mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya Spana kuzidi kule Twitter naona Zito kaja kivingine.Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Kutafuta huruma na kuhamisha mjadala.Pole sana ila bado wengi hawawezi kukuamini maana matendo na maneno yako huwa ni tata wakati mwingine. Wengi watajua wewe ni mzima ila una maana nyingine tu
Acha kutia watu hofu kwa tamaa ya umaarufu na kipato na sifa za kijingaJana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Kalipwa kufanya tangazo la biashara kama matangazo mengine yanavyolipiwa
Juzi kwenye kikao na rais ulivaa barakoa?[emoji848][emoji15][emoji2827]Pole mkuu. Uzuri mmoja hii “Omicron” inaenea kwa kasi sana lakini siyo as deadly as that delta variant.
Juzi kwenye kikao na rais ulivaa barakoa?
Tangu 2019 hadi leo bado tu wiki 2 hazijaisha?Mungu atunusuru maana wanasema January itakuwa hatari
USSR
Hata 2019 ilianza hivi hivi hamko salama to that extent , kufikia march tutaona,,Pole sana....
hii hali imekumba wengi sana siku za karibuni hasa Dar es salaam... Mafua makali, kikohozi, homa kali ghafla nk...ndani ya siku tatu inakuchapa halafu unakuwa poa..
Piga tizi kidogo, maji mengi, chai ya tangawizi, kula vizuri, Muombe Mungu itakuachia fasta..
Si labda baada ya hutba na ukaingia[emoji23][emoji23]
HahahahaKalipwa kufanya tangazo la biashara kama matangazo mengine yanavyolipiwa
Pole sanaJana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Nyungu ulikuwa ushirikina wa yule dhalim mwendazakemlipuko wa uviko ushaingia mjini, watu kibao wana homa, mafua na kikohozi. Cha kushangaza sijasikia watu wakizungumzia mambo ya nyungu sijui kwa nini safari hii.
Hili nalo nenoHuyu bwana ni vigumu kumwamini kutokana na historia yake. Yawezekana anatumika kama ubao wa matangazo ya kuhimiza chanjo.