Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 6,109
- 8,080
Hongera kwa barua hizo za maonyo, zijazo zitakuwa ni kubwa kuliko.Mkuu hunijui, sikujui, nina barua zaidi ya 3 kila mwaka za maonyo toka 2015,(pengine idara yenu mnaita karipio)na tupo wakaguzi na maafisa zaidi ya watano wenye maonyo haya haya, so sijajua umelenga nini kwenye swali lako, funguka "mtumishi"