Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hii nzuri snWakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya.
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na Mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza.
Jibu murua kabisa hiliWakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya.
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT imekata upepo na Mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa baraza lake la mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza.
Mkuu umesikika vyema, sasa je weweza orodhesha hizo dharau angalau mbili?Angalia Tabora aka tbr leo. Asiye na mwana...... Lissu ataachwa aendelee na aongee maneno ya kashfa na dharau kwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania na Rais wa JMT mpaka lini? Kwa nini Lissu anaachwa aoneshe dharau kwa mamilioni haya ya Watanzania. Hii si mila na desturi yetu Watanzania hasa inapokuwa ni kiongozi Mzalendo kama JPM.
Uhuru wa kujieleza maana yake ni kuvuja mipaka na miiko na desturi ya heshima ya kiafrika.? Kweli, kweli, kweli kizazi hiki cha Watanzania ndio hekima yetu imeishia hapa? Tuna mshangilia mtu anayemdhalilisha Rais ambaye tumemuamini na kumpa heshima ya kutuongoza watu zaidi ya 60M. Na tena Rais anayetuonesha kwa vitendo jinsi alivyojitoa muhanga kututumikia kama Taifa. Hii si sawa hata kidogo na rudia tena na tena hii si sawa hata kidogo. Tujisahihisheni jamaani Watanzania wenzangu.
Hadithi hii kakufundisha nani?!Nyie inamaana hamjui kuwa Membe anamuandalia Lissu baraza la mawaziri?? Hamjui kusoma basi hata picha? Membe waziri wa mambo ya nje, Lissu Rais, waziri mkuu Mbowe .. Zkk waziri wa fedha, Magufuli waziri wa barabara .. Lema waziri wa mambo ya ndani .. Sugu waziri wa michezo .. Tamisemi Bulaya .. Mdee waziri wa katiba na sheria.. Juma duni waziri wa Elimu .. Spika Kibatala ..kwa wakuu wa mikoa tunambakisha Antony Mtaka wa Simiyu baaasi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 unaandaje baraza la mawaziri huku ukiwa huonekani kufanya kampeni ili kupata ushindi!?
Umeelewa hoja? Hao EU kesho wakiwaita madikteta msigeuke kuwananga kuwa ni mabeberu.Watathimini kuwa kuna uwizi wa kura upi. Labda kutoka asilimia 81 kwenda 96% ambazo ndizo ninazo ona kama JPM ushindi wake ukipungua ndizo atakakazo zipata. Ila kama hali itaendelea kama Tabora leo Lissu atapa 1% ya kura za urais wa JMT.
Naona hapo anapanga baraza la mawaziriDuh![emoji116]
View attachment 1575523
Mtu hazidi hata watu 50 kwenye mikutano yake ndio unaita smoke screen,Hawaelewi strategy nyuma ya majibu ya Zito. Membe ni smokescreen ya kuwazubaisha CCM! All along candidate ni Lissu!
Siasa ni kama kaugonjwa fulani ka ukichaa!😂😂 dah! Siasa bhana kazi ipo Labda baraza la ndotoni
Afadhali huyu ana maanisha anachosema si wale wa Kigoma kuwa Dubai ya Afrika. Tumpate wapi Rais kama JPM?! Watanzania tarehe 28/10/2020 tumpe JPM na wagombea wa CCM kura za kishindo za ndiyoo. Ili Lissu na mabwana zake akina Robertson wajue Watanzania si wa mchezo mchezo wala si wa kuchezewa.
Hiki ndio ninachokijua. Wala huwezi kumsikia Lissu anamsema Membe mahali popote
Nahisi wanapigaa chenga tume ya uchaguzi na mafisiemm...hawachelewi..kuleta goal LA mkono,...muungano wao na chadema ya kumsupport RAIS mtarajiwa TAL isifeli
Wakati wa utawala wake, Amini wa Uganda alikua ni maarufu sana kwa kutuma telegrams; Zito yeye ni maarufu sana kwa kuandika na kutuma barua. Nadhani baraza hilo la Membe litakuwa linatuma barua nyingi sana kwa siku.Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya.
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT Wazalendo imekata upepo na Mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa Baraza lake la Mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza.
Mbona mnahangaikaendelea kujua ivo ivo:
Mbona mnahangaika