Uchaguzi 2020 Zitto: Mgombea atakuwa mmoja kati ya CHADEMA na ACT Wazalendo

Uchaguzi 2020 Zitto: Mgombea atakuwa mmoja kati ya CHADEMA na ACT Wazalendo

Hatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.

Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!

Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!

Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?

Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,

#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Wewe ni hopeless huwezi ukawa askari utakuwa mwanasaccos tu acha kujifika uaskari.
 
Lowassa alichafuliwa fisadi,mgonjwa. Ukizingatia alikuwa hawezi kuongea na kujitetea na kumwaga Sumu. Lowassa angekuwa kwenye hali nzuri ya kuongea,angeshinda.
Ushindi ni zaidi ya kumwaga sumu.

1995- Mrema =27.7%

2000 - Lipumba = 16.6%

2005 - Lipumba =11.26%

2010 - Dr Slaa = 27.05%

2015 - Lowasa = 39.97%


Na Lowasa ndiye alikuwa bubu kuliko wote hapo.
 
Ushindi ni zaidi ya kumwaga sumu.

1995- Mrema =27.7%

2000 - Lipumba = 16.6%

2005 - Lipumba =11.26%

2010 - Dr Slaa = 27.05%

2015 - Lowasa = 39.97%


Na Lowasa ndiye alikuwa bubu kuliko wote hapo.
Ina maana asingekuwa bubu,angeshinda.
 
Mgombea atakuwa mmoja ACT NA CHADEMA



Habari hii ni mbaya sana kwa wale wachawi na wapiga ramli chonganishi hasa kutoka kile chama pendwa.

Watakuwa wamefura vilivyo kwa hasira na mapovu mdomoni mithili ya waliomeza OmO.

Wanaendelea kuishiwa na ya kusema.

Hakuna kinachoonyesha matumaini kwa upande wao. Kwa sala na suala majibu yanaendelea kuwa negative.

Eeh mola wetu na ukawaonyeshe ukuu wako na kuwa kamwe hakuna Mungu kama wewe.
 
Bora uambie ukweli, na ukweli Ndio huu, Kama 2015 ilishindikana watasubiri sana, upinzani wa kweli wenye nia ya dhati ya kuleta mabadiliko bado sana, hawajui Wanataka nn, wao kazi yao ni kupinga tu liwe zuri kwao ni baya liwe baya kwao ni zuri, kumbukumbu zangu za nyuma zinanionesha upinzani haujui unasimamia nn hasa, mlengo wao ni upi?
Mngekua mnajuwa mnachokitaka mngetoa Ajira kwa vijana.
 
Habari hii ni mbaya sana kwa wale wachawi na wapiga ramli chonganishi hasa kutoka kile chama pendwa.

Watakuwa wamefura vilivyo kwa hasira na mapovu mdomoni mithili ya waliomeza OmO.

Wanaendelea kuishiwa na ya kusema.

Hakuna kinachoonyesha matumaini kwa upande wao. Kwa sala na suala majibu yanaendelea kuwa negative.

Eeh mola wetu na ukawaonyeshe ukuu wako na kuwa kamwe hakuna Mungu kama wewe.
Mkuu! Subiri oktoba ujionee vituko,
Ccm hii si kutoka madarakani kwa namna hii
 
Washa chelewa maana kwa sasa hata wakipanga mipango hovu juu ya mh Lissu hizo habari zinatoka kabla hawajamaliza kikao chao.
Lissu kuwa Rais hilo Jambo halipo na halitakuwepo.

Naomba baada ya tarehe 28/10/2020 tusisikie lugha za kuibiwa kura au time huru ya uchaguzi.
 
Baada ya kutangazwa mshindi kwa mh Lissu na kuapishwa naona utakuwa wa kwanza kupanda kwenye Nyahunge express kurudi uliko zoea
Vipi boss jana Dodoma imetikiswa siyo????


Baada ya tarehe 28/10/2020 lugha zitakuwa hivi!

1.Tumeibiwa kura
2.Kuna jambo kubwa linaenda kutokea
3.Watanzania kuweni tayari kwa lolote viongozi wenu tunaenda kutoa maelekezo.
4.Muda si mrefu tunaingia barabarani
5.Tayari tumeishafungua kesi the hegue.
 
Back
Top Bottom