Mbona ye msoma vitabu kawa mlamba viatu vya asiyesoma hata miongozo ya kuongoza nchi.Safi sana Zitto, Sababu mojawapo ya kuwa na Watanzania wengi vilaza mitaani na katika nafasi muhimu za uongozi ni kwa sababu hawasomi vitabu.
Na anapenda ukuu na sifa.Bora hata ungesoma Quran tukufu! Ungepata nafasi ya kuiponya nafsi yako! Umejaa unafiki,udini,ukabila na udanganyifu! Endelea kulamba asali ya Hangaya huna lolote!
Mwaka huu unaomalizika 2022 nimebahatika kusoma vitabu mbalimbali 33 (2021:29, 2020:16, 2019:34). Ulikuwa mwaka mzuri kwa usomaji vitabu na pia mwaka ambao nilibahatika kupata zawadi nyingi za vitabu kutoka kwa marafiki zangu na ndugu zangu.
Nitaanza mwaka 2023, Mungu akijaalia kuvuka salama, nikiwa na karibu dazeni ya vitabu ambavyo sijasoma. Kama nilivyofanya mwaka jana, kutoka orodha ya mwaka huu nimeshatoa orodha ya vitabu 10 ninavyopendekeza watu kuvisoma mwaka ujao kama hawajavisoma.
Vitabu nilivyosoma mwaka huu kwa makundi mbalimbali ni kama ifuatavyo;
Riwaya
Wasifu/Tawasifu
- Magic of Saida – MG Vassanji
- I am Semba – Ajeka&Fox
- The Book of Secrets – MG Vassanji
- The House of Rust – Khadija Abdallah Bajaber
- Mtumwa kwenye Nchi Huru – Elizabeth Mramba
- A Line In The River: Khartoum City of Memory – Jamal Mahjoub
- We are all Birds of Uganda – Hafsa Zayyan
- The In-Between World of Vikram Lall – MG Vassanji
- Next In Line – Jeffrey Archer
- Tea with Ms. Tanzania – Fayyaz Vellani
- The Shadow King – Maaza Mengiste
Nchi ya mwaka, India
- The Chancellor: The Remarkable Odyssey of Angela Merkel – Kati Marton
- Njinga of Angola: Africa’s Warrior Queen – Linda M. Heywood
- The Prime Ministers We Never Had: Success and Failure from Butler to Corbyn – Steve Richards
- 38 Reflections on Mwalimu Nyerere – Ed. Mark Mwandosya and Juma V Mwapachu
- Hani: A life too short – Janet Smith and Beauregard Tromp
- Juhudi na Changamoto – Sheikh Ponda Issa Ponda
- The Bhutto Dynasty: The Struggle for Power in Pakistan – Owen Bennett-Jones
- Maisha Yangu – Khamis Abdallah Ameir
- Revolution in Zanzibar: An American’s Cold War Tale – Don Petterson
- The Tanganyika Way: A personal Story of Tanganyika’s Growth to Independence – Sophia Mustafa
Mchanganyiko
- Indian Summer: The Secret History of the End of an Empire – Alex Von Tunzelm
- Pride, Prejudice and Punditry: The Essential – Shashi Tharoor
- Mamata Beyond 2021 – Jayanta Ghosal
- The Rise of The BJP: The Making of the World’s Largest Political Party – Bhupender Yadav and Ila Patnak
- India in a New Key: Nehru to Modi, 75 years of freedom and democracy – Narain D. Batra
Heri ya mwaka mpya 2023
- Time for Socialism – Thomas Piketty
- Capturing Hope: The Struggle Continues for a New Malaysia – Mahathir Mohamed
- Final Reckoning: An Insider’s View of the Fall of Malaysia’s Barisan Nasional Government – Romen Bose
- The World for Sale: Money, Power and the Traders Who Barter the Earth’s Resources – Javier Blas and Jack Farchy
- Sudan’s Unfinished Democracy: The Promise and Betrayal of a People Revolution – Willow Berridge, Justin Lynch, Raga Makawi and Alex De Waal
- From Rebel to Ruler: One Hundred Years of the Chinese Communist Party – Tony Saich
- Borderland: A Journey Through the History of Ukraine – Anna Reid
23/12/2022
ILANI: Kila mwaka, nikibahatika na kujaaliwa, huwa ninasafiri pamoja na familia yangu. Kwa muda sasa nchi ninayotembelea huchomoza kupitia vitabu nilivyosoma mwaka huo. Mwaka huu nimeamua kuweka kundi la Nchi ya Mwaka ili kuonyesha vitabu nilivyosoma kuhusu nchi husika. Mwaka 2022 ilikuwa India (Rwanda 2021).
Tupo wawili!Nasoma comments
Hiki kimemkimbiza mleta madauna muda wa kuchezea wewe yaani pamoja na vitabu hivyo bado unaendelea kununuliwa na kufanya udalali wa kisiasa bado una unafiki wa kumchukia Magufuli huku ukiungana na genge la wafuja Mali akina Malope ndio unatuambia vitabu vinaandika hayo kutwa unadhurula ulaya kwa wakoloni wetu wezi wa Mali zetu kuihujumu nchi ona Sasa tunauzia majrnereta na imeme unakatwa hovyo yaani uzungu mwingi umekupoteza kisiasa
Hongera sana Mwami kwa kusoma na kuweka wazi vitabu ulivyosoma kila mwaka.Mwaka huu unaomalizika 2022 nimebahatika kusoma vitabu mbalimbali 33 (2021:29, 2020:16, 2019:34). Ulikuwa mwaka mzuri kwa usomaji vitabu na pia mwaka ambao nilibahatika kupata zawadi nyingi za vitabu kutoka kwa marafiki zangu na ndugu zangu.
Nitaanza mwaka 2023, Mungu akijaalia kuvuka salama, nikiwa na karibu dazeni ya vitabu ambavyo sijasoma. Kama nilivyofanya mwaka jana, kutoka orodha ya mwaka huu nimeshatoa orodha ya vitabu 10 ninavyopendekeza watu kuvisoma mwaka ujao kama hawajavisoma.
Vitabu nilivyosoma mwaka huu kwa makundi mbalimbali ni kama ifuatavyo;
Riwaya
Wasifu/Tawasifu
- Magic of Saida – MG Vassanji
- I am Semba – Ajeka&Fox
- The Book of Secrets – MG Vassanji
- The House of Rust – Khadija Abdallah Bajaber
- Mtumwa kwenye Nchi Huru – Elizabeth Mramba
- A Line In The River: Khartoum City of Memory – Jamal Mahjoub
- We are all Birds of Uganda – Hafsa Zayyan
- The In-Between World of Vikram Lall – MG Vassanji
- Next In Line – Jeffrey Archer
- Tea with Ms. Tanzania – Fayyaz Vellani
- The Shadow King – Maaza Mengiste
Nchi ya mwaka, India
- The Chancellor: The Remarkable Odyssey of Angela Merkel – Kati Marton
- Njinga of Angola: Africa’s Warrior Queen – Linda M. Heywood
- The Prime Ministers We Never Had: Success and Failure from Butler to Corbyn – Steve Richards
- 38 Reflections on Mwalimu Nyerere – Ed. Mark Mwandosya and Juma V Mwapachu
- Hani: A life too short – Janet Smith and Beauregard Tromp
- Juhudi na Changamoto – Sheikh Ponda Issa Ponda
- The Bhutto Dynasty: The Struggle for Power in Pakistan – Owen Bennett-Jones
- Maisha Yangu – Khamis Abdallah Ameir
- Revolution in Zanzibar: An American’s Cold War Tale – Don Petterson
- The Tanganyika Way: A personal Story of Tanganyika’s Growth to Independence – Sophia Mustafa
Mchanganyiko
- Indian Summer: The Secret History of the End of an Empire – Alex Von Tunzelm
- Pride, Prejudice and Punditry: The Essential – Shashi Tharoor
- Mamata Beyond 2021 – Jayanta Ghosal
- The Rise of The BJP: The Making of the World’s Largest Political Party – Bhupender Yadav and Ila Patnak
- India in a New Key: Nehru to Modi, 75 years of freedom and democracy – Narain D. Batra
Heri ya mwaka mpya 2023
- Time for Socialism – Thomas Piketty
- Capturing Hope: The Struggle Continues for a New Malaysia – Mahathir Mohamed
- Final Reckoning: An Insider’s View of the Fall of Malaysia’s Barisan Nasional Government – Romen Bose
- The World for Sale: Money, Power and the Traders Who Barter the Earth’s Resources – Javier Blas and Jack Farchy
- Sudan’s Unfinished Democracy: The Promise and Betrayal of a People Revolution – Willow Berridge, Justin Lynch, Raga Makawi and Alex De Waal
- From Rebel to Ruler: One Hundred Years of the Chinese Communist Party – Tony Saich
- Borderland: A Journey Through the History of Ukraine – Anna Reid
23/12/2022
ILANI: Kila mwaka, nikibahatika na kujaaliwa, huwa ninasafiri pamoja na familia yangu. Kwa muda sasa nchi ninayotembelea huchomoza kupitia vitabu nilivyosoma mwaka huo. Mwaka huu nimeamua kuweka kundi la Nchi ya Mwaka ili kuonyesha vitabu nilivyosoma kuhusu nchi husika. Mwaka 2022 ilikuwa India (Rwanda 2021).
Hata mimi naliamini hilo huwa natamani sana huyu bwana akiishi na kukifanyia kazi kile alichojaaliwa na Mungu watu wanaumia sana ni basi tu.Zitto ni mzalendo anayeipenda Tanzania zadi kuliko maslahi yake binafsi, tatizo huenda ni njia anazochagua kufikia malengo yake ya kisiasa.
Badala ya kujadili vitabu watu mmeamua kumshambulia mleta vitabu, It is not fair!Sawa snitch tumekupata
Kwani vitabu vimefanyaje mkuu? maana mleta mada hajavichambua, nadhani lengo kuu la mleta mada ni kujizungumzia yeye kuwa ni msoma vitabu na ndio maana watu wanapita humo humo.Badala ya kujadili vitabu watu mmeamua kumshambulia mleta vitabu, It is not fair!
Ndio ni msoma vitabu, ili awaelekeze kuhusu vitabu, mjadili vitabu, mlivyosoma na alivyosoma.Kwani vitabu vimefanyaje mkuu? maana mleta mada hajavichambua, nadhani lengo kuu la mleta mada ni kujizungumzia yeye kuwa ni msoma vitabu na ndio maana watu wanapita humo humo.
Nadhani Thread inamuhusu Zitto zaidi kuliko vitabu, ameonyesha kuwa yeye ni msoma vitabu anaeleza vitabu vingapi amesoma na kupewa zawadi ya vitabu basi.Chadema hakuna mtu wanaemshambulia kama Zitto...kama Wana "hidden reason"...
Lowasa,Sumaye..wote kwao sio wasaliti...Dr Slaa sio msaliti...wao Zitto ndo "msaliti" wao....hata thread inahusu vitabu ...all the can share is hate
Labda tuseme kwamba mleta mada yeye anasoma vitabu kama hobby tu na ndio maana kaishia kutaja idadi ya vitabu na kuzungumzia kupewa zawadi ya vitabu, ila members humu wao wameenda kwenye upande wa maarifa yanayopatikana kwenye usomaji vitabu na hapo ndio ikawa sababu ya kumjadili Zitto mwenyewe kama msomaji wa vitabu ambaye ni mwanasiasa na ni kiongozi wa chama cha siasa.Ndio ni msoma vitabu, ili awaelekeze kuhusu vitabu, mjadili vitabu, mlivyosoma na alivyosoma.
Sio kumjadili yeye binafsi au maisha yake ya siasa.