Uchaguzi 2020 Zitto: Mgombea atakuwa mmoja kati ya CHADEMA na ACT Wazalendo

Uchaguzi 2020 Zitto: Mgombea atakuwa mmoja kati ya CHADEMA na ACT Wazalendo

Kama nilivyosema muda siyo lrafiki kwa hawa ndugu zetu, wangetaka hivyo wangefanya kabla hata ya kuchukua hizo fomu huko NEC. Sasa kila mtu kesha chukua, je NEC ikiwapitisha wote watafanyaje na sisi mfumo wetu sio kama wa Kenya kuwa mnaweza kufanya Coalition baada ya kukubaliana namna ya kugawana hizo nafasi za ulaji na uongozi? Anyway tusubiri tuone.

Membe hatorudisha fomu.
Nec haiwezi mpitisha mtu ambae hajarudisha fomu
 
Huna uelewa. Lissu 2015 alipigia wapi kura? Halafu nyie vijishabiki uchwara vya Magufuli msituletee ujinga na ujuaji zero humu Jf! Sawa binti? Tulia ule shule kwanza ndipo uanze kuandika.
Kama unakutana na MTU unamkuta anajivua akili ana sema this is the best leader katika karne hii basi mchunguze sana ana kasoro nzito mno

 
Kwa Tanzania bara Membe ana nafasi ndogo....Lissu kaipiku...kingine wanaotoka CCM muda mwingine hawaaminiki baada ya Lowassa na Sumaye kuwasaliti....

Membe akimsupport Lissu .....ngoma saa 4 asubuhi tunashangilia ushindi.,
 
Lowassa alikuwa hajui kumwaga sumu kwa kutumia mdomo wake. Lissu anamwaga sumu acha kabisa.Hapo CCM wanatamani wamuue tu.
Pia Lowassa hakuwa revolutionary kama Lissu ambaye anathubutu kusema ukweli bila uoga. Lissu anajenga hoja kikamilifu kuliko lowassa. Lissu ana advantage ya age. Lissu ameshapitishwa kwenye moto sasa ni dhahabu safi.
 
Bila tume huru ya uchaguzi yenye kutenda haki, sioni Magufuli anang'oka vipi. Dude will catch all your bodies unfazed before he concedes defeat, man's heartless. I hope mmejipanga vya kutosha kulinda kura zenu, na sio kulalamika foul play.
 
Lowassa alikuwa hajui kumwaga sumu kwa kutumia mdomo wake. Lissu anamwaga sumu acha kabisa.Hapo CCM wanatamani wamuue tu.
Sheria na kanuni za kampeni zinakataza lugha zisizo za kiustaarabu wala staha, lugha zisizo na heshima kwa wagombea wenzako wala kwa mamlaka halali za nchi, lugha za matusi, za uwongo, za kuchochea vurugu, za ukali, lugha zilizo kinyume na maadili mema ya mtanzania ambazo watoto na vijana hawapaswi kuzisikia toka kwa watu wazima.

Tundu Lissu ukimuzuia kuongea lugha hizo atakuwa bubu kwani ndizo lugha pekee anazozijua.

Wananchi wanachotaka kusikia kutoka kwa mgombea urais ni vitu ambavyo mgombea atawafanyia wananchi na taifa kwa ujumla wakimuchagua kuwa rais wao ili kipata maendeleo. Na mambo haya ayaseme kwa lugha ya staha yenye kuwashawishi waamini anasema kweli na wakimuangalia macho yake waamini anasema ukweli.

Mgombea anapaswa kuyaelewa matatizo makuu ya msingi ya taifa letu yanayokwamisha maendeleo ambayo ni:
1. Neocolonism (Ubeberu). Maliasili na utajiri wetu zimeendelea kuporwa kwa wingi kwenda kiendeleza mataifa ya Ulaya, Asia na Amerika. Waporaji hawa (mabeberu) tumekuwa tukiwaita wawekezaji wamekuwa wakitupoza kwa tu misaada midogo midogo.
2. Rushwa
3. Utegemezi
4. Kutojiamini kuwa tunaweza

Huyu jamaa kwa kuwa hakuwapo nchini kwa miaka mitatu hajui hata mambo ambayo tayari yameshafanyika. Hususani jana kwenye sikukuu ya wakulima alizungumzia usumbufu wa kodi na mambo mengine mbali mbali waliyokuwa wakiyapata wakulima njiani wakisafirisha mazao yao. Hajui kwamba kodi hizo na usumbufu huo wa njiani JPM alisha ukomesha zamani. Itamchukua si chini ya miezi 6 kuyajua yote yaliyotendeka katika kipindi hicho cha miaka 3 alichokuwa hayupo maana mengi sana.

Jamaa huyu anapinga ujenzi wa bwawa kubwa kuliko yote Afrika la kuzalisha umeme la Nyerere (Stiegler's) kwa kuwa tayari tunayo mabwawa ya Mtera na Nyumba ya Mungu. Hivyo anaungana na hao mabeberu waliokuwa wakipinga kwa nguvu zote ujenzi wa bwawa hilo. Ikatulazimu tulijenge kwa pesa zetu wenyewe.

Jamaa anafikiri kuwa nchi kuwa na deni la mikopo kubwa kwake ni tatizo. Hajui kuwa hayo ndiyo maendeleo. Nchi jajiri ndizo zinazoongoza kwa ukubwa wa madeni ya mikopo. Hata watu majiri wana madeni makubwa ya mikopo. Masikini huwezi kuwa na madeni makubwa, kwanza hakuna atakayekukopesha kwani anajua hutaweza kurudisha mkopo. Masikini hakopesheki. Tajiri ndiye anakopesheka. Dunia imetutambua sisi ni matajiri wa kiwango cha middle income country. Hivyo madeni ya mikopo lazima yakuwe.
 
Sheria na kanuni za kampeni zinakataza lugha zisizo za kiustaarabu wala staha, lugha zisizo na heshima kwa wagombea wenzako wala kwa mamlaka halali za nchi, lugha za matusi, za uwongo, za kuchochea vurugu, za ukali, lugha zilizo kinyume na maadili mema ya mtanzania ambazo watoto na vijana hawapaswi kuzisikia toka kwa watu wazima.

Tundu Lissu ukimuzuia kuongea lugha hizo atakuwa bubu kwani ndizo lugha pekee anazozijua.

Wananchi wanachotaka kusikia kutoka kwa mgombea urais ni vitu ambavyo mgombea atawafanyia wananchi na taifa kwa ujumla wakimuchagua kuwa rais wao ili kipata maendeleo. Na mambo haya ayaseme kwa lugha ya staha yenye kuwashawishi waamini anasema kweli na wakimuangalia macho yake waamini anasema ukweli.

Mgombea anapaswa kuyaelewa matatizo makuu ya msingi ya taifa letu yanayokwamisha maendeleo ambayo ni:
1. Neocolonism (Ubeberu). Maliasili na utajiri wetu zimeendelea kuporwa kwa wingi kwenda kiendeleza mataifa ya Ulaya, Asia na Amerika. Waporaji hawa (mabeberu) tumekuwa tukiwaita wawekezaji wamekuwa wakitupoza kwa tu misaada midogo midogo.
2. Rushwa
3. Utegemezi
4. Kutojiamini kuwa tunaweza

Huyu jamaa kwa kuwa hakuwapo nchini kwa miaka mitatu hajui hata mambo ambayo tayari yameshafanyika. Hususani jana kwenye sikukuu ya wakulima alizungumzia usumbufu wa kodi na mambo mengine mbali mbali waliyokuwa wakiyapata wakulima njiani wakisafirisha mazao yao. Hajui kwamba kodi hizo na usumbufu huo wa njiani JPM alisha ukomesha zamani. Itamchukua si chini ya miezi 6 kuyajua yote yaliyotendeka katika kipindi hicho cha miaka 3 alichokuwa hayupo maana mengi sana.

Jamaa huyu anapinga ujenzi wa bwawa kubwa kuliko yote Afrika la kuzalisha umeme la Nyerere (Stiegler's) kwa kuwa tayari tunayo mabwawa ya Mtera na Nyumba ya Mungu. Hivyo anaungana na hao mabeberu waliokuwa wakipinga kwa nguvu zote ujenzi wa bwawa hilo. Ikatulazimu tulijenge kwa pesa zetu wenyewe.

Jamaa anafikiri kuwa nchi kuwa na deni la mikopo kubwa kwake ni tatizo. Hajui kuwa hayo ndiyo maendeleo. Nchi jajiri ndizo zinazoongoza kwa ukubwa wa madeni ya mikopo. Hata watu majiri wana madeni makubwa ya mikopo. Masikini huwezi kuwa na madeni makubwa, kwanza hakuna atakayekukopesha kwani anajua hutaweza kurudisha mkopo. Masikini hakopesheki. Tajiri ndiye anakopesheka. Dunia imetutambua sisi ni matajiri wa kiwango cha middle income country. Hivyo madeni ya mikopo lazima yakuwe.
Wewe nawe unajisahaulisha Lowassa alivyotukanwa na kina Six 2015?Siasa ni kumfanya mpinzani wako aonekane hafai kabisa.
 
Bora uambie ukweli, na ukweli Ndio huu, Kama 2015 ilishindikana watasubiri sana, upinzani wa kweli wenye nia ya dhati ya kuleta mabadiliko bado sana, hawajui Wanataka nn, wao kazi yao ni kupinga tu liwe zuri kwao ni baya liwe baya kwao ni zuri, kumbukumbu zangu za nyuma zinanionesha upinzani haujui unasimamia nn hasa, mlengo wao ni upi?
Jiandae kisaikolojia.. hakuna namna
 
Kuondoka CCM huu mwaka haiwezekani ilishindikana wakati wa lowasa sembuse Leo.
Lowasa kwani alikuwa siyo binadamu? Majemedari walimshindwa Goliath lakini Daud alimwondoa. Lowasa siyo kigezo.

Akina Mkwawa walikuwa wapiganaji hasa lakini hawakumwondoa Mjerumani. Nyerere bila jeshi alimwondoa Mwingereza.

Kila hatua ni shule. Hata uwepo wa Lowasa na kuukosa Urais, nayo ilikuwa shule. Kama makosa ya wakati huo yamefanyiiwa kazi, safari hii kutakuwa na mafanikio zaidi ya 2015.

Hakuna kundi ambalo Magufuli hajatengeneza maadui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hunijui, sikujui, nina barua zaidi ya 3 kila mwaka za maonyo toka 2015,(pengine idara yenu mnaita karipio)na tupo wakaguzi na maafisa zaidi ya watano wenye maonyo haya haya, so sijajua umelenga nini kwenye swali lako, funguka "mtumishi"
Mike acha siasa kazini ... fata Amri
 
Kama kweli mmedhamiria kwa hili basi huyo atakaemuachia mwenzie asirudishe form. Itakua ni utoto wote warudishe form halafu mseme mmoja atamuachia mwenzie. Hii ni tahadhari tu.
Wakifanya hivyo yatatokea yaleyale ya 2015 ya wakina Mtatiro mpk CCM wakashinda.
 
Wewe nawe unajisahaulisha Lowassa alivyotukanwa na kina Six 2015?Siasa ni kumfanya mpinzani wako aonekane hafai kabisa.
Hakutukanwa wala kukashiwiwa na mgombea mwenzake wa urais (JPM). Waliokuwa wanampa ndogo ndogo ni wapiga debe wa mpinzani wake (JPM) kama akina Msukuma ambao hawabanwi sana na hizo sheria na kanuni za kampeni za uchaguzi. Hata hivyo hizo ndogo ndogo walizokuwa wanampa zilikuwa za mafumbo mafumbo, zenye ustaarabu, after all huwezi kujua anaweza akaja akawa ndiyo rais wako. Ndiyo maana karudi kwenye kundi lake la wastaarabu.
 
Jipeni matumaini chama cha mjini wakati wapiga kura wako vijijini, sana sana mtaishia kufanya vurugu mnakutana na mkono wa dola ulio madhubuti.
Utafiti wa TWAWEZA ulionyesha kua CCM inapendwa zaidi vijijini pia inapendwa na watu ambao hawakusoma/sio wasomi,ni kweli mkuu?
 
Kama nilivyosema muda siyo lrafiki kwa hawa ndugu zetu, wangetaka hivyo wangefanya kabla hata ya kuchukua hizo fomu huko NEC. Sasa kila mtu kesha chukua, je NEC ikiwapitisha wote watafanyaje na sisi mfumo wetu sio kama wa Kenya kuwa mnaweza kufanya Coalition baada ya kukubaliana namna ya kugawana hizo nafasi za ulaji na uongozi? Anyway tusubiri tuone.
Wewe subiri tu utaona. Upinzani Kuna akili kubwa
 
Back
Top Bottom