Huu ni msimu wa mvua, ni bora wangejikita kwenye kilimo zaidi kuliko mambo ya siasa.
Jambo la maana kwako ni uzinduzi wa tuta la kuchepusha maki rufijiZitto anauhakika wa chama chake kuwa ndani ya serikali ya umoja wakitaifa Zanzibar.
Lissu yeye kakimbia mapema sana.
kwanye hayo maojiano yao akuna jambo jipya la maana watakalo sema.
Huu ni msimu wa mvua, ni bora wangejikita kwenye kilimo zaidi kuliko mambo ya siasa.
Matokeo ya shule na kugalagazwa kwa hao vibaraka wa mabeberu inaingilianaje haapaa??Umesikia kuna waliofutiwa matokeo ya darasa la saba? Hao walioagiza matokeo yafutwe ndio walioagiza wizi wa kura juzi!
TAARIFA: Kiongozi wa @ACTwazalendo, @zittokabwe na Makamu M/kiti wa @ChademaTz, @TunduALissu kuzungumza katika Mkutano wa pamoja na waandishi kesho Novemba 23, 2020 saa 8 mchana kupitia Zoom kuhusu kilichojiri baada ya Uchaguzi TZ na Umuhimu wa Jumuiya za Kimataifa kwa Tanzania.
View attachment 1632410
Huwezi kushinda vita Kwa kupitia zoomMapambano yanaendelea.
Matusi ya nini? Juepushe na matusi. Nyumbu mama yako, full stopNyumbu msijitoe ufahamu hii fedha ilitolewa na ilivuma kwamba Tanzania imepata fedha ya kupambana na corona na sio mkopo kama ilivyopewa Kenya. Jibu ni rahisi tu zimetumika katika utafiti wa kupambana na corona.
Kwanza tayari wananuka harufu ya Ushoga, Upapeti. Wametuthibitishia wenyewe wanatumiwa na wanaowatumia tuewafahamu tayari, Lengo lao na azma yao nikuandaa tunaichukia Serikali iliyopo madarakani na kuikwamisha isitoe huduma nzuri kwa Wananchi ili Wananchi waichukie Serikali kwa Maslahi ya matumbo yao, tuliisha waelewe saaana kuwa wao toilet paper wanatumiwa na watatupwa ili waliowatumia wasinuuke harufu chaafu, Tunajua Fika yoote kuhangaika Zitto Kabwe lipa Madeni ya Watu ulimkopa Ally Chisala mpaka umemsababishia ameshindwa kumuhudumia Mke wake ; na wewe Tundu Lissu nenda katoe hata K si ulisema ni haki ili usamehewe ile bilioni 40 uliyokopa 😂😂😂😂😂 naona tutakuwa tumeelewana.Huu ni msimu wa mvua, ni bora wangejikita kwenye kilimo zaidi kuliko mambo ya siasa.
Ingawa ni haki ya kikatiba kuandamana kwa amani, lakini kwa namna Jeshi la Polisi la Sisiem lilivyopiga mkwara, inawezekana kweli watanzania wajitokeze kuandamana?Kuandamana ni njia moja, ila njia ziko nyingi. Wananchi bado ni waoga kwa njia hiyo, ila huko tutafika tu. Hata Nyerere hakupata uhuru wa nchi hii kwa vita bali alitumia njia mbadala.
Kiongozi wa ACT WAZALENDO na makamu mwenyekiti wa CHADEMA.Wanazungumza kama akina nani?!
Kwanini mliwahi kuwakamata hao viongozi wa maandamano?Muelekeo gani tena unataka wauseme? Walisema tuandamane, hatukuandamana unataka waseme nini tena?
Mkopo na msaada ni vitu viwili tofauti. Serikali ilienda kuomba msaada wa kupambana na Covid-19 lakini matumizi yake hayakwenda kwenye suala waliloomba.Nikupe mkopo/msaada halafu nikupangie matumizi? Kwamba umeniona mimi sina uwezo wa kupanga matumizi ya fedha? Kenya wamepewa pesa zimepigwa na wanasiasa mbona hawahoji? Kwa nini wahoji Tanzania?
Rwanda hali ya kidemocrasia iko very worse kuliko Tanzania. Hawa jamaa hawajawahi kuhoji kinachoendelea Rwanda. Hata Uganda democracy ni very poor. Je hawa jamaa wanatupenda sana watanzania? Kuweni macho.
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Vitu vingine ni vichekesho sana sasa wewe hata ujiulizi kwanini Zito hajachaguliwa na chama chake kwa cheo chochote eti leo anazungumzia demokrasia .Hakuna cheo kinachoitwa kiongozi Mkuu katika Mfumo wa vyama vingi Tanzania. Mwambieni kuwa hana sifa ya kukisemea chama maana hana wadhifa Wowote .siyo M/kit,katibu wala chochote.TAARIFA: Kiongozi wa @ACTwazalendo, @zittokabwe na Makamu M/kiti wa @ChademaTz, @TunduALissu kuzungumza katika Mkutano wa pamoja na waandishi kesho Novemba 23, 2020 saa 8 mchana kupitia Zoom kuhusu kilichojiri baada ya Uchaguzi TZ na Umuhimu wa Jumuiya za Kimataifa kwa Tanzania.
View attachment 1632410
Eagerly waiting to hear what is in offing.TAARIFA: Kiongozi wa @ACTwazalendo, @zittokabwe na Makamu M/kiti wa @ChademaTz, @TunduALissu kuzungumza katika Mkutano wa pamoja na waandishi kesho Novemba 23, 2020 saa 8 mchana kupitia Zoom kuhusu kilichojiri baada ya Uchaguzi TZ na Umuhimu wa Jumuiya za Kimataifa kwa Tanzania.
View attachment 1632410
Tena wafadhili baada ya kuuliza matumizi ya pesa zao wameitwa “hooligans who sit in a Eurpean Parliament “.Naamini watatoa a well reasoned, articulated response, waepuke kutoa kauli kama za Kabudi, mtu anakwambia fedha zangu umezitumiaje wakati uansema huna ugonjwa, wewe unaleta kejeli eti sisi ni nchi huru!
Hapa umemzungumza Jiwe kabisa bila kujijua!Hawa jamaa huwa wanajiona wana akili kuliko watanzania wengine sijui kwanini
Si waoga, wale Askari wa Kirundi wangetuua.Kuandamana ni njia moja, ila njia ziko nyingi. Wananchi bado ni waoga kwa njia hiyo, ila huko tutafika tu. Hata Nyerere hakupata uhuru wa nchi hii kwa vita bali alitumia njia mbadala.