Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729
Ila waislam na wakristo, CCM na ACT na Chadema wanaligawa taifa.
 
Kama umewahi kufuatilia mchezo wa teniss. Kuna tie breaker.
Idadi ya 'wavaa kubazi' na waroma iko 'sawa sawa'. KkKT ndio tie breaker.
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729
Huyo hanaga akili 🚮🚮
 
Ndugu zangu, Zitto Kabwe kila mwenye akili timamu anajua ni mtu wa aina gani. Kauli kama hizi hadharani mbaya zaidi akiwa kiongozi mkuu wa chama ni picha halisi ya ni mtu wa namna gani.

Hii kauli ina tafsiri nyingi sana ikiwemo tafsiri kuu ya undumilakuwili na wazi ameonesha:

1) Anapinga waraka wa TEC
2) Ni mdini na KKKT ni kichaka tu
3) Anaunga mkono IGA kwa kificho
4) ACT ni kivuli cha chama tawala

Binafsi sielewi kwanini CCM wasimteue Zitto kuwa waziri kwenye serikali yao wakati ni mwenzao na kila mtu anaona hivyo. Mpeni kazi asitupotezee muda kwenye siasa za upinzani.
 
Zitto tumekuelewa asante tunakusubiri sehemu sahihi utapata mrejesho sahihi wa hii Post yako.
 
Ndugu zangu, Zitto Kabwe kila mwenye akili timamu anajua ni mtu wa aina gani. Kauli kama hizi hadharani mbaya zaidi akiwa kiongozi mkuu wa chama ni picha halisi ya ni mtu wa namna gani.

Hii kauli ina tafsiri nyingi sana ikiwemo tafsiri kuu ya undumilakuwili na wazi ameonesha:

1) Anapinga waraka wa TEC
2) Ni mdini na KKKT ni kichaka tu
3) Anaunga mkono IGA kwa kificho
4) ACT ni kivuli cha chama tawala

Binafsi sielewi kwanini CCM wasimteue Zitto kuwa waziri kwenye serikali yao wakati ni mwenzao na kila mtu anaona hivyo. Mpeni kazi asitupotezee muda kwenye siasa za upinzani.
Hizo parameters 4 ulizotoa lazima jibu sahihi liwemo humo.
 
Zitto ni binadamu mwenye ndimi 2, ni mtu wa kupuuzwa, mchumia tumbo!... Tulishampuuza na chama chake cha mchongo

Chadema hawakukosea walipomvua uanachama!... Walimgundua mapema... Kiukweli intelligencia ya chadema iko vizuri
 
Kwani ukisema Kinondoni Mvua inanyesha maana yake Ilala hainyeshi ?
Ukisema kwa Dar es Salaam mvua inanyesha Kinondoni, automatically hainyeshi sehemu nyingine zisizo kinondoni (ikiwemo Ilala maana nayo ipo Dar es Salaam)
 
Ombi Kwa Mods: Nikianzisha Uzi wangu Wenye kichwa cha habari "ZITTO KABWE AMPOKEA YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WAKE" msije mkaupiga pin.
Naunga mkono wazo, anzisha na hao Mod watakuwa wameshakupata
 
Lakini yeye ni Muslim
Udini sio kuwa na imani fulani, ila kuitumia imani yoyote ya dini katika kujenga hoja zako. Hata kama ZZK angesema Wakatoliki wapo makini katika kuongoza nchi, bado hapo ni udini
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729

Hivi Zitto ni kiongozi mkubwa nchi hii?
 
Back
Top Bottom