Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko serikali Zanzibar siyo ya jiweIla siku hizi ZZK yuko Serikalini, Kwani hawajadiliani haya huko
Ulitakaje??Leo kwakuwa zito amepinga kazi nzuri za serikali, huko ufipani kawa shujaaa gafla. Ndiomaaana mumekimbia hapa kuposti fastaa
Kwani huko anakokimbilia BoT siyo serikali?!
Kusema takwimu za " kubumba" ndio kutoa maoni bwashee?
Ipo?Tanzania imebeba image ya mtu mmoja na kutambulika duniani Kwa uongo uongo eti covid Tz hamna mpaka leo wazungu wanacheka.Eti dunia nzima Tz ndo haina covid case.
Ilipotamkwa trillion 2..hata Mwanangu alicheka.Umaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili.
Serikali imetoa taarifa kwa wananchi kwamba mwezi December 2020 imekusanya kodi tsh trillion 2.
Anaibuka mtu anabisha kwamba siyo kweli na kwamba yeye ndio atatoa taarifa sahihi baada ya kupitia makabrasha ya BoT.
Huyu Zitto Kabwe ni nani hasa maana hata bungeni hayumo?!
Maendeleo hayana vyama!
Alicheka kwa sababu haijui!Ilipotamkwa trillion 2..hata Mwanangu alicheka.
just a taxpayer, though he has the right to question the authority upon it nor you. And he did it for public interest.Umaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili.
Serikali imetoa taarifa kwa wananchi kwamba mwezi December 2020 imekusanya kodi tsh trillion 2.
Anaibuka mtu anabisha kwamba siyo kweli na kwamba yeye ndio atatoa taarifa sahihi baada ya kupitia makabrasha ya BoT.
Huyu Zitto Kabwe ni nani hasa maana hata bungeni hayumo?!
Maendeleo hayana vyabe
Anaijua hadi kuiandika anaweza, nimemshangaa kwa nini amemcheka bosi wa TRA.Alicheka kwa sababu haijui!
Tanzania imebeba image ya mtu mmoja na kutambulika duniani Kwa uongo uongo eti covid Tz hamna mpaka leo wazungu wanacheka.Eti dunia nzima Tz ndo haina covid case.
Akili ya Zitto na wewe ni sawa na usiku na mchana .Umaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili.
Serikali imetoa taarifa kwa wananchi kwamba mwezi December 2020 imekusanya kodi tsh trillion 2.
Anaibuka mtu anabisha kwamba siyo kweli na kwamba yeye ndio atatoa taarifa sahihi baada ya kupitia makabrasha ya BoT.
Huyu Zitto Kabwe ni nani hasa maana hata bungeni hayumo?!
Maendeleo hayana vyama!
Acha kuchanganya mada , ukipewa ukweli kuhusu hili ni imani yangu utachoma moto hiyo kadi ya ccm , Aibu !Zitto huyu aliyewahadaa Chadema mnamuamini
LOGICHakuna muujiza wowote ule. Kilichofanyika sasaivi ni hela zote za serikali zinakusanywa na TRA. Kama hadi mamlaka za Ngorongoro na Tanapa na uhamiaji zimenyang’anywa kukusanya mapato ya utalii na imepelekewa TRA hizo figures wala hazishangazi. Tena utalii ukirudi kwenye hali yake tutakuja kutangaziwa imefikia hata trillion 4 na washamba wakashangaa kumbe hizo hela zilikuwepo tangu zamani sema zilikuwa zinaingia serikalini kupitia taasisi nyingine.
Mliambiwa hamkuamini.Mpk muone.Mimi hela yangu ikiingia Bank naikombaga yote ,sitaki ujinga kwa kweli .Nimefungua account nyumbani kwangu na nina namba ya Safaricom .Kibiashara chenyewe kidogo jamani na Tra wanakungangania .fikiria ujawahi ingiza 4m lakin wanakuambia kulingana na mahesabu kodi 9m duuu
Kumbe hata kuchambua taarifa ya Not hajamaliza,kihere here Cha nini?Nachambua Taarifa za Benki Kuu za mapato kulinganisha na Taarifa ya TRA.
Sisi Thomaso, watupe breakdown including VaT inayotakiwa kuwa refunded .Ndio maana tumewapongezaMliambiwa hamkuamini.Mpk muone.
Siyo kuhamia Dodoma tena!Acha uongo wako hapa!Kwanza kumbuka mwenyewe alitamka kuwa hataongeza mishahara kwasababu anajenga reli na kugharamia miradi mingine.