Keep Dreaming Bro.Nyie inamaana hamjui kuwa membe anamuandalia lissu baraza la mawaziri?? Hamjui kusoma bc hata picha?? Membe waziri wa mambo ya nje, Lissu Rais, waziri mkuu Mbowe ..Zkk waziri wa fedha , Magufuri waziri wa barabara ..Lema waziri wa mambo ya ndani ..sugu waziri wa michezo ..Tamisemi Bulaya ..Mdee waziri wa katiba na sheria..Juma duni waziri wa Elimu .. Spika Kibatala ..kwa wakuu wa mikoa tunambakisha Antony Mtaka wa simiyu baaasi
CCM hawazubaishwi kizembe namna hiyo !Hawaelewi strategy nyuma ya majibu ya Zito. Membe ni smokescreen ya kuwazubaisha CCM! All along candidate ni Lissu!
Endeleeni kuota hvyo hvyo ..hii Ni 2020 na huyu Lissu sio wa kusema anamuachia mungu, shauri yenu ..msiishi kwa kukariri ...vunja kufuri ingia ndani Kisha mwaga pombe October 28 ..usirudie kosa broKeep Dreaming Bro.
October 28 ni CCM 5 tena
Watu same hang any ilia a aisee! Upinzani wamepoteana, toka chama cha kupinga ufisadi, vimegeuka vyama vya kupinga maendeleo na kutetea wazembe na mafisadi bila kusahau beberusWakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya .
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?....
Ondoa neno EU weka BeberuEU tathimini yao ya siku 15 za kampeni Tanzania CCM itashinda si chini ya 81%. Lissu anaenda kuwa mgombea wa upinzani aliye vunja rekodi ya kupata asilimia kidigo tangu nchi hii ingie kwenye mfumo wa vyama vingi. Na hii itaonesha uropokaji na upayukaji bila maarifa si njia sahihi ya kuomba kura.
Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya .
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri ,na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza
Ha ha haaaa we jamaa kumbe ni zwazwa kihasi hichi duh!Zitto hapo ametumia akili kujibu hilo swali.
Bado nacheka
Daaah! Amechanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Seriously! 😂😂Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya. Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?...
MmmhZitto hapo ametumia akili kujibu hilo swali.
Zito hakutegemea Hilo swaliDaaah! Amechanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DUUU🤣🤣🤣Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya. Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?...