Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Waungane wasiungane BAKORA ZA ALFAJIRI ZIPO PALE PALE..
Za kuwacharaza nyie mandezi siyo..!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waungane wasiungane BAKORA ZA ALFAJIRI ZIPO PALE PALE..
Pamoja mkuuNakubali mkuu...
Usikute we jamaa ni mwanafunzi mwaka wa pili pale UDSM na unaandika comment hii kutoka hostel za MagufuliHatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.
Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!
Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!
Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?
Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,
#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Yaani unamfananisha lissu na ngoyai anayehutubia sekunde mbili amemaliza na mashine kama lissu anayeweza kutema cheche hata siku nzima bila kunywa hata maji??? Jitafakari aiseeUmesahau mwaka 2015 Chadema na CUF waliungana tena chini ya Ngoyai akiwa kwenye peak, na bado CCM iliibuka kidedea?
Mkuu tuweke mkeka. Kwenye uchaguzi huu Lissu hapati zaidi ya asilimia 10%. Kama unabisha,Yaani unamfananisha lissu na ngoyai anayehutubia sekunde mbili amemaliza na mashine kama lissu anayeweza kutema cheche hata siku nzima bila kunywa hata maji??? Jitafakari aisee
Kila jambo na wakati wake na kila jambo na ujira wake kuna wakati kupanda na wakati wa kuvuna,wakati wa kulia na wakati wa kucheka hakuna lililo siri chini ya jua Mungu ni wetu soteKuondoka CCM huu mwaka haiwezekani ilishindikana wakati wa lowasa sembuse Leo.
Unateuliwa na tume hata kama hukurejesha fomu? Hata kama ndio hizo amri kutoka juu kweli zinaenda hivyo. I don't think so.Kama nilivyosema muda siyo lrafiki kwa hawa ndugu zetu, wangetaka hivyo wangefanya kabla hata ya kuchukua hizo fomu huko NEC. Sasa kila mtu kesha chukua, je NEC ikiwapitisha wote watafanyaje na sisi mfumo wetu sio kama wa Kenya kuwa mnaweza kufanya Coalition baada ya kukubaliana namna ya kugawana hizo nafasi za ulaji na uongozi? Anyway tusubiri tuone.
Wakati kila chama pinzani kinataka kukamata dola chenyewechenyewe, CCM wanawaangaliaaa wanasema hihihiiiKwa asilimia 100 nilishaamini kuwa CCM tutaing'oa 2015 lakin haikuwa ivyo, MKAPA akafanya yake magu akapita. Sina hakika kwa msimu huu kama tutachukua kiti..
Hii nchi ilibidi iwe na vyama viwili tu vyenye nguvu na ushawishi kama ilivyo USA lakin sio kwa style hii vyama viingi kama ikulu kuna biashara. DRC kipindi ile kulikuwa na vyAma zaidi ya 40's vya kisiasA.
Bado inawezekana mbona mwema na Cheyo wamesema wao wanamuunga mkono JPM hivyo wakipanda kujwaa moja Membe atakuwa anamnadi LisuKama nilivyosema muda siyo lrafiki kwa hawa ndugu zetu, wangetaka hivyo wangefanya kabla hata ya kuchukua hizo fomu huko NEC. Sasa kila mtu kesha chukua, je NEC ikiwapitisha wote watafanyaje na sisi mfumo wetu sio kama wa Kenya kuwa mnaweza kufanya Coalition baada ya kukubaliana namna ya kugawana hizo nafasi za ulaji na uongozi? Anyway tusubiri tuone.
Mkuu, bado sijaachana nawewe, nipo nawe hadi unipe jibu la msingi!Slow slow but sure...
Endeleeni kuwashwa washwa.
Labda tu kwa details nikufahamishe japo kwa uchache, depo yangu ni F2, (P.F yangu itabaki siri), depo ni mwaka 2000'sMgambo katika ubora wako![]()
![]()
![]()
Lakini kumbuka kazi yako ni kukamata mkaa, hii kazi nyingine utachoka sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na heshima mtoto!Usikute we jamaa ni mwanafunzi mwaka wa pili pale UDSM na unaandika comment hii kutoka hostel za Magufuli
Thubuti! Utachomoka weye🤣😂🤣!Sawa!
Naamini kabisa CHADEMA na ACt wakiungana CCM lazima ichomoke...!!
Huyo wa kwenu akatafute kijiji cha kuongoza huko chato urais ni habari nyingine ona sasa keshaharibu nchi yetu nzuriSio rais
Labda awe rais wa tff
Na tuko tayari kufanya maamuzi...... Na kulinda ushindiDunia mzima inalijua hilo
Kwa pamoja tutashinda na kumuondoa shetani mweusiNa tuko tayari kufanya maamuzi...... Na kulinda ushindi
Mbona ccm ishajifia tu kitambo?Thubuti! Utachomoka weye[emoji1787][emoji23][emoji1787]!
Mkoloni mweusi lazima apukutishwe...Kwa pamoja tutashinda na kumuondoa shetani mweusi
Haina kurembaMkoloni mweusi lazima apukutishwe...
Miaka mitano tena ya Mwl Dokta mkemia Magufuli mkali wa lugha duniani.Huyo wa kwenu akatafute kijiji cha kuongoza huko chato urais ni habari nyingine ona sasa keshaharibu nchi yetu nzuri