Zitto: Msaidizi wa Maalim Seif alinipigia simu mara 4 kutaka kunijulisha msiba sikupokea ndipo akanipigia Rais Mwinyi nikapokea kwa mujibu wa sheria

Nani kasema Zitto Kabwe ndio alitakiwa kutangaza kifo?

Hiyo itifaki kila mtu anaijua ndio maana Zitto Kabwe amesema aliipokea hiyo simu kwa mujibu wa sheria maana yake ni kwamba vinginevyo asingepokea angeendelea kuogopa!
Zitto ni kiongozi mkuu wa chama, unafkiri Zitto atakapopata taarifa ya msiba anatakiwa afanye nini kwenye chama kama si kusimama kwenye jukwaa akawatangazia wenzake? Ndio mana alisubiri simu ya rais ili akipata taarifa huko kuwe na kauli ya pamoja kiprotocal.,

Mkuu em niambie wewe huogopi kifo?
 
Nadhani alijua mapema alipoenda kumuona kuwa hatoboi tena, zile πŸ“ž mfululizo alijua tu atakuwa kakiki ze baketi
 
Wachawi na wenye asili za kichawi ndio huwa hawana woga na taarifa za misiba ya wapendwa wao...
 
Pole yake sana kwa kushindwa kupokea simu sababu ya kuhofia kupokea taarifa mbaya...
 
Nimependa approach ya raisi Mwinyi ya kumtaarifu kwanza kiongozi mwenza wa Maalim then wakakubaliana wote kwa pamoja taifa litangaziwe... Then ndo chama kikatangaza...

Nadhani huku bara Zitto angepata taarifa kupitia tangazo la serikali🀣🀣
 
Kwani Zitto Kabwe siyo Binadamu. Hakuna Binadamu ambaye anauwezo wa kuvumilia kufiwa na mtu wake wa karibu.
Ila Sifa za kuwa Rais kuwa anazo au hana umezingatia nini?
Kiujumla Zitto Kabwe nimemgundua ameanza kuelewa maana halisi ya kufuata sheria
 
Umepanick eeeπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Hivi wabongo mnaelewa kweli au ni uzuzu tu yeye kasems hakutaka kupokea habari mbaya kwa wakati huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…