SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ni 'spika' tu.Zitto ni asshole kama asshole zingine tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni 'spika' tu.Zitto ni asshole kama asshole zingine tuu
Ni vita kati ya kambi mbili za vijana wenye hamu ya Urais 2030. Zzk kagonga upandeHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Hapana siyo sababu ni muislam ila ni mbaguzi wa dini nyingine.Mkisema mdini mnakusudia ni Muislam sana?
Ni akili ndogo ameitumia, kulitumia KKKT ili kumlinda muislamu mwenzie, alijua angetaja msikiti mambo yangekuwa wazi zaidi.Lakini yeye ni Muslim
Morning mammy.Good morning DenooJ
Siyo kujikuza ukweli ndiyo huo Zitto ni mdini sana anachuki na ukristo tofauti na viongozi wengine wa kisiasa walio waislamu.kama lilivyomgharimu Mzee Slaa?
mnajikuza sana kwa kujipa kura ya turufu ya kuwaamulia watu cha kufanya hadi mnakuwa mazuzu
Kunywa maji kidogo kabla hujaendelea kuongea [emoji1787]Morning mammy.
Apeleke uchawi wake Kizimkazi..Ana furaha ya Taifa Stars kufuzu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] usijali ndio maana siku hizi natembea na chupa ya maji...Kunywa maji kidogo kabla hujaendelea kuongea [emoji1787]
Na ndiyo maana huwa tunashauriwa kutotoa kauli fikirishi tukiwa na furaha isiyo kifani au hasira iliyopitiliza.Tuwe na subira daima.Ana furaha ya Taifa Stars kufuzu.
Waswas wako nn hapo mkuu? Unganisha dot mzee... Taifa stars ameweka kama boshen ila kkkt ndie mlengwa. Kkkt ndio hawajaleta chokochoko za DP world ambapo zito ni sehem ya serikali ya utawala!! So ulitegemea awa include na Tec kweny kuliunganisha Taifa 🤣🤣🤣🤣🤣Sio ya kuwaamini sana Kama ni account yake sidhani Kama anaweza sema haya
Heee!🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] usijali ndio maana siku hizi natembea na chupa ya maji...
Kuna shida kwani,kakosea nini!?Sio ya kuwaamini sana Kama ni account yake sidhani Kama anaweza sema haya
Kkkt hawajatoa waraka wa kupinga kilichopo ndan ya mkataba wa DP world!! That's why....Mi mlutheli ila mpaka mtu mdini kama zitto kabwe ambaye hapendi ukristo hata kidogo ,anakusifia.., JUA KUNA MAHALI KUNA SHIDA KKKT
Wewe shemeji zako hao au wewe siyo mstaarabu?Huyo ni mwarabu mwenzio 😂😂😂😂😂
Kakosea nini?Na ndiyo maana huwa tunashauriwa kutotoa kauli fikirishi tukiwa na furaha isiyo kifani au hasira iliyopitiliza.Tuwe na subira daima.