Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
Hahahaaaa...... Mkali wa lugha duniani huku anaogopa kusafiri kwa sababu ya lugha anasingizia uzalendo😂😂😂😂😂Miaka mitano tena ya Mwl Dokta mkemia Magufuli mkali wa lugha duniani.
Tangu lini kutosafiri nje ikawa ni moja ya uzalendo?
Sana sana hizo ni dalili za woga, kutojiamini na madikteta wote wanafanya hivo ili kujitenga na dunia