Kwa hiyo shida iko wapi sasaMbivu na mbichi Sasa hadharani, kumbe hawa jamaa kulikuwa na mgao wa fedha waliopewa ili wawe wakimbizi!
Nilishangaa Lemma eti naye mkimbizi, pengine Lissu yeye bado mkataba wake wa kuwa mkimbizi haujaisha mpaka sasa.
Na Lemma alikuwa anagoma kurudi, bado yule Mzee wa maswali magumu
View attachment 2528326
Ziwe na ukweli mara ngapi?,yule mzee Magufuli aliangamizwa kwa nguvu kubwa sana,baada ya kuona anaziba mirijaItasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
Hapo Zito umechemsha nafikiri unaenda kubaya kama Lipumba.Mbivu na mbichi Sasa hadharani, kumbe hawa jamaa kulikuwa na mgao wa fedha waliopewa ili wawe wakimbizi!
Nilishangaa Lemma eti naye mkimbizi, pengine Lissu yeye bado mkataba wake wa kuwa mkimbizi haujaisha mpaka sasa.
Na Lemma alikuwa anagoma kurudi, bado yule Mzee wa maswali magumu
View attachment 2528326
Hakika nimekuelewa SASkwani Wewe ulikuwa hujui kuwa uki qualify kuwa Mkimbizi wa Kisiasa kuna fedha unalipwa ? hujajiuliza kwanini Lissu katangaza kurudi ku renew visa yake ya ukimbizi wa kisiasa?, umesahau Mbowe aliwahi kutangaza hadharani kuwa Halima Mdee aliposaliti kuwa Mbunge wa viti maalum alimwita akamueleza kuwa aachane na nafasi hiyo na yeye atamtafutia fursa kama ya Lema?
vijana wa kitanzania mnaishi kwny kisiwa cha peke yenu sana
Upotoshaji huu. Siasa za kitoto na majitaka! Lissu alishatamka hadharani kuwa hakuwa mkimbizi wa kisiasa bali alikuwa Ubelgiji kwa matibabu na ukaazi. Hali hiyo ilimwezesha kuwa huru kuja nyumbani wakati wowote na kurudi.kwani Wewe ulikuwa hujui kuwa uki qualify kuwa Mkimbizi wa Kisiasa kuna fedha unalipwa ? hujajiuliza kwanini Lissu katangaza kurudi ku renew visa yake ya ukimbizi wa kisiasa?, umesahau Mbowe aliwahi kutangaza hadharani kuwa Halima Mdee aliposaliti kuwa Mbunge wa viti maalum alimwita akamueleza kuwa aachane na nafasi hiyo na yeye atamtafutia fursa kama ya Lema?
vijana wa kitanzania mnaishi kwny kisiwa cha peke yenu sana