#COVID19 Zitto: Nimepima, nimekutwa na maambukizi ya UVIKO. Naendelea vema

#COVID19 Zitto: Nimepima, nimekutwa na maambukizi ya UVIKO. Naendelea vema

Mheshimiwa Zito Kabwe huku mtaani tunasumbuliwa na Corona- upinzani.
Watawala bado hawajaikubali. Ila kama ilivyo Katiba ni suala la muda tu!!

Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
 
Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.

Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.

Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.

Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Pole sana Bwana Zitto
 
Pole sana Mheshimiwa, nakuombea afya njema.
 
mlipuko wa uviko ushaingia mjini, watu kibao wana homa, mafua na kikohozi. Cha kushangaza sijasikia watu wakizungumzia mambo ya nyungu sijui kwa nini safari hii.
Hilo swali tuwaulize Gwajima, Jafo na Kabudi
 
Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.

Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.

Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.

Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
Zitto wewe nae una siasa za kishamba na zilizopitwa na wakati yani kwa akili yako utaweza kutuamisha kwenye Mjadala wa maigizo uliyofanya wewe na Samia na kujifanya umemuombea Mbowe msamaha wakati unajua hana kosa aliloklifanya au unataka kusema kuwa na wewe kama dada yako Samia una ushahidi kuwa Mbowe ni gaidi na alifanya ugaidi? hivyo ulitaka asamehewe kwa kufanya ugaidi?

Unakuja na mjadala wa wewe kuumwa Covid na kusoma vitabu ukifikiri hili ni jukwaa la wajinga wajinga kama ambao umezoea kuwadanganya kule twitter? Hivi ninani hajui kuwa lengo lako nikutengeneza mazingira ya wewe kuonekana unapingana na serikali kuhusu kirusi kipya na kuwa na wagonjwa wa korona? juzi tuu majariwa amepinga nchi kuwa na wagonjwa na wewe leo umesema unaumwa ....
Hivi haya maigizo mnayoyapanga wewe na serikali mnafikiri watu hawayaelewi? yani baadae unataka watu waone wewe huwa unaipinga serikali hahahaha kumbe ni maigizo kama uliyoyafanya wewe na samia Dodoma.

Acha utoto usitutoe kwenye mjadala wa Mbowe tunajua wewe ni mshirika wa karibu wa CCM hivyo unatumika kuandaa maigizo mengi sana lakini this time tunayatambua mapema....
Juzi ulikuwa na Rais pale Dom ni wazi umemuambukiza Corona au wote mlio kuwa pale mna Corona? unajaribu kutengeneza treding story ili tusahau ulicho kifanya pale Dom.... yani mmepanga mumuachie mbowe kwa kile mnachoita msamaha halafu mmwende kujipongeza wewe na CCM halafu upate ujiko hahaha
Humpati mtu wewe
 
Ni wakati muafaka sasa wa Serikali kuchanja kwa lazima kama nchi majirani, na sehemu za huduma za kijamii zihudumie wale tu wenye cheti cha kuchanja! Tukiwaendekeza hawa Vinjeketile Ngwale hatutofika popote
 
Ongezea na Msukuma, hawa jamaa kwa kweli !! Hivi ile dawa ya madagascar zijui ipo wapi?

IMG_20211211_082805_567.jpg
 
Jana nimepima nakukutwa na virusi vya Korona (COVID 19). Sina maumivu yoyote mpaka sasa zaidi ya mafua tu lakini nimekutwa positive.

Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili kutoambukiza wengine mpaka hapo nitakapopima tena.

Nawaomba muendelee kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa maji tiririka na kujiepusha na mikusanyiko.

Corona bado ipo, chukua tahadhari na walinde wengine.
KWANI HAKUCHANJA MPAKA LEO?
 
Asitufanye wajinga kuhamisha mjadala..mtoto wa Mbowe kasema baba yao hajamtuma mtu amuombee msamaha
 
Pole mkuu. Uzuri mmoja hii “Omicron” inaenea kwa kasi sana lakini siyo as deadly as that delta variant.

Juzi kwenye kikao na rais ulivaa barakoa?

Asante, huyo harudi kukujibu
 
Back
Top Bottom