Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto huenda ni mjinga - lkn wanaomkosoa wakawa ni wapumbavu ila makundi yote haya hayajitambui.Kwa hiyo Taifa stars imeundwa na KKKT?
Mzee wa fursa.Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Anawanqnga TECHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Unaweza thibitisha Kwa evidence chuki yake Kwa ukristo?..au..wapi alisema hapendi ukristo?Mi mlutheli ila mpaka mtu mdini kama zitto kabwe ambaye hapendi ukristo hata kidogo ,anakusifia.., JUA KUNA MAHALI KUNA SHIDA KKKT
Bakwata ilianzishwa na Serikali yenyewe…uhusiano pekee ni kwny lile jukumu walilojipa la kutangaza kuanza na kumalizika mwezi Mtukufu wa Ramadhan…zaid ya hapo hakuna uhusiano wowote mwingineKKKT hii inayoongozwa na afisa kipenyo,haina tofauti na Bakwata tu
Kwanini kusifiwa KKKT na Zitto kwako iwe tafsiri ya ubaguzi?amewabagua kina nani?....wahindu,?waislam?wayahudi??...waliobaguliwa hapa no kina nani?🤓 Ajabu sana. Maoni ya hovyo tena ya kidini na kibaguzi kutoka kwa mtu makini na kiongozi wa chama
yeyote ambae hakutajwa kabaguliwaKwanini kusifiwa KKKT na Zitto kwako iwe tafsiri ya ubaguzi?amewabagua kina nani?....wahindu,?waislam?wayahudi??...waliobaguliwa hapa no kina nani?
yeyote ambae hakutajwa kabaguliwa
tofauti na mtazamo wakoHayo maoni yako..Kwa mujibu wa upeo wa kuelewa kwako..
mkuu jamaa anawapenda sana wakristoUnaweza thibitisha Kwa evidence chuki yake Kwa ukristo?..au..wapi alisema hapendi ukristo?
Sijakuelewi. Yaani KKKT ni adui wa Taifa Stars? Au tuseme waliwaombea mabaya kama ule Waraka wa Maaskofu?Zitto alisha ishiwa akili siku nyingi. Ni mdini na mshirikina, alishasema atamgeuza mtu kuwa panya.
MKONO WA BIRIKA.. 😆 😆 😆Anakula ruzuku ACT anavimbiwa hataki mabadiliko yoyote!!
Huwa namtambua Kwa uchawi, udini na ubinafsi!! Sijawahi kumuona anachangia kujenga mskiti/kanisa au kusaidia yatima au hata wajane kule kigoma kwenye hali ngumu!!