Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,396
- 2,108
Magufuli ataendelea kuwaumbua Kuna mengine yalijipiga Risasi menyewe, kutwa nzima kumsema Magufuli vibaya haya sasa kazi kwenu kumbe mlilipwa pesa zenu yakujifamya wakimbzii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Furaha ya kunguru.Vita vya panzi?
jamaa alikamatwa na dolari za kutoshaNilimshangaa Lema kuondoka hadi na House girl!
Kumbe alilipwa
Kubenea je aliyekamatwa Namanga?
Huenda Zitto Kabwe ndiye aliyemchongea polisi
yaani mzungu akupe pesa kirahisi rahisi bila kutarajia kupata madini au raslimali yo yote kutoka kwako?Mbivu na mbichi Sasa hadharani, kumbe hawa jamaa kulikuwa na mgao wa fedha waliopewa ili wawe wakimbizi!
Nilishangaa Lemma eti naye mkimbizi, pengine Lissu yeye bado mkataba wake wa kuwa mkimbizi haujaisha mpaka sasa.
Na Lemma alikuwa anagoma kurudi, bado yule Mzee wa maswali magumu
View attachment 2528326
Yeye Mbowe au watoto wake hawautaki huo mshahara mkubwa? Kweli?Mbowe hakusema atamtafutia Mdee nafasi kama ya Lema, alisema angemtafutia Mdee nafasi kwenye mashirika makubwa ya kimataifa, na akataja hadi kiasi cha mshahara ambao Mdee angeweza kuupata, ulichoandika hapo umepotosha.
Hiyo umekaa ukaona ZZK ndiyo sosi ya habari yako..!!Mbivu na mbichi Sasa hadharani, kumbe hawa jamaa kulikuwa na mgao wa fedha waliopewa ili wawe wakimbizi!
Nilishangaa Lemma eti naye mkimbizi, pengine Lissu yeye bado mkataba wake wa kuwa mkimbizi haujaisha mpaka sasa.
Na Lemma alikuwa anagoma kurudi, bado yule Mzee wa maswali magumu
View attachment 2528326
Kwanini asiseme hiyo 2020?Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
IPO siku MWAMI atasema ;Kuna watu walikuja na kuniomba nipigwe risasi Ili nilipwe pesa nyingi nikakataa, Lissu Yeye akakubali.Mbivu na mbichi Sasa hadharani, kumbe hawa jamaa kulikuwa na mgao wa fedha waliopewa ili wawe wakimbizi!
Nilishangaa Lemma eti naye mkimbizi, pengine Lissu yeye bado mkataba wake wa kuwa mkimbizi haujaisha mpaka sasa.
Na Lemma alikuwa anagoma kurudi, bado yule Mzee wa maswali magumu
View attachment 2528326
So what!ulitaka aishi ulaya kwa pesa ipi sasa,ya mama yako?Mbivu na mbichi Sasa hadharani, kumbe hawa jamaa kulikuwa na mgao wa fedha waliopewa ili wawe wakimbizi!
Nilishangaa Lemma eti naye mkimbizi, pengine Lissu yeye bado mkataba wake wa kuwa mkimbizi haujaisha mpaka sasa.
Na Lemma alikuwa anagoma kurudi, bado yule Mzee wa maswali magumu
View attachment 2528326
Mbona umepanic? Hutaki kusikia ukweli?So what!ulitaka aishi ulaya kwa pesa ipi sasa,ya mama yako?
Haya mbona unayaeleza sasa hv baada ya kusikia Lema anarudi,
Kwanini hukuyasema tangu mwanzo?kwanza sio ajabu mkimbizi wa kisiasa lazima alipwe,
Adui yetu ni ccm,wewe eleza madudu ya ccm,sio ya wapinzani wenzako,kuwashambulia chadema,ni kuwapa ushindi ccm,sasa kwanini unataka kushusha umaarufu wa upinzani?chadema,hii itawapa faida ccm,why now bro,au ndio umalaya wa kisiasa umeanza tena
Ila kwa hili tumwamini maana huo ukweli unajulikana waziZZK si wa kumwamini