ZITTO: Lemma alilipwa fedha na mataifa ya kibeberu ili awe mkimbizi

Magufuli ataendelea kuwaumbua Kuna mengine yalijipiga Risasi menyewe, kutwa nzima kumsema Magufuli vibaya haya sasa kazi kwenu kumbe mlilipwa pesa zenu yakujifamya wakimbzii
 
yaani mzungu akupe pesa kirahisi rahisi bila kutarajia kupata madini au raslimali yo yote kutoka kwako?

zito ni kijana wa ajabu sana. miweweseko yake anaipeleka chadema sana. ni wazi inawezekana anajilaumu kuondoka chadema.
 
Zito haaminiki analipwa na CCM kuwachafua wenzake.
 
'Mazingira'

'Tuliyojenga'

'Tusirudie'
Sijui kama Zitto atakanusha hili, au Lema au Lissu...

Mbona 2025 tutaona mengi.
Narudia. Kuna chaka kubwa kwenye hili la maridhiano na katiba mpya. Tutasikia mengi.
 
Huyu jamaa sio Mtanzania...Madhira aliyopita Lema aliwahi kupitia?huyu mtu abinywe "ndeke" aseme kwao wapi....
 
Mbowe hakusema atamtafutia Mdee nafasi kama ya Lema, alisema angemtafutia Mdee nafasi kwenye mashirika makubwa ya kimataifa, na akataja hadi kiasi cha mshahara ambao Mdee angeweza kuupata, ulichoandika hapo umepotosha.
Yeye Mbowe au watoto wake hawautaki huo mshahara mkubwa? Kweli?

Kwamba anapata hela nyingi mno kwenda Tunduma kumpa vidonge vyake silinde? Yaani anapata mihela mingi kwa KUWAPASHA wanaume wenzake?
 
Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Hiyo umekaa ukaona ZZK ndiyo sosi ya habari yako..!!
 
IPO siku MWAMI atasema ;Kuna watu walikuja na kuniomba nipigwe risasi Ili nilipwe pesa nyingi nikakataa, Lissu Yeye akakubali.

Zamani mtu akithibitika ni mchawi kilifanyika kitu Fulani, sikuizi mamlaka zinawaachia Eti waende kupimwa akili.
 
So what!ulitaka aishi ulaya kwa pesa ipi sasa,ya mama yako?
Haya mbona unayaeleza sasa hv baada ya kusikia Lema anarudi,
Kwanini hukuyasema tangu mwanzo?kwanza sio ajabu mkimbizi wa kisiasa lazima alipwe,
Adui yetu ni ccm,wewe eleza madudu ya ccm,sio ya wapinzani wenzako,kuwashambulia chadema,ni kuwapa ushindi ccm,sasa kwanini unataka kushusha umaarufu wa upinzani?chadema,hii itawapa faida ccm,why now bro,au ndio umalaya wa kisiasa umeanza tena
 
Mbona umepanic? Hutaki kusikia ukweli?
Jiulize hao wanaume waliompa lema pesa ya bure, yeye lema anawapa nn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…