SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huyu snitch ndiyo maana ukoma umeanza kumtafuna na bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....Gombero hakuna shida ya usafiri siku hizi, unaenda pale mwembe mawazo unapanda hiace bila shida!Kila mtu na uhuru wake ,hapo inasemwa amesema kama yeye,kuna shida gani ?
WaTz jaribuni kujiwezesha katika kupambanua mambo sio mnavamia vamia tu kama mnaegombania basi la kwenda Gombero.
jamani kuna sense na none-sense ,
kwa wanaomfahamu zitto,ni mdini mkubwa sana. hapo wanajaribu kudevide and rule, anaamini wakiwashikilia walutherani dhidi ya wakatoliki, wakatoliki watashindwa. mimi si mlutherani wala mkatoliki, ila nadhani walichokifanya TEC ni muhimu sana kwa taifa.Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
ana ukoma?Huyu snitch ndiyo maana ukoma umeanza kumtafuna na bado
Mbona umetaja wakatoliki tu wakati hakuwataja waislam na walokole!?..wakatoliki hupiga kura kwa maelekezo, hawawezi mpigia zittoWe uoni chuki kwan hataki kura za wakatoliki au anaezeeka vibaya
Siku nyingi hayupo jukwaani kaona atoe single hiyoHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Anatafuta publicity?Siku nyingi hayupo jukwaani kaona atoe single hiyo
Taifa haliqezi kuunganishwa kwa matabaka kama haya walamba asali na walamba shubiri hatuwezi kamweHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
KKKT ndiyo injili!Popote alipo Mpendwa wetu Zitto Kabwe namtangazia Ubatizo kwa Uwezo wa Roho Mtakatifu na Mungu wa mbinguni ambariki sana
Kuitambua na Kuitangaza Injili ya Yesu Kristo katika Dunia ya Leo ni Jambo kubwa sana Mungu wa mbinguni mbariki Zitto Kabwe
Yesu alisema, Enendeni Ulumwenguni Mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe mkiwafundisha na Kuwabatiza Kwa Jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu amen!
TEC wapi hao? Hawa hawa wezi wa pesa za escrow?Zitto mchumia tumboni na mdini aliyepitiliza. TEC wamewaumbua waliokuwa na deal la bandari, kwa kutumia udini. Wakati hoja ni mkataba uboreshwe
Kkkt yetu hii imeshakuwa ya kijinga sana mkuuMi mlutheli ila mpaka mtu mdini kama zitto kabwe ambaye hapendi ukristo hata kidogo ,anakusifia.., JUA KUNA MAHALI KUNA SHIDA KKKT
Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Angalia vile vinundu vinundu usoni mwakeana ukoma?
Mdini ni yule aliyechagua dini moja (kkkt) kati ya dini nyingineKwani tatizo liko wapi ?
Au KKKT haitambuliki hapa nchini ?
Acheni Udini
Baada ya stars kufuzu Afcon eti Sasa hivi anasifiwa mama Samia nyie muogopeni mungu wanasiasa wa bongoWanasiasa sasa baada ya Taifa Stars kufuzu AFCON....
Nani ampe huyu tapeli na mlaghai?Zitto ni mdini sana na kama ana ndoto za kuja kungombea uraisi hili litamgharimu sana.
Zitto yuko team Bumbuli 😂Nani ampe huyu tapeli na mlaghai?