Uchaguzi 2020 Zitto: Mgombea atakuwa mmoja kati ya CHADEMA na ACT Wazalendo

Uchaguzi 2020 Zitto: Mgombea atakuwa mmoja kati ya CHADEMA na ACT Wazalendo

Jiwe sasa hivi yupo tuition ya kuzungu ili amkabili Lissu kwenye kujibu hoja.

Mmeamua kumnenepesha ng'ombe siku ya mnada?
Wapiga kura watanzania wanajua kiingereza Toka lini.
We huoni wakina msukuma na Kinajaji wanapita na ni lasaba, wapiga kura hawahitaji viingereza wanahitaji utatuzi wa shida zao.
 
Wapiga kura watanzania wanajua kiingereza Toka lini.
We huoni wakina msukuma na Kinajaji wanapita na ni lasaba, wapiga kura hawahitaji viingereza wanahitaji utatuzi wa shida zao.
Ndiyo maana mnawakimbiaga wageni wa kimataifa
 
Back
Top Bottom