Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Usimshangae tazama kwanza hiyo ID yake ndiyo utamuelewaJipe moyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimshangae tazama kwanza hiyo ID yake ndiyo utamuelewaJipe moyo
Rasmi nimekupuuza! Huna hoja, maana swali ulilouliza awali nikakujibu, nikategemea utanipa consequences za mtu kusimamia sheria, kanuni, taratibu na ethics za kazi ni zipi kulingana na warning uliyonipa umeishia kubwabwajaMbona unakomaa na idara, kwani hizo barua unauhakika zimetoka katika idara hii unayoitaja kila wakati acha hasira. Fuata kanuni za utumishi wa umma hasa idara yako ya police kama investigators.
Washa chelewa maana kwa sasa hata wakipanga mipango hovu juu ya mh Lissu hizo habari zinatoka kabla hawajamaliza kikao chao.Lowassa alikuwa hajui kumwaga sumu kwa kutumia mdomo wake. Lissu anamwaga sumu acha kabisa.Hapo CCM wanatamani wamuue tu.
Excellent. Waendelee.Tuko mbele, nyuma, na pembeni mwao.Sawa!
Naamini kabisa CHADEMA na ACt wakiungana CCM lazima ichomoke...!!
Tuzidisha maombi na kuungana ili tuikomboe nchi yetuAwamu ya pili ndipo utawala huu wa mkono wa chuma utatamalaki zaidi, JPM na CCM yake sasa basi. Mitano ya Utawala wa Imla Yatosha.
Pamoja sana kamandaLissu ndio tunamtaka.
Kwani sasa hivi wewe unaona kuna vyama vingapi vyenye nguvu?Kwa asilimia 100 nilishaamini kuwa CCM tutaing'oa 2015 lakin haikuwa ivyo, MKAPA akafanya yake magu akapita. Sina hakika kwa msimu huu kama tutachukua kiti..
Hii nchi ilibidi iwe na vyama viwili tu vyenye nguvu na ushawishi kama ilivyo USA lakin sio kwa style hii vyama viingi kama ikulu kuna biashara. DRC kipindi ile kulikuwa na vyAma zaidi ya 40's vya kisiasA.
Hilo ni muhimu sana kama mswaki asubuhiTuwatakie heri. Ila watakiwa wawe makini sana wakati wa kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Hiyo ndiyo kete pekee ya kujihakikishia ushindi.
Hongereni sana walinzi wetu kwa kuliona hilo maana hata nyinyi mmetokea huku uraiani, kuna baba zenu, mama zenu, shangazi zenu, wadogo zenu na kaka zenu piaSisi maafande hatutaki kutumiwa kisiasa Tunataka haki na kazi yetu Ni kuwalinda wananchi si kuwaumiza wananchi
Jiandae mapema kisaikolojia maana hutaamini macho yako wakati mh Lissu atakuwa anakula kiapo kukabidhiwa ikuluBora uambie ukweli, na ukweli Ndio huu, Kama 2015 ilishindikana watasubiri sana, upinzani wa kweli wenye nia ya dhati ya kuleta mabadiliko bado sana, hawajui Wanataka nn, wao kazi yao ni kupinga tu liwe zuri kwao ni baya liwe baya kwao ni zuri, kumbukumbu zangu za nyuma zinanionesha upinzani haujui unasimamia nn hasa, mlengo wao ni upi?
Watumishi woote wa Tanzania hawaitaki kabisa ccm, wakulima woote Tanzania hawaitaki ccm, wafanya biashara woote Tanzania hawaitaki ccm, machinga woote Tanzania hawaitaki ccm.Umewahi pokea karipio? Usiwasemee watumishi wengine.
Mwisho wenu wa kula kwa kutegemea chakubanga ameamua nini siku hiyo, umewadiaWakijitahidi watafikisha milioni moja sasa muungano wao unasaidia nini? Hata wakiungana wote bado hakuna kitu.
Miaka.yote mnaangukiapua bado hamjifunzi?
Kipindi cha lowasa kama mlishindwa hivi leo mtashinda kweli?
Subilini kampeni zianze ndo utajua chama dume, wanapiga kona zote za, naishia hapo.
Mkipenda mjijibu wenyewe.
Huyo Lissu maneno yatamuishia mdomoni.
Mtaanza matusi tu.
Slow slow but sure...Watumishi woote wa Tanzania hawaitaki kabisa ccm, wakulima woote Tanzania hawaitaki ccm, wafanya biashara woote Tanzania hawaitaki ccm, machinga woote Tanzania hawaitaki ccm.
Hutaki rudi kwenu koromitdjeWalishindwa ukawa na mvuto wa lowasa waweze kweli kwa act na Cha Domo? Kifupi waungane wasiungane hawawezi kushinda zaidi ya kuusindikiza ushindi wa kishindo wa magufuli
Mnawashwa nyinyi mlio zoea kunyonga sasa mnaambiwa mchinje mnaanza maruperupeSlow slow but sure...
Endeleeni kuwashwa washwa.
Aisee kumbe bado polisi wema wapoHatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.
Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!
Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!
Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?
Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,
#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Mtapiga ramli sana CCM haiondoki leo may be after 50 years to come!Sawa!
Naamini kabisa CHADEMA na ACt wakiungana CCM lazima ichomoke...!!