Zitto: Taarifa ya TRA kukusanya trilioni 2 ni ya kubumba

Zitto: Taarifa ya TRA kukusanya trilioni 2 ni ya kubumba

Kuna watu wanaumia sana na mafanikio ya kiongozi shupavu Jemedari JPM. Leteni ushahidi kupinga data za TRA.
 
Kwani huko anakokimbilia BoT siyo serikali?!

BoT haina nafasi nzuri ya kuongopa kama TRA. Ameitaja BoT kama sehemu ambapo taarifa za TRA nk, ni rahisi kupishana na wapika data wengine. Ifahamike Zito ni mtanzania asiyependa kulishwa data za kupika. Kama watanzania wengine wanalishwa taarifa za kupika, sio lazima na Zito naye akubali kulishwa data za kupika.
 
Tanzania imebeba image ya mtu mmoja na kutambulika duniani Kwa uongo uongo eti covid Tz hamna mpaka leo wazungu wanacheka.Eti dunia nzima Tz ndo haina covid case.
Ipo?
 
Umaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili.

Serikali imetoa taarifa kwa wananchi kwamba mwezi December 2020 imekusanya kodi tsh trillion 2.

Anaibuka mtu anabisha kwamba siyo kweli na kwamba yeye ndio atatoa taarifa sahihi baada ya kupitia makabrasha ya BoT.

Huyu Zitto Kabwe ni nani hasa maana hata bungeni hayumo?!

Maendeleo hayana vyama!
Ilipotamkwa trillion 2..hata Mwanangu alicheka.
 
Umaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili.

Serikali imetoa taarifa kwa wananchi kwamba mwezi December 2020 imekusanya kodi tsh trillion 2.

Anaibuka mtu anabisha kwamba siyo kweli na kwamba yeye ndio atatoa taarifa sahihi baada ya kupitia makabrasha ya BoT.

Huyu Zitto Kabwe ni nani hasa maana hata bungeni hayumo?!

Maendeleo hayana vyabe
just a taxpayer, though he has the right to question the authority upon it nor you. And he did it for public interest.
 
Zito Kabwe anawewesekaweweseka tu akili ameshikiwa na Amstredam.
 
Mimi hela yangu ikiingia Bank naikombaga yote ,sitaki ujinga kwa kweli .Nimefungua account nyumbani kwangu na nina namba ya Safaricom .Kibiashara chenyewe kidogo jamani na Tra wanakungangania .fikiria ujawahi ingiza 4m lakin wanakuambia kulingana na mahesabu kodi 9m duuu
 
Umaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili.

Serikali imetoa taarifa kwa wananchi kwamba mwezi December 2020 imekusanya kodi tsh trillion 2.

Anaibuka mtu anabisha kwamba siyo kweli na kwamba yeye ndio atatoa taarifa sahihi baada ya kupitia makabrasha ya BoT.

Huyu Zitto Kabwe ni nani hasa maana hata bungeni hayumo?!

Maendeleo hayana vyama!
Akili ya Zitto na wewe ni sawa na usiku na mchana .
 
Hakuna muujiza wowote ule. Kilichofanyika sasaivi ni hela zote za serikali zinakusanywa na TRA. Kama hadi mamlaka za Ngorongoro na Tanapa na uhamiaji zimenyang’anywa kukusanya mapato ya utalii na imepelekewa TRA hizo figures wala hazishangazi. Tena utalii ukirudi kwenye hali yake tutakuja kutangaziwa imefikia hata trillion 4 na washamba wakashangaa kumbe hizo hela zilikuwepo tangu zamani sema zilikuwa zinaingia serikalini kupitia taasisi nyingine.
LOGIC
 
Mimi hela yangu ikiingia Bank naikombaga yote ,sitaki ujinga kwa kweli .Nimefungua account nyumbani kwangu na nina namba ya Safaricom .Kibiashara chenyewe kidogo jamani na Tra wanakungangania .fikiria ujawahi ingiza 4m lakin wanakuambia kulingana na mahesabu kodi 9m duuu
Mliambiwa hamkuamini.Mpk muone.
 
Nachambua Taarifa za Benki Kuu za mapato kulinganisha na Taarifa ya TRA.
Kumbe hata kuchambua taarifa ya Not hajamaliza,kihere here Cha nini?

Zitto haaminiki, aliwahi kusema nchi Ina Tani 90 tu za akiba ya chakula.
 
Back
Top Bottom