'Hata hivyo hizo ndogo ndogo walizokuwa wanampa zilikuwa za mafumbo mafumbo, zenye ustaarabu'.
Lowassa alijinyea-Musukuma 2015
Kwa kweli ukiwa Ccm maneno kama hayo ni ya mafumbo na yenye ustaarabu kwa kiasi flani.
Lowasa si ni kweli alikuwa mgonjwa wakati wa kampeni za 2015? Hakukuwa na uwongo kwenye hilo. Wapiga kura ilikuwa ni haki yao kulijua hilo kabla ya kutoa maamuzi ya raisi wamtakaye. Na Lissu pia anapaswa ajiandae kwa hizo ndogo ndogo za ukweli kuhusu afya yake physically and mentally kutoka kwa wapiga debe wa mpinzani wake. Ni dosari ambazo wananchi wanapaswa kuzijua kuhusu rais wanayetaka kumchagua. Ni lazima wajue kuwa huyo rais wao ana ulemavu wa kudumu wa miguu na mikono yake. Mguu wake wa kulia na mkono (hand) wake wa kulia hawezi kuukunja. Wananchi wanatakiwa kujua kuwa huyo rais wao hataweza kumudu mikiki mikiki ya kazi hiyo ya urais ikiwemo ya kuweza ku escape matukio hatarishi na kadhalika.
Wananchi wanapaswa kujua kuwa rais huyo watakayemchagua ana some permanent damage to some parts of his brain ganglias iliyosababishwa majeruhi aliyoyapata kwenye hilo shambulio la risasi 36 huko Dodoma 2017. Madhara haya ya anoxic permanent suprantentorial brain damage akiwa rais yanaweza kuathiri maamuzi yake katika baadhi ya maamuzi yake muhimu kwenye mambo ya uendeshaji wa nchi yetu. Haya ni mambo ambayo wapiga debe wa mpinzani wake wanapaswa kuwataarifu wananchi kwa lugha ya nyepesi nyepesi yenye ustaarabu ili wachague kitu wanachokijua.
Ni haki yao wapiga kura kujua kabla kwamba huyo watakayemchagua lazima atatumia kiasi kikubwa cha pesa za walipa kodi na muda mwingi wa kipindi chake cha urais kugharimia kujaribu kukarabati afya yake huko nchini kwa mabeberu. Hivyo miaka kadhaa (kama mitatu) atakuwa Ubelgiji kurekebisha miguu na mikono yake. Hata mwenyewe alishakiri na kusema kwamba madaktari wake walikuwa wamepanga kuuvunja upya huo mfupa wa mguu wake na kuuwekea antenna tena. Akawajibu,'Ngoja kwanza nirudi nyumbani nikagombee urais, nitarudi kuendelea na matibabu nikiwa rais na uwezo zaidi wa kulipia gharama yo yote ya matibabu'.
Ni haki ya wapiga kura kuyajua haya kuhusu wagombea wao wa urais kabla ya kufanya maamuzi kwenye sanduku la kura. Hii ndiyo kazi ya wapiga debe wa mpinzani wake katika kampeni hizo za uchaguzi. Wakina Msukuma na Bajaji wataziongea kwa mafumbo mafumbo yenye staha ya utu wake. Wataongea kwamba huyo jamaa ana mavyuma kibao mwilini mwake ambavyo ndani yake vimepandikizwa vyombo vya mawasiliano po pote alipo na station mbali mbali za mabeberu. Hivyo akiwa rais wa nchi yetu, mabeberu hao wataona na kusikia cho chote ambacho rais wetu atakuwa anasema au anafanya. Yaani hakutakuwa na siri wala salama kwa mabeberu (waporaji) wa nchi yetu. Nchi yetu itakuwa closely monitored na hawa mabeberu.
Hii ndiyo maana ya kampeni. Wagombea wana maximize weakness za mpinzani wao na kuzieleza kwa wapiga kura kwa lugha nyepesi nyepesi zisizokuwa na mauzi wala uwongo wo wote ili kuwashawishi wasimpe kura huyo mpinzani wao. Watawaeleza strengths za mgombea wao vs mpinzani wao ili wampe kura mgombea wao. Ndiyo maana ya kampeni.
Sasa huyu jamaa ku prove brain ganglias damage alizozipata anakuja na weakness za JPM kuwa ni kujenga bwawa la umeme la Mwl. Nyerere,, kununua ndege 11 kwa cash, kutumia matrillion ya pesa kujenga SGR, ma fly overs kila mahali nchini, maviwanja ya ndege kila mkoa hadi mkoa wa Geita huko Chato, Stieglers hydroelectric dam, kupanua bandari ya Dar na Mtwara, kutengeneza meli zaidi ya 20 kwenye ziwa la victoria, nyasa na tanganika, mashule kibao, hospitali na vituo vya afya kibao nk. Eti haya ni weakness za mpinzani wake kwani ni maendeleo ya vitu badala ya watu. Eti yeye atawaletea maendeleo ya watu kuweza kuandamana wakati wo wote na mahali po pote, watu wataweza kuropoka na kuandika au kurusha mtandaoni na kwenye television cho chote wanachojisikia hata kama ni masuala ya ushoga, ngono na kadhalika. Hizi ndizo strength zake.