jana. Tunajua kupambanua mambo, heri huyo anayemwita fisadi huku yaliyofanyika yanaonekana, hawezi zungumzia awamu ya nne wala ya sita kwa sababu ndiyo wanaofadhiri proganda zake ili kutusahaurisha uovu wao, Mimi binafsi sidanganyiki na hawa walamba asali.
Yapi
 
Walaaniwe kabisa taasisi zote zakifedha zinazoipa Tanzania mikopo na misaada na nchi hizo
 
Back
Top Bottom