Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Watu wakubwa wanafanya mambo makubwa, watu wadogo wanajifunza kuvaa kanzu majukwaani[emoji2][emoji2][emoji2]! JPM 5 tena!View attachment 1575546View attachment 1575547
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Afadhali huyu ana maanisha anachosema si wale wa Kigoma kuwa Dubai ya Afrika. Tumpate wapi Rais kama JPM?! Watanzania tarehe 28/10/2020 tumpe JPM na wagombea wa CCM kura za kishindo za ndiyoo. Ili Lissu na mabwana zake akina Robertson wajue Watanzania si wa mchezo mchezo wala si wa kuchezewa.