ZITTO: Lemma alilipwa fedha na mataifa ya kibeberu ili awe mkimbizi

ZITTO: Lemma alilipwa fedha na mataifa ya kibeberu ili awe mkimbizi

Mbivu na mbichi Sasa hadharani, kumbe hawa jamaa kulikuwa na mgao wa fedha waliopewa ili wawe wakimbizi!

Nilishangaa Lemma eti naye mkimbizi, pengine Lissu yeye bado mkataba wake wa kuwa mkimbizi haujaisha mpaka sasa.

Na Lemma alikuwa anagoma kurudi, bado yule Mzee wa maswali magumu
View attachment 2528326
Kwa hiyo shida iko wapi sasa
 
Km ni kweli hayo maneno katamka ZITTO
Inamaana kwa namna fulani ameanza kumkubari magufuri kuwa MABEBERU hawatupendi sio MARAFIKI wezi MAJAMBAZI wa RASIRIMALI zetu
Ni WACHOCHEZI waliokuwz wanataka kutujaribu kutugawa KITAIFA kwa kutuaminisha MAMBO mengi ya KUONYESHA utawala wa MAGUFURI haukuwa mnzuri Kwa kiasi ambayo sivyo ilivyo

Soon hasa WAPINZANI wataanza kumREFER MAGUFURI kwenye HOTUBA zao chunguza katika MANENO yao wanakwepesha NENO MAGUFURI lkwa mazuri yake
Lkn muda si muda wataanza kuwa wazi mana km kumuelewa kwa jinsi NCHI invyokwenda washamuelewa MAGUFURI alikuwa KIONGOZI wa namna gani na Kwann alikuwa anaipelkea NCHI Mpelampela HAPA KAZI TU

Bwana ZUBERY alikuwa MZARENDO ulikataa kununuriwa na MABEBERU kwa VIPANDE VYA FEDHA
 
Mbivu na mbichi Sasa hadharani, kumbe hawa jamaa kulikuwa na mgao wa fedha waliopewa ili wawe wakimbizi!

Nilishangaa Lemma eti naye mkimbizi, pengine Lissu yeye bado mkataba wake wa kuwa mkimbizi haujaisha mpaka sasa.

Na Lemma alikuwa anagoma kurudi, bado yule Mzee wa maswali magumu
View attachment 2528326
Hapo Zito umechemsha nafikiri unaenda kubaya kama Lipumba.
 
kwani Wewe ulikuwa hujui kuwa uki qualify kuwa Mkimbizi wa Kisiasa kuna fedha unalipwa ? hujajiuliza kwanini Lissu katangaza kurudi ku renew visa yake ya ukimbizi wa kisiasa?, umesahau Mbowe aliwahi kutangaza hadharani kuwa Halima Mdee aliposaliti kuwa Mbunge wa viti maalum alimwita akamueleza kuwa aachane na nafasi hiyo na yeye atamtafutia fursa kama ya Lema?

vijana wa kitanzania mnaishi kwny kisiwa cha peke yenu sana
Hakika nimekuelewa SAS

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
kwani Wewe ulikuwa hujui kuwa uki qualify kuwa Mkimbizi wa Kisiasa kuna fedha unalipwa ? hujajiuliza kwanini Lissu katangaza kurudi ku renew visa yake ya ukimbizi wa kisiasa?, umesahau Mbowe aliwahi kutangaza hadharani kuwa Halima Mdee aliposaliti kuwa Mbunge wa viti maalum alimwita akamueleza kuwa aachane na nafasi hiyo na yeye atamtafutia fursa kama ya Lema?

vijana wa kitanzania mnaishi kwny kisiwa cha peke yenu sana
Upotoshaji huu. Siasa za kitoto na majitaka! Lissu alishatamka hadharani kuwa hakuwa mkimbizi wa kisiasa bali alikuwa Ubelgiji kwa matibabu na ukaazi. Hali hiyo ilimwezesha kuwa huru kuja nyumbani wakati wowote na kurudi.
 
Back
Top Bottom