Uchaguzi 2020 Zitto: Mgombea atakuwa mmoja kati ya CHADEMA na ACT Wazalendo

Uchaguzi 2020 Zitto: Mgombea atakuwa mmoja kati ya CHADEMA na ACT Wazalendo

Hakutukanwa wala kukashiwiwa na mgombea mwenzake wa urais (JPM). Waliokuwa wanampa ndogo ndogo ni wapiga debe wa mpinzani wake (JPM) kama akina Msukuma ambao hawabanwi sana na hizo sheria na kanuni za kampeni za uchaguzi. Hata hivyo hizo ndogo ndogo walizokuwa wanampa zilikuwa za mafumbo mafumbo, zenye ustaarabu, after all huwezi kujua anaweza akaja akawa ndiyo rais wako. Ndiyo maana karudi kwenye kundi lake la wastaarabu.
'Hata hivyo hizo ndogo ndogo walizokuwa wanampa zilikuwa za mafumbo mafumbo, zenye ustaarabu'.

Lowassa alijinyea-Musukuma 2015

Kwa kweli ukiwa Ccm maneno kama hayo ni ya mafumbo na yenye ustaarabu kwa kiasi flani.
 
Hatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.

Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!

Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!

Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?

Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,

#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Aysee.. ckujua Kama kuna polisi makini hivi. Big up bro!
 
Wapinzani wanahangaika sana unadhani wamekalia moto ila dawa yenu ni Ile ile bila kupunguza dozi mpaka mtaacha kuweka wagombea
 
Hatutaki kupiga kura siku moja kabla, yale yale ya 2015 ya kuelekezwa tuandike namba zetu za vitambulisho vya kupigia kura, siku ya kupiga kura unaenda kupiga kura unaambiwa tayari ulishapiga.

Kwa wingi wetu polisi na jeshi la wananchi tunasema Sasa hivi hatutaki maelekezo, tunasimamia sheria, kanuni na taratibu za kazi!

Hatuwezi kuwadhulumu ndugu zetu watanzania kisa kulinda maslahi ya watawala, watanzania ni ndugu zetu, tupo nao pamoja!

Hata 2015 tulisimamia uchaguzi na bado kura tulipiga(kwa wale tuliokaidi maelekezo ya kuandika namba za vitambulisho), sasa mwaka huu kimebadilika nini hadi tupige kura siku moja kabla?

Elfu 60 za kusimamia tutazichukua, Watanzania watapiga kura, hakuna figisu itakayotokea vituoni, nyeusi itaitwa nyeusi, nyeupe itaitwa nyeupe,

#MAAGIZOKUTOKAJUUSASABASI!!
Ww sio polisi ila ni maandazi fulani hapo mtaani kwenu, kama kweli unajiamini kwa hayo maneno yako nenda kamwambie mkuu wako wa kazi
 
Lowassa alikuwa hajui kumwaga sumu kwa kutumia mdomo wake. Lissu anamwaga sumu acha kabisa.Hapo CCM wanatamani wamuue tu.

Toto Tundu anastaheresha. unajuwa tena Wasawahili tunavyopenda mipasho. Toto Tundu atabaki mfalme wa matusi na mipasho, na kila takapokwenda watu watajaa kustahereshwa, lakini itakapofika wakati wa kura atajikuta mwenyewe ndiyo maana anajihami eti asposhinda Tanzania nzima itaandamana. Nani aandamane kwa ajili ya kula yake. Yeye aliishatudharau na kudai eti yeye siyo mijnga watoto wake kusomea shule za kata. Sasa angioje sisi ambao watoto wetu wanasomea shule za kata kama tutamchaguwa yeye au yule ambae amejenga shule za kata zinazotupa matumaini.

Kama kweli Toto Tundu ni mwanasiasa mahiri anayetaka kutuletea mabadiliko atueleze ana mipango gani ya maendeleo ambayo ni mizuri kuliko hii iliyopo. Atueleza vipaumbele vyake vya maendeleo na jinsi atakavyo vigharamia. Hii habari ya katiba na tume uchaguzi kwa sasa tuiache. Tuangalie namna ya kyalinda ambayo yamefikiwa hadi sasa. Wanasiasa wanang'ang'ania yale yatayowasaidia wachaguliwe lakini yale ya kuwasaidia wananchi hawayatamki...No wonder it is all about what comes with being elected...money, money, money, money, money, money, money, money, money.
 
Umesahau mwaka 2015 Chadema na CUF waliungana tena chini ya Ngoyai akiwa kwenye peak, na bado CCM iliibuka kidedea?
Huo mwaka nilikuwa sayari nyingine huko ulimwenguni, kwani ilikuwaje...!?
 
Kwa asilimia 100 nilishaamini kuwa CCM tutaing'oa 2015 lakin haikuwa ivyo, MKAPA akafanya yake magu akapita. Sina hakika kwa msimu huu kama tutachukua kiti..

Hii nchi ilibidi iwe na vyama viwili tu vyenye nguvu na ushawishi kama ilivyo USA lakin sio kwa style hii vyama viingi kama ikulu kuna biashara. DRC kipindi ile kulikuwa na vyAma zaidi ya 40's vya kisiasA.

Kumbuka mwaka mwenge haukukimbizwa na ndiyo huwa una wafanya watu kuwa waoga
 
Toto Tundu anastaheresha. unajuwa tena Wasawahili tunavyopenda mipasho. Toto Tundu atabaki mfalme wa matusi na mipasho, na kila takapokwenda watu watajaa kustahereshwa, lakini itakapofika wakati wa kura atajikuta mwenyewe ndiyo maana anajihami eti asposhinda Tanzania nzima itaandamana. Nani aandamane kwa ajili ya kula yake. Yeye aliishatudharau na kudai eti yeye siyo mijnga watoto wake kusomea shule za kata. Sasa angioje sisi ambao watoto wetu wanasomea shule za kata kama tutamchaguwa yeye au yule ambae amejenga shule za kata zinazotupa matumaini.

Kama kweli Toto Tundu ni mwanasiasa mahiri anayetaka kutuletea mabadiliko atueleze ana mipango gani ya maendeleo ambayo ni mizuri kuliko hii iliyopo. Atueleza vipaumbele vyake vya maendeleo na jinsi atakavyo vigharamia. Hii habari ya katiba na tume uchaguzi kwa sasa tuiache. Tuangalie namna ya kyalinda ambayo yamefikiwa hadi sasa. Wanasiasa wanang'ang'ania yale yatayowasaidia wachaguliwe lakini yale ya kuwasaidia wananchi hawayatamki...No wonder it is all about what comes with being elected...money, money, money, money, money, money, money, money, money.
Hofu yangu mie ni goli la mkono vinginevyo ccm haifurukuti kama kila kura ingehesabiwa.
 
Kama nilivyosema muda siyo lrafiki kwa hawa ndugu zetu, wangetaka hivyo wangefanya kabla hata ya kuchukua hizo fomu huko NEC. Sasa kila mtu kesha chukua, je NEC ikiwapitisha wote watafanyaje na sisi mfumo wetu sio kama wa Kenya kuwa mnaweza kufanya Coalition baada ya kukubaliana namna ya kugawana hizo nafasi za ulaji na uongozi? Anyway tusubiri tuone.

Kwani si mmoja anaamua kujitoa tu kuna shida gani na uelewe kuwa wamechukua ili wapate clearance na NEC kwanza wangemuachia halafu NEC inamkataa ingekuwa knock-out
 
'Hata hivyo hizo ndogo ndogo walizokuwa wanampa zilikuwa za mafumbo mafumbo, zenye ustaarabu'.

Lowassa alijinyea-Musukuma 2015

Kwa kweli ukiwa Ccm maneno kama hayo ni ya mafumbo na yenye ustaarabu kwa kiasi flani.
Lowasa si ni kweli alikuwa mgonjwa wakati wa kampeni za 2015? Hakukuwa na uwongo kwenye hilo. Wapiga kura ilikuwa ni haki yao kulijua hilo kabla ya kutoa maamuzi ya raisi wamtakaye. Na Lissu pia anapaswa ajiandae kwa hizo ndogo ndogo za ukweli kuhusu afya yake physically and mentally kutoka kwa wapiga debe wa mpinzani wake. Ni dosari ambazo wananchi wanapaswa kuzijua kuhusu rais wanayetaka kumchagua. Ni lazima wajue kuwa huyo rais wao ana ulemavu wa kudumu wa miguu na mikono yake. Mguu wake wa kulia na mkono (hand) wake wa kulia hawezi kuukunja. Wananchi wanatakiwa kujua kuwa huyo rais wao hataweza kumudu mikiki mikiki ya kazi hiyo ya urais ikiwemo ya kuweza ku escape matukio hatarishi na kadhalika.

Wananchi wanapaswa kujua kuwa rais huyo watakayemchagua ana some permanent damage to some parts of his brain ganglias iliyosababishwa majeruhi aliyoyapata kwenye hilo shambulio la risasi 36 huko Dodoma 2017. Madhara haya ya anoxic permanent suprantentorial brain damage akiwa rais yanaweza kuathiri maamuzi yake katika baadhi ya maamuzi yake muhimu kwenye mambo ya uendeshaji wa nchi yetu. Haya ni mambo ambayo wapiga debe wa mpinzani wake wanapaswa kuwataarifu wananchi kwa lugha ya nyepesi nyepesi yenye ustaarabu ili wachague kitu wanachokijua.

Ni haki yao wapiga kura kujua kabla kwamba huyo watakayemchagua lazima atatumia kiasi kikubwa cha pesa za walipa kodi na muda mwingi wa kipindi chake cha urais kugharimia kujaribu kukarabati afya yake huko nchini kwa mabeberu. Hivyo miaka kadhaa (kama mitatu) atakuwa Ubelgiji kurekebisha miguu na mikono yake. Hata mwenyewe alishakiri na kusema kwamba madaktari wake walikuwa wamepanga kuuvunja upya huo mfupa wa mguu wake na kuuwekea antenna tena. Akawajibu,'Ngoja kwanza nirudi nyumbani nikagombee urais, nitarudi kuendelea na matibabu nikiwa rais na uwezo zaidi wa kulipia gharama yo yote ya matibabu'.

Ni haki ya wapiga kura kuyajua haya kuhusu wagombea wao wa urais kabla ya kufanya maamuzi kwenye sanduku la kura. Hii ndiyo kazi ya wapiga debe wa mpinzani wake katika kampeni hizo za uchaguzi. Wakina Msukuma na Bajaji wataziongea kwa mafumbo mafumbo yenye staha ya utu wake. Wataongea kwamba huyo jamaa ana mavyuma kibao mwilini mwake ambavyo ndani yake vimepandikizwa vyombo vya mawasiliano po pote alipo na station mbali mbali za mabeberu. Hivyo akiwa rais wa nchi yetu, mabeberu hao wataona na kusikia cho chote ambacho rais wetu atakuwa anasema au anafanya. Yaani hakutakuwa na siri wala salama kwa mabeberu (waporaji) wa nchi yetu. Nchi yetu itakuwa closely monitored na hawa mabeberu.

Hii ndiyo maana ya kampeni. Wagombea wana maximize weakness za mpinzani wao na kuzieleza kwa wapiga kura kwa lugha nyepesi nyepesi zisizokuwa na mauzi wala uwongo wo wote ili kuwashawishi wasimpe kura huyo mpinzani wao. Watawaeleza strengths za mgombea wao vs mpinzani wao ili wampe kura mgombea wao. Ndiyo maana ya kampeni.

Sasa huyu jamaa ku prove brain ganglias damage alizozipata anakuja na weakness za JPM kuwa ni kujenga bwawa la umeme la Mwl. Nyerere,, kununua ndege 11 kwa cash, kutumia matrillion ya pesa kujenga SGR, ma fly overs kila mahali nchini, maviwanja ya ndege kila mkoa hadi mkoa wa Geita huko Chato, Stieglers hydroelectric dam, kupanua bandari ya Dar na Mtwara, kutengeneza meli zaidi ya 20 kwenye ziwa la victoria, nyasa na tanganika, mashule kibao, hospitali na vituo vya afya kibao nk. Eti haya ni weakness za mpinzani wake kwani ni maendeleo ya vitu badala ya watu. Eti yeye atawaletea maendeleo ya watu kuweza kuandamana wakati wo wote na mahali po pote, watu wataweza kuropoka na kuandika au kurusha mtandaoni na kwenye television cho chote wanachojisikia hata kama ni masuala ya ushoga, ngono na kadhalika. Hizi ndizo strength zake.
 
Back
Top Bottom