Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Alijua zinatosha kununulia pipi.Ilipotamkwa trillion 2..hata Mwanangu alicheka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijua zinatosha kununulia pipi.Ilipotamkwa trillion 2..hata Mwanangu alicheka.
Kwa hali ya uchumi kwasasa ilivyo ni ngumu kwa serikali Kukusanya 2trillion kwa mwezi december ni uongo mtupu Zitto yupo sahihi kuhoji.
Kwani serikali ni nani mpaka isihojiwe?Umaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili...
Hii serikali usishangae ukaambiwa,tatizo hii awamu fix sana ngumu kuiamini
Weka dataTanzania imebeba image ya mtu mmoja na kutambulika duniani Kwa uongo uongo eti covid Tz hamna mpaka leo wazungu wanacheka.Eti dunia nzima Tz ndo haina covid case.
Mtu mwenyewe anayembishia Zitto ukute alikimbia shule kidato cha 2!!!.Zitto ni mtanzania mwenye akili nyingi kuliko wewe.
Weka data
TRA long form is:Zitto ni Zitto
We ni nani hadi uiamini hiyo TRA?
Kwa taarifa yako ukiamini kila taarifa mbeleni utalia kwa uliowaamini. (Never trust anybody)
Hivi kweli December tu hicho kiasi?
Lakini pia jenga tabia ya kujiridhisha kwanza kwa kila jambo ndiposa uamini hizo taarifa
Huyo ni kiongozi mkuu wa chama cha ACT, chama kimojawapo maarufu cha siasa nchini Tanzania, kifupi yeye ni mwanasiasa na ni miongoni mwa public figures nchini humo na ni mtaalamu wa Uchumi na ameshakuwa mbunge kwa vipindi kadhaa.Huyu Zitto Kabwe ni nani hasa maana hata bungeni hayumo?!
Ilipotamkwa trillion 2..hata Mwanangu alicheka.
Huyo jamaa nibamfahamu hata hicho kidato cha kwanza hakijuiMtu mwenyewe anayembishia Zitto ukute alikimbia shule kidato cha 2!!!.
Na wewe ni Nani Mpaka umuulize Zitto ni naniUmaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili...
Watakwambia kuwa walisha fanya maombiHalafu anasemaje kuwa hakuna covid-19 wakati watu hawapimi?Au anauangaliaje ugonjwa?
Wewe mwenyewe ni kilaza tuZito ni mchumia tuu km kina mbowe,wanatengeneza tonge kwa kutumia akili za wapumbavu wachache wanaoamini kila saa serkal haiko sawa..mtakaa ssana
Huyo ni mramba miguu wa lumumbaNa wewe ni Nani Mpaka umuulize Zitto ni nani