MUSIGAJI
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 2,254
- 2,715
Ni afadhali kupata chache kuliko angepiga kampeni kwelikweli angezichukua zaidi. Mkuu wapinzani ( CHADEMA na ACT)
katika nafasi ya urais wamejitahidi sana, walikuwa na viunzi vingi mno.
katika nafasi ya urais wamejitahidi sana, walikuwa na viunzi vingi mno.
kwa hiyo unaamini kabisa membe hatopata kura kutoka kwa wafuasi wa zambarau?