Citizen_37
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 957
- 1,124
Ameona atumie njia hii kuleta chuki baina ya KKKT na TEC......Hakuna KKKT anayeunga mkono mazingaombwe yanayoendelea.Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Wanajitambua wanamjua hatafanikiwaAmeona atumie njia hii kuleta chuki baina ya KKKT na TEC......Hakuna KKKT anayeunga mkono mazingaombwe yanayoendelea.
Vipi khs Dini yake?Ukiona ivo ujue swahiba wake February yuko mbioni kujiunga KKKT...michezo ya uraisi hiyo
Ajiunge mara ngapi?Ukiona ivo ujue swahiba wake February yuko mbioni kujiunga KKKT...michezo ya uraisi hiyo
Kwani yeye ana Dini?Udini unamtesa
Hapo Zito ndo kaleta Udini kwa kuingiza KKKTKwani tatizo liko wapi ?
Au KKKT haitambuliki hapa nchini ?
Acheni Udini
Mkisema mdini mnakusudia ni Muislam sana?Zitto ni mdini sana na kama ana ndoto za kuja kungombea uraisi hili litamgharimu sana.
Kanisa Moja Takatifu la MitumeKumbe KKKT kweli wanatumika na serikali ya Samia kuifichia maovu yake, kusifiwa na ndumilakuwili wa sampuli ya Zitto kunalishushia heshima hilo kanisa, wala hapo tusidanganyane.
Nitasimama na wale wasiojua wala kuukumbatia unafiki siku zote, TEC wamesimama wakahesabiwa, tunaojielewa tumewaelewa.
Kama Rostam Aziz alivyoshindwa kujizuia akawanunulia Vyombo Vya Kwaya KKKT Usharika wa Kinondoni ππHapo kaiponda TEC kimtindo, kaonesha udini wake ki aina, hakupaswa kutaja KKKT, Ameshindwa kujizuia kuonesha hisia zake za udini ikabidi atupe jiwe gizani kuiponda TEC
Kuna Gaidi limetoroka Gerezani huko Uingereza na wananchi Wanaishi kwa hofu kuuKwa hivyo waislamu hawaunganishi nchi?
Aliyo yasema ni ya kweli kabisa....na watu wengi wasiofungamana na upande wowote wanatambua hilo, shida pekee hapo huo ukweli umekaa kichochezi na unabomoa zaidi kuliko kujenga.Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Ameshamwalibia mkkkt Dr Mwigulu PhD ππππ₯Aliyo yasema ni ya kweli kabisa....na watu wengi wasiofungamana na upande wowote wanatambua hilo, shida pekee hapo huo ukweli umekaa kichochezi na unabomoa zaidi kuliko kujenga.
Shida ipo wapi katika kauli hiyo? Mi sioni cha kujadili hapo.Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app