Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Hakuna mtu anayeacha siasa kwa kupenda, zitto atakuja funguka tu, there is one key principle in politics, when the road ahead narrows, take the right or left route, if you insist on heading on the narrow road, you will end up where you started.
 
c
CDM ina majembe mengi sana hivyo kuachia ngazi kwa ZITTO tayari jembe lingine litashikilia nafasi na mziki utaendelea kama kawaida na wala haina wasi kwahilo. labda mngesema CUF anaondoka maalim SEIF hapo ndo watu watashtuka sababu CUF majembe yanahesabika.
 
Swali la msingi ni kua how much can we trust politicians( and here I mean ANY) in Danganyikaland?
 

You are great thinker! uzi mzuri wa kupima akili za watu na milengo yao. Hata hivyo inaweza kuwa ni uamzi mzuri sana....siasa za Tanzania 2015 ngumu kama jiwe ila walio kama maji ndo watashinda.
 
Inaonekana jamaa (ZZK) anapenda sana kuitwa Lecturer! Si kwamba keshachuma za kutosha kwa hiyo anaangalia upepo halafu baadae anarudi kupitia CHAUMA??
 
Hongera sana Zitto kwa uamuzi wako. Chuoni ni rahisi kuleta impact na bado ukawa very independent in your thinking. Hakuna bulling wala manipulation of your mind. Kila mtu anaweza akafanya kazi zake na ku test theory zake independently na uki succeed unapata credit yako accordingly.
 
Hakuna mtu anayeacha siasa kwa kupenda, zitto atakuja funguka tu, there is one key principle in politics, when the road ahead narrows, take the right or left route, if you insist on heading on the narrow road, you will end up where you started.

Nimeprmda sana hii mkuu, kula LIKE!
 
mnyama mwenye sifa za mamalia na ndege POPO.....

Zitto is a Trator yeye na wengine wengi wa CCM na CDM wanajua....

Unajua is better to be loyal to the team than to the truth...,,,,kwenye jeshi wale traitors toka jeshi jingine wakiwaletea habari jeshi jingine mwishoni wale wale wanao pewa habari humuuwa yule mpashaji habari maana wanajua atafanya hivyo kwao pia ...anakuwa hana muamana.

Ningependa kuona upinzani unaimarika zaidi ni muhimu katika ustawi wa nchi ,haipendezi kuona mtu yuko upinzani akitumiwa na chama tawala downlow .Hata chama pinzani chochote kikichukua nchi na kuwa chama tawala still vyama vitakavyokuwa vya upinzania vitakuwa na umuhimu ule ule katika ustawi wa taifa hasa as watch dog
 

Nani atakayejuta? Zitto kaamua mwenyewe agombei nyie kinawawasha nini? Hivi kichwa chako kina ubongo au kimejaa matofari?
 

royal ni loyal
 
474 users browsing this thread. (75 members and 399 guests)-zitto unapendwa sana you dont deserve to do that,you are a real leader
 
Mimi naona Mh. Zitto anapiga mahesabu ya mbali. Anajua katiba mpya mbunge hawezi kuwa waziri hivyo anajiweka mbali ili rais ajae aweze kumpa uwaziri. Nina uhakika kutokana na uwezo wake hawezi kuachwa nje kwani ni jembe kwelikweli
 
Fisadi wa kwanza kupumua atakuwa Dr. Slaa.

Halafu kijana wa Slaa, Ben Saanane, naye atakuwa hana tena sababu ya kutembea na sumu mfukoni!
Mech ya jana nani kashinda vile kati ya Man U na Chelsea
 
Mgombea urais Chadema kabakia Dr.Slaa peke.

Mbowe, hawezi tena kugombea katiba mpya mgombea urais lazima Degree.


Babu akigombea chadema chali,kwa sababu hawawezi kukubali kuruhusu mtu mwingine agombee.
 
Kuna uzi wake wa ujenzi kauanzisha wana lumumba muungeni mkono tujenge taifa maana hamuonekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…