Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

Kila mtu na uhuru wake ,hapo inasemwa amesema kama yeye,kuna shida gani ?
WaTz jaribuni kujiwezesha katika kupambanua mambo sio mnavamia vamia tu kama mnaegombania basi la kwenda Gombero.
jamani kuna sense na none-sense ,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....Gombero hakuna shida ya usafiri siku hizi, unaenda pale mwembe mawazo unapanda hiace bila shida!
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729
kwa wanaomfahamu zitto,ni mdini mkubwa sana. hapo wanajaribu kudevide and rule, anaamini wakiwashikilia walutherani dhidi ya wakatoliki, wakatoliki watashindwa. mimi si mlutherani wala mkatoliki, ila nadhani walichokifanya TEC ni muhimu sana kwa taifa.
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729
Siku nyingi hayupo jukwaani kaona atoe single hiyo
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729
Taifa haliqezi kuunganishwa kwa matabaka kama haya walamba asali na walamba shubiri hatuwezi kamwe
 
Popote alipo Mpendwa wetu Zitto Kabwe namtangazia Ubatizo kwa Uwezo wa Roho Mtakatifu na Mungu wa mbinguni ambariki sana

Kuitambua na Kuitangaza Injili ya Yesu Kristo katika Dunia ya Leo ni Jambo kubwa sana Mungu wa mbinguni mbariki Zitto Kabwe

Yesu alisema, Enendeni Ulumwenguni Mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe mkiwafundisha na Kuwabatiza Kwa Jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu amen!
KKKT ndiyo injili!
 
Yaaani zito imeisha kabisa kisiasi kwishney ,umebakiza kete ya udini Sasa hivi ndo unadhani itakubeba haaaaaa! Siasa ni mchezo mchafu Sana unaochezwa na watu smart
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729

Zitto mdini kuliko mtu yeyote yule, alafu he lacks characters of good leadership, hana kabisa, but he pretends to be a leader.

Kwa hiyo

CCM, CHADEMA, ACT, ROMA CATHOLIC, ANGLICAN, ISLAM, YANGA, SIMBA, AZAM, BUNGE, Viongozi wa Juu Serikali wote, etc etc woooote hawa wengine hawaunganishi Taifa, except KKKT and Taifa Stars tu, Zitto ana fikira fupi sana, mara zote waha ni short sighted sana.
 
Back
Top Bottom