Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wenu wa kula kwa kutegemea chakubanga ameamua nini siku hiyo, umewadia
Ninyi jilisheni upepo.Jipe moyo
Za Edo alipewa Magu ubabe ulitumikaKuondoka CCM huu mwaka haiwezekani ilishindikana wakati wa lowasa sembuse Leo.
Magufuli kwa aliyofanya ameshapita jipangeni 2020 na no pia nguvu mngelekeza kwenye ubunge.Lowassa alikuwa hajui kumwaga sumu kwa kutumia mdomo wake. Lissu anamwaga sumu acha kabisa.Hapo CCM wanatamani wamuue tu.
Lowassa yule mliyesema amajinye..? Umasahau kuwa huyo ni mwana ccm?Kuondoka CCM huu mwaka haiwezekani ilishindikana wakati wa lowasa sembuse Leo.
Usitupangie pa kuelekeza nguvuMagufuli kwa aliyofanya ameshapita jipangeni 2020 na no pia nguvu mngelekeza kwenye ubunge.
Tulijiandikisha 2015 inatosha, sisi hatuhami hami kama nyieMashabiki wa chadema wengi hawajajiandikisha kupiga kura wakiongozwa na mgombea urais wao. Au kuna no kujiandikisha tena?
Mashabiki wa Chadema ni maneno tu kuna maneno ndiyo yatapiga kura sawa, hata Lisu hana be kadi ya kupiga kura.Usitupangie pa kuelekeza nguvu
Zanzibar uchaguzi umekwisha tayari.bado huku maji yamefika shingoni.Angalaaau pakuanzia, Zanzibar itoke mikononi mwa CCM.
Binti hata hujielewi unachoandika.kwahiyo wewe unaakili kuzidi tume iliyompa fomu ya kugombea urais?Mashabiki wa chadema wengi hawajajiandikisha kupiga kura wakiongozwa na mgombea urais wao. Au kuna no kujiandikisha tena?
Huna uelewa. Lissu 2015 alipigia wapi kura? Halafu nyie vijishabiki uchwara vya Magufuli msituletee ujinga na ujuaji zero humu Jf! Sawa binti? Tulia ule shule kwanza ndipo uanze kuandika.Mashabiki wa Chadema ni maneno tu kuna maneno ndiyo yatapiga kura sawa, hata Lisu hana be kadi ya kupiga kura.
Hapo ndipo mlipopotea vitambulisho vilibadilishwa. Ulikuwa unarudisha cha zamani unapata kipya. Na majina yakabandikwa. Matokeo yake mtakuja kuanza kupiga kelele eti majina hayapo kumbe hakujiandikisha.Tulijiandikisha 2015 inatosha, sisi hatuhami hami kama nyie
Kaoshe uchi kwanza unatoa harufu ya panya aliyekufa.WamechAnganyikiwa wapenzi wa jinsia moja hao
Ujuaji wenu ndiyo unaopoteza kama hukujiandikisha usitarajie utapiga kura.Huna uelewa. Lissu 2015 alipigia wapi kura? Halafu nyie vijishabiki uchwara vya Magufuli msituletee ujinga na ujuaji zero humu Jf! Sawa binti? Tulia ule shule kwanza ndipo uanze kuandika.