Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

1Wafalme sura ya 18
And bring the 450 prophets of baal and those 400 of asherah who eat under the table of jezeebel. Ilisikika amri ya mfalme Ahabu ikiropoka.
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729
Huyu msukule wa udini
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729
A traitor amongst us! Constable isabela. Bring back Ben saa 8 ZZK
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729
Mwanasiasa mdini mdini hatufai.
 
Hili ni dongo kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania~TEC.

Dalali Zitto hutakiwi kuwachukia TEC. ACT mmetoa msimamo wenu bandari zetu, ZIUZWE!

TEC hawajawachukia ACT. Kwanini kiongozi wa ACT uwachukie TEC?

Roma locuta; causa finita est~Rome has spoken; the cause is finished.
20230908_140826.jpg
Screenshot_20230908_140736_X.jpg
 
Huyu ni kama nyuki wa mashineni hana sumu, hata akigombea udiwani kigoma hatoboi acha aendelee kulamba asali kwa wingi
 
TEC ni wabaguzi na wanajikutaga Tanzania hii ni Mali Yao,wakome kabisa Zito Yuko sahihi.

ACT ndio chama pekee Hadi Sasa kilichotoa way forward ya Bandari.Uwekezaji lazima na utaratibu wake walishasema.

Kama.uwekezaji I kuuza Bandari basi umejaa matope kichwani
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729

Zitto mchumia tumboni na mdini aliyepitiliza. TEC wamewaumbua waliokuwa na deal la bandari, kwa kutumia udini. Wakati hoja ni mkataba uboreshwe
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729

Anakiri kiaina kwamba hata serikali anayoitetea haiuwaunishi Watanzania.
 
TEC ni wabaguzi na wanajikutaga Tanzania hii ni Mali Yao,wakome kabisa Zito Yuko sahihi.

ACT ndio chama pekee Hadi Sasa kilichotoa way forward ya Bandari.Uwekezaji lazima na utaratibu wake walishasema.

Kama.uwekezaji I kuuza Bandari basi umejaa matope kichwani
Sina shida kabisa na Ukatoliki, wanafanya kazi ya vema ya utume kama dini zingine, shida iko kwa TEC tena inayoburuzwa na watu wawili tu, Rais na Katibu wa TEC ambao ni maswahiba wa Tundu Lissu. Unapotoa waraka kwa waumini wako kuishambulia Serikali na Chama chake kumbuka kuna waumini wako ambao ni wanachama wa Chama hicho, pili kumbuka Dini na Chama vyote ni imani, tarajia kuligawa Taifa.
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729
Kima huyo
 
Waswas wako nn hapo mkuu? Unganisha dot mzee... Taifa stars ameweka kama boshen ila kkkt ndie mlengwa. Kkkt ndio hawajaleta chokochoko za DP world ambapo zito ni sehem ya serikali ya utawala!! So ulitegemea awa include na Tec kweny kuliunganisha Taifa 🤣🤣🤣🤣🤣
Zito mdini kasimama upande wa dini
Hata KKKT wamesema wanasapoti uwekezaji hawakutaja bandari wao wanadandia hoja
 
Kumbe KKKT kweli wanatumika na serikali ya Samia kuifichia maovu yake, kusifiwa na ndumilakuwili wa sampuli ya Zitto kunalishushia heshima hilo kanisa, wala hapo tusidanganyane.

Nitasimama na wale wasiojua wala kuukumbatia unafiki siku zote, TEC wamesimama wakahesabiwa, tunaojielewa tumewaelewa.
Na ndio maana wamemrudisha Malasusa, kwa Sasa rasmi wamegeuka tawi la CCM
 
Sina shida kabisa na Ukatoliki, wanafanya kazi ya vema ya utume kama dini zingine, shida iko kwa TEC tena inayoburuzwa na watu wawili tu, Rais na Katibu wa TEC ambao ni maswahiba wa Tundu Lissu. Unapotoa waraka kwa waumini wako kuishambulia Serikali na Chama chake kumbuka kuna waumini wako ambao ni wanachama wa Chama hicho, pili kumbuka Dini na Chama vyote ni imani, tarajia kuligawa Taifa.
Kwahiyo inakuuma nini ? Hamia kwa Mwamposa
 
Back
Top Bottom