KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
"Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa" - propaganda imeanza hapa..kila la heri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
F*CK OFfWajinga bado wengi sana hii nchi! JPM brainwashed this nation
someone"s medical information is for his either his own use or share with his/her personal doctor. Tuambie basi na mengine unayoumwa kama wewe umeamua kuwa muwaziJuzi ulikuwa kwenye kikao,uliugua lini,ulizidiwa lini? Umepata nafuu lini?
Umemaliza kutumika kwenye issue ya Mbowe,umeamua kutumika Kama dalali wa Corona?
JPM alishatuondolea hofu,kawatishe wa kwenu Kigoma,sisi Corona ni mafua ya kawaida.
Neema ya Bwana yatosha.
Hii hatari Sasa, maana juzi umekua kwenye kikao Cha vyama, WENDA wameisha ukwaa wengine mliokua naoJana nimepima nikakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
hamia ccm upewe shavu.Jana nimepima nikakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Siku hizi kujitangaza mtu ana Corona ni Kama usitaarabu fulani,ila mtu akiwa anaharisha hajitangazi.someone"s medical information is for his either his own use or share with his/her personal doctor. Tuambie basi na mengine unayoumwa kama wewe umeamua kuwa muwazi
Kumbe wewe mjanja unayechomwa sumu isiyoweza kukukinga🤣🤣🤣🤣.Wajinga bado wengi sana hii nchi! JPM brainwashed this nation
Jana nimepima nikakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.
Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.
Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.
Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Wengi na nani?COVID tunayo wengi sema hatujapima basi