Huyu tangu aseme uongo masjid cna hamu nae
Katiba mpya iwe na vipengele vya kuwahusu wahuni, matapeli na viroboto pasi na kuwa angalia usoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu tangu aseme uongo masjid cna hamu nae
Kwa hiyo alikuwa kwenye kusanyiko?Juzi ulikua kwenye mkutano ndo ulikopatia hiyo corona, chadema walikua mbele ya muda kuiona hiyo hatari
Unaenda kwingine sasa, VVU imetoka wapi sasa?Hivo angepata maambukizo ya VVU pia angeweka hadharani hivi.
Jana nimepima nikakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Binafsi sichanji kama na ww umeonja hela za Corona kivyakoJana nimepima nikakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Sitasahau March mwaka huu 2021 alitudangaya kuhusu habari ya afya ya "Bwana yule".
Yep. Na kupima ni damn expensive! Hiyo waachie tu watu wa PR wanasiasa.COVID tunayo wengi sema hatujapima basi
Uliipata kwa yule bibi anayedai wewe ni "Mwanae"Jana nimepima nikakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Pambana na hali yako,kijana gani mnafiki kuliko mchawiJana nimepima nikakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Kweli mkuuYep. Na kupima ni damn expensive! Hiyo waachie tu watu wa PR wanasiasa.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app