#COVID19 Zitto: Nimepima, nimekutwa na maambukizi ya UVIKO. Naendelea vema

#COVID19 Zitto: Nimepima, nimekutwa na maambukizi ya UVIKO. Naendelea vema

Zitto

Former MP Kigoma Urban
Joined
Mar 2, 2007
Posts
1,562
Reaction score
10,888
Jana nimepima nikakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.

Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.

Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.

Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
 
Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.

Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.

Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.

Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Pole mkuu. Uzuri mmoja hii “Omicron” inaenea kwa kasi sana lakini siyo as deadly as that delta variant.

Juzi kwenye kikao na rais ulivaa barakoa?
 
Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.

Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.

Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.

Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Piga nyungu mkuu.
 
Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.

Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.

Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.

Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Kwahiyo kama huna maumivu ila mafua na juzi tulikuona mzima mafua ndio yanasababisha mpaka ukae da kupima?!!!
Siasa za kitoto hizo,
 
Juzi ulikuwa kwenye kikao,uliugua lini,ulizidiwa lini? Umepata nafuu lini?

Umemaliza kutumika kwenye issue ya Mbowe,umeamua kutumika Kama dalali wa Corona?

JPM alishatuondolea hofu,kawatishe wa kwenu Kigoma,sisi Corona ni mafua ya kawaida.
Neema ya Bwana yatosha.
 
Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.

Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.

Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.

Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Hata mm braza zito ,Mungu akulinde upone haraka

USSR
 
uipata muda leo pita mahakamani kumsalimia mwenyekiti, upendo wako unahitajika zaid kwake kipindi hiki
 
Back
Top Bottom