Uchaguzi 2020 Zitto: Membe hajaacha kufanya kampeni, yuko bize kuandaa Baraza la Mawaziri

Uchaguzi 2020 Zitto: Membe hajaacha kufanya kampeni, yuko bize kuandaa Baraza la Mawaziri

EU tathimini yao ya siku 15 za kampeni Tanzania CCM itashinda si chini ya 81%. Lissu anaenda kuwa mgombea wa upinzani aliye vunja rekodi ya kupata asilimia kidigo tangu nchi hii ingie kwenye mfumo wa vyama vingi. Na hii itaonesha uropokaji na upayukaji bila maarifa si njia sahihi ya kuomba kura.
Jiwe anaenda kuandika historia ya kuwa Rais wa awamu moja

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
EU tathimini yao ya siku 15 za kampeni Tanzania CCM itashinda si chini ya 81%. Lissu anaenda kuwa mgombea wa upinzani aliye vunja rekodi ya kupata asilimia kidigo tangu nchi hii ingie kwenye mfumo wa vyama vingi. Na hii itaonesha uropokaji na upayukaji bila maarifa si njia sahihi ya kuomba kura.
Weka hapa link ya hiyo tathmini.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Afadhali huyu ana maanisha anachosema si wale wa Kigoma kuwa Dubai ya Afrika. Tumpate wapi Rais kama JPM?! Watanzania tarehe 28/10/2020 tumpe JPM na wagombea wa CCM kura za kishindo za ndiyoo. Ili Lissu na mabwana zake akina Robertson wajue Watanzania si wa mchezo mchezo wala si wa kuchezewa.
Kura kwa Mh Lissu, achana na Jiwe ambaye kila kitu chake kina utata kuanzia elimu, kabila mpaka manunuzi ya ndege

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
ACT tulifikiri ndio wangeweza kupata wabunge wengi lakini imekuwa kinyume sana kwenye kampeni. Chadema bado itaongoza huku bara, Zitto sijui kafeli wapi!
 
Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya.

Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?

Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza
Nadhani Zitto yuko frustrated sana jinsi ambavyo Membe amemwangusha. Maalimu Seif ameanza kampeni baada ya huku bara kuanza na yuko active kuliko Membe.

Pia kwanini Zitto mara zote toka 2015 haoni sababu ya yeye kugombea na kuweka wengine(wasio na ushawishi kumzidi) kigombea inaonyesha chama chake bado focus yake ni ndogo.

Nilitegemea aogombee Urais mwaka huu, kwa nguvu ya ushawishi aliojijenga nao ingekuwa faida sana kwa upinzani. Imagine duo ya Zitto na Lissu jukwaani.
 
Kwa mujibu wa sheria, katika hatua tulipo ya uchaguzi, vyama au wagombea hawaruhusiwi kuungana,na ikiwa watafanya hivyo rungu la NEC na lile la msajili wa vyama vya siasa litawashukia na litawaondoa katika kinyang'anyiro.

Hivyo option iliyopo ni Membe kutokupiga kampeni ili hasije akagawana kura na Mh Lissu. Hongera Membe hivi ni viwango vikubwa vya uzalendo.
 
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza
Dah!
 
Kwa mujibu wa sheri, katika hatua tulipo ya uchaguzi, vyama au wagombea hawaruhusiwi kuungana,na ikiwa watafanya hivyo rungu la NEC na lile la msajili wa vyama vya siasa litawashukia na litawaondoa katika kinyang'anyiro.

Hivyo option iliyopo ni Membe kutokupiga kampeni ili hasije akagawana kura na Mh Lissu. Hongera Membe hivi ni viwangu vikubwa vya uzalendo.
kwa hiyo unaamini kabisa membe hatopata kura kutoka kwa wafuasi wa zambarau?
 
Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya.

Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?

Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza
Zitto hawezi fanya ujinga wafanyao Chadema saccos. Kuzunguka nchi nzima, huku wakijua kuwa hawawezi shinda.
 
Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya.

Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?

Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza
Wa Tanzania tunaonekana wajinga Sana kwakweli, kalamba Ruzuku yote yeye na Zito, then kaamua kukaa kimya na hakuna wa kumuuliza, vya vingi huingia kwenye uchaguzi ili tu kupata Ruzuku, mwingine Chauma yeye kila siku ni hadithi za ubwabwa tu akitumia Kodi zetu na Ruzuku kalamba, ifike mahali hivi vyama vya kipuuzi vifutiliwe mbali, wanachezea jasho letu hawa.
 
Nyie inamaana hamjui kuwa membe anamuandalia lissu baraza la mawaziri?? Hamjui kusoma bc hata picha?? Membe waziri wa mambo ya nje, Lissu Rais, waziri mkuu Mbowe ..Zkk waziri wa fedha , Magufuri waziri wa barabara ..Lema waziri wa mambo ya ndani ..sugu waziri wa michezo ..Tamisemi Bulaya ..Mdee waziri wa katiba na sheria..Juma duni waziri wa Elimu .. Spika Kibatala ..kwa wakuu wa mikoa tunambakisha Antony Mtaka wa simiyu baaasi
[emoji848]kumbe..!!
 
Zitto> wana Kigoma Lissu anawahutubia leo msikilizeni hoja zake ( HAPA PANA AKILI KUBWA INATUMIKA )
 
Mkuu unamaanisha kama Zitto angekuwa mgombea wa ACT na Lissu mgombea wa CHADEMA kwamba upinzani ungepata faida sana?
Nadhani Zitto yuko frustrated sana jinsi ambavyo Membe amemwangusha. Maalimu Seif ameanza kampeni baada ya huku bara kuanza na yuko active kuliko Membe.

Pia kwanini Zitto mara zote toka 2015 haoni sababu ya yeye kugombea na kuweka wengine(wasio na ushawishi kumzidi) kigombea inaonyesha chama chake bado focus yake ni ndogo.

Nilitegemea aogombee Urais mwaka huu, kwa nguvu ya ushawishi aliojijenga nao ingekuwa faida sana kwa upinzani. Imagine duo ya Zitto na Lissu jukwaani.
 
zitto>wana kigoma lissu anawahutubia leo msikilizeni hoja zake ( HAPA PANA AKILI KUBWA INATUMIKA )
Akili ni ipi ndugu, huo ni ujinga wa Hali yajuu Sana na sichelei kusema hata anaesema niakilikubwa naye nimjinga kabisa, akili wakati watu Ruzuku za kampeni zipo mifukoni mwao na kampeni hawafanyi bado unasema akili kubwa, kumbuka hizo Ruzuku ni pesa zangu mimi, wewe na Watanzania wote tuliyeumia kulipa Kodi miaka yote. Leo wanaume wamezifinya mfukoni na kukaa kimya na safari za nje wakijidai wagonjwa, ifike mahali upuuzi huu tunao fanyiwa na wanasiasa ukome jamani, tuwe na uchungu
 
Back
Top Bottom