Kupeleka pesa China hiyo sheria mliitungia wapi?Cha kushangaza ni nini wakati sheria imetungwa bungeni Chadema mkiwemo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupeleka pesa China hiyo sheria mliitungia wapi?Cha kushangaza ni nini wakati sheria imetungwa bungeni Chadema mkiwemo!
Ndio mana Magu hakutaka kuwadekeza wanafiki hao, yeye alikuwa bz na mipango ya maendeleo yanchi tu.Watasemana yote, mpaka nyumba zao kubwa na ndogo watazitaja
Sema ya kubomao nchi nchi haijengwi kwa madaraja inajengwa na watuNdio mana Magu hakutaka kuwadekeza wanafiki hao, yeye alikuwa bz na mipango ya maendeleo yanchi tu.
Liwalo na liweee,Zitto anaweza kusema madhara aliyoyapata enzi za mwenda zake km gao wenzake.
Mhhhh! Tuhuma nzito sana hiziMbivu na mbichi Sasa hadharani, kumbe hawa jamaa kulikuwa na mgao wa fedha waliopewa ili wawe wakimbizi!
Nilishangaa Lemma eti naye mkimbizi, pengine Lissu yeye bado mkataba wake wa kuwa mkimbizi haujaisha mpaka sasa.
Na Lemma alikuwa anagoma kurudi, bado yule Mzee wa maswali magumu
View attachment 2528326
One is collateral until we pay the investor
😅😅😅Zitto alimchomea kubenea?kweli wanasiasa wanajali matumbo yao tu 😅Nilimshangaa Lema kuondoka hadi na House girl!
Kumbe alilipwa
Kubenea je aliyekamatwa Namanga?
Huenda Zitto Kabwe ndiye aliyemchongea polisi
Are you sure this tweet is from him???because this will show that he’s sunken really low unfortunately it’s Tanzania he must really hungry.Mbivu na mbichi Sasa hadharani, kumbe hawa jamaa kulikuwa na mgao wa fedha waliopewa ili wawe wakimbizi!
Nilishangaa Lemma eti naye mkimbizi, pengine Lissu yeye bado mkataba wake wa kuwa mkimbizi haujaisha mpaka sasa.
Na Lemma alikuwa anagoma kurudi, bado yule Mzee wa maswali magumu
View attachment 2528326
😆😅😅😅Zitto alimchomea kubenea?kweli wanasiasa wanajali matumbo yao tu 😅
Tuachane nae maana haki yake kujamba makande kala yeye.Ni mlamba asali mshirika SUK
Sijui keshakujibu.....Kupeleka pesa China hiyo sheria mliitungia wapi?
Mbowe hakusema atamtafutia Mdee nafasi kama ya Lema, alisema angemtafutia Mdee nafasi kwenye mashirika makubwa ya kimataifa, na akataja hadi kiasi cha mshahara ambao Mdee angeweza kuupata, ulichoandika hapo umepotosha.kwani Wewe ulikuwa hujui kuwa uki qualify kuwa Mkimbizi wa Kisiasa kuna fedha unalipwa ? hujajiuliza kwanini Lissu katangaza kurudi ku renew visa yake ya ukimbizi wa kisiasa?, umesahau Mbowe aliwahi kutangaza hadharani kuwa Halima Mdee aliposaliti kuwa Mbunge wa viti maalum alimwita akamueleza kuwa aachane na nafasi hiyo na yeye atamtafutia fursa kama ya Lema?
vijana wa kitanzania mnaishi kwny kisiwa cha peke yenu sana
Sijui keshakujibu.....
Lisu naye aliwahi kuulizwa msimamo wake kuhusu posho lukuki wanazolipwa wabunge huku wananchi wanaowakilishwa wakiwa hoi; jibu la lisu lilikuwa kuwa pesa wanayolipwa ni ndogo sana akilinganisha na pesa aliyokuwa anatengeneza kabla ya ubunge.Nakumbuka baada ya zitto kuanza mchakato wa kukataa posho ya kiti ya kila siku pale bungeni lema alimpinga sana akisema ile ni baraka kutoka kwa Mungu ,mchaga kwenye pesa anaweza kumgeuka kila mtu hata kuuwa lema anaweza ilimradi pesa iwepo
USSR