ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwani KKKT wamekaa kimya? Washenzi nyieYaani serikali ifanye ujinga halafu watu wakae kimya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani KKKT wamekaa kimya? Washenzi nyieYaani serikali ifanye ujinga halafu watu wakae kimya?
Waisilamu endeleeni kusifia wenzenu, ninyi endeleeni kugombea umiliki na uendeshaji wa misikitiKwani KKKT wamekaa kimya? Washenzi nyie
Huyu msukule wa udiniHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
A traitor amongst us! Constable isabela. Bring back Ben saa 8 ZZKHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Mwanasiasa mdini mdini hatufai.Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Ni kuwadi na dalali mzuri sanaWatawala huwa wanamtumia vizuri sn
Yes! Furaha uonesha yaliyojificha ndani...Ana furaha ya Taifa Stars kufuzu.
Kama huko ofisi za X basi huwezi kujua kuwa ni verified kweli.Ni account yake na ipo verified
Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sina shida kabisa na Ukatoliki, wanafanya kazi ya vema ya utume kama dini zingine, shida iko kwa TEC tena inayoburuzwa na watu wawili tu, Rais na Katibu wa TEC ambao ni maswahiba wa Tundu Lissu. Unapotoa waraka kwa waumini wako kuishambulia Serikali na Chama chake kumbuka kuna waumini wako ambao ni wanachama wa Chama hicho, pili kumbuka Dini na Chama vyote ni imani, tarajia kuligawa Taifa.TEC ni wabaguzi na wanajikutaga Tanzania hii ni Mali Yao,wakome kabisa Zito Yuko sahihi.
ACT ndio chama pekee Hadi Sasa kilichotoa way forward ya Bandari.Uwekezaji lazima na utaratibu wake walishasema.
Kama.uwekezaji I kuuza Bandari basi umejaa matope kichwani
We uoni chuki kwan hataki kura za wakatoliki au anaezeeka vibayaKuna shida kwani,kakosea nini!?
Kima huyoHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Zito mdini kasimama upande wa diniWaswas wako nn hapo mkuu? Unganisha dot mzee... Taifa stars ameweka kama boshen ila kkkt ndie mlengwa. Kkkt ndio hawajaleta chokochoko za DP world ambapo zito ni sehem ya serikali ya utawala!! So ulitegemea awa include na Tec kweny kuliunganisha Taifa 🤣🤣🤣🤣🤣
Inatambulika sana mikoa ya kaskazini.Kwani tatizo liko wapi ?
Au KKKT haitambuliki hapa nchini ?
Acheni Udini
Na ndio maana wamemrudisha Malasusa, kwa Sasa rasmi wamegeuka tawi la CCMKumbe KKKT kweli wanatumika na serikali ya Samia kuifichia maovu yake, kusifiwa na ndumilakuwili wa sampuli ya Zitto kunalishushia heshima hilo kanisa, wala hapo tusidanganyane.
Nitasimama na wale wasiojua wala kuukumbatia unafiki siku zote, TEC wamesimama wakahesabiwa, tunaojielewa tumewaelewa.
Kwahiyo inakuuma nini ? Hamia kwa MwamposaSina shida kabisa na Ukatoliki, wanafanya kazi ya vema ya utume kama dini zingine, shida iko kwa TEC tena inayoburuzwa na watu wawili tu, Rais na Katibu wa TEC ambao ni maswahiba wa Tundu Lissu. Unapotoa waraka kwa waumini wako kuishambulia Serikali na Chama chake kumbuka kuna waumini wako ambao ni wanachama wa Chama hicho, pili kumbuka Dini na Chama vyote ni imani, tarajia kuligawa Taifa.