Uchaguzi 2020 Zitto: Membe hajaacha kufanya kampeni, yuko bize kuandaa Baraza la Mawaziri

Uchaguzi 2020 Zitto: Membe hajaacha kufanya kampeni, yuko bize kuandaa Baraza la Mawaziri

Watu wakubwa wanafanya mambo makubwa, watu wadogo wanajifunza kuvaa kanzu majukwaani[emoji2][emoji2][emoji2]! JPM 5 tena!View attachment 1575546View attachment 1575547

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Afadhali huyu ana maanisha anachosema si wale wa Kigoma kuwa Dubai ya Afrika. Tumpate wapi Rais kama JPM?! Watanzania tarehe 28/10/2020 tumpe JPM na wagombea wa CCM kura za kishindo za ndiyoo. Ili Lissu na mabwana zake akina Robertson wajue Watanzania si wa mchezo mchezo wala si wa kuchezewa.
 
Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya .
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri ,na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza
Kuna watu wanoamini ushirikina wanakuwa na matumaini kuwa jambo fulani litatokea tu kama mganga/mchawi wao ailvyowaaminisha hata kama dalili zote zinapingana na walichoaminishwa na mchawi wao. Ukishangaa ya musa utaona ya nani????
 
Afadhali huyu ana maanisha anachosema si wale wa Kigoma kuwa Dubai ya Afrika. Tumpate wapi Rais kama JPM?! Watanzania tarehe 28/10/2020 tumpe JPM na wagombea wa CCM kura za kishindo za ndiyoo. Ili Lissu na mabwana zake akina Robertson wajue Watanzania si wa mchezo mchezo wala si wa kuchezewa.
Hii inaitwa tunatekeleza kwa kishindo.
#mafigamatatuhuivishamsosi #betritatuhutoamwangamkali
#kurayangukwamgufuli
#kurazangukwawagombeawaccm
#mi5tenakwamagufuli.

Magufuli amefanya mengi kwa kipindi kifupi sana ni imani yetu atafanya mengi zaidi kwa kipindi kinachofuata.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Comment za wengi humu mpaka zinasikitisha Yaani...wachache sana wamemuelewa zito na nadhani hata yeye hapendi aeleweke na watu wenye akili za kuvukia barabara.
 
Nadhani hii ndio ile “kukaribia kuokota makopo” aliyoiongelea mwanasiasa mmoja hivi karibuni. Zitto you are not serious. Busy kuandaa baraza la mawaziri? Huu ni utoto sasa
 
😂😂😂😂😂😂Dunia simama me nishuke nimechoka na vituko vyako
 
Kwani Zitto alivyowahi kusema kuwa kutakuwa na mgombea mmoja wa uraisi kupitia kambi ya upinzani mlikuwa hamuelewi?

It seems ACT wako na Lissu mwanzo mwisho.

Membe aliingia kama plan B incase Lissu angefanyiwa magumashi na NEC
Perfect. Mwaka huu tumejipanga. Tar 26 itatangazwa rasmi kura zote kwa Lissu
 
Nyie inamaana hamjui kuwa membe anamuandalia lissu baraza la mawaziri?? Hamjui kusoma bc hata picha?? Membe waziri wa mambo ya nje, Lissu Rais, waziri mkuu Mbowe ..Zkk waziri wa fedha , Magufuri waziri wa barabara ..Lema waziri wa mambo ya ndani ..sugu waziri wa michezo ..Tamisemi Bulaya ..Mdee waziri wa katiba na sheria..Juma duni waziri wa Elimu .. Spika Kibatala ..kwa wakuu wa mikoa tunambakisha Antony Mtaka wa simiyu baaasi
Kwani mikoa itakuwepo! Au chadema hizi ni ndoto?
 
EU tathimini yao ya siku 15 za kampeni Tanzania CCM itashinda si chini ya 81%. Lissu anaenda kuwa mgombea wa upinzani aliye vunja rekodi ya kupata asilimia kidigo tangu nchi hii ingie kwenye mfumo wa vyama vingi. Na hii itaonesha uropokaji na upayukaji bila maarifa si njia sahihi ya kuomba kura.
Sasa wakitathmini pia kuwa kuna uwizi wa kura msije na mapovu kuwa ni mabeberu!!
 
Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya .
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri ,na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uongo wa wazi kabisa
 
Zitto na washabiki wa Tundu wanazungumza mambo yasiyokuwepo
Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya .
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri ,na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza
 
Nahisi wanapigaa chenga tume ya uchaguzi na mafisiemm...hawachelewi..kuleta goal LA mkono,...muungano wao na chadema ya kumsupport RAIS mtarajiwa TAL isifeli
 
Back
Top Bottom