Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Uliandika nini awali? Ndiyo jibu hilo.Kakosea nini?
Kakosea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliandika nini awali? Ndiyo jibu hilo.Kakosea nini?
Kakosea nini?
[emoji1787][emoji1787]sura yangu naogopa kuianika kwenye hadhara ya JF!Heee![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tumefika huko??
Hebu piga kapicha nikuone na chupa Yako[emoji23][emoji23][emoji23]
Utanitumia pm picha ya chupa ya maji.[emoji1787][emoji1787]sura yangu naogopa kuianika kwenye hadhara ya JF!
Hili nalo njaa mbaya Sana,tusiwalaumu wakina dada wanaojiuza Wana njaa kama hili dubwashaHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Zito ni mdini Kwa hiyo sisi wasabato na mashekhe hatuunganishi taifaHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utanitumia pm picha ya chupa ya maji.
Ukiianika hapa,si ulisikia mama yupo anapita humu..
Akikuona[emoji1787]na unavyomwita kilaza[emoji23]
Kakosea nini?Uliandika nini awali? Ndiyo jibu hilo.
Naomba nione[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Inawezakana FaizaFoxy ni Zitto.Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Wewe unadhani kakosea nini?Kakosea nini?
mathehebu mangapi hawajatoa , mbona anasifia kkkt tu?Kkkt hawajatoa waraka wa kupinga kilichopo ndan ya mkataba wa DP world!! That's why....
Wengine wanasema FF ni mama AbdulInawezakana FaizaFoxy ni Zitto.
MchocheziKakosea nini?
Cz kkkt walikua live na Rais na kutoa msimamo wao, so zito kadaka hilo pekee!! NB: Zito ni mzee wa fursa na ni mdau wa DP world!M
mathehebu mangapi hawajatoa , mbona anasifia kkkt tu?
ready.Naomba nione
Nitakuambia maji kama yanatosha au nikuongeze maana[emoji23]
Kazi si ya kitoto [emoji1787]
Maji hayatoshiready.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maji hayatoshi