Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa huwa hawakubali ukweli,wanaoangalia kasema nani,hawajui kuwa hakuna mtu aliyezaliwa kusema ukweli tu.Acha kuchanganya mada , ukipewa ukweli kuhusu hili ni imani yangu utachoma moto hiyo kadi ya ccm , Aibu !
Zito mda mfupi ujao atakabidhi chama kwa maalim sefu kisha na yeye kutimkia chama kingine,tatizo hii awamu fix sana ngumu kuiamini
Mkuu TRA ni Taasisi ya Umma na zito ni mtanzania, fikiria mkuu na kodi ni hela zetu so inaruhisiwa kuhoji...Umaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili...
TATIZO FIKSI ZIMETAMALAKI!Taarifa imetolewa na Katibu mkuu wa Hazina, unashindwaje kuiamini?
Kwa sababu haaminikiTaarifa imetolewa na Katibu mkuu wa Hazina, unashindwaje kuiamini?
Mbona unakimbilia kumuita mpumbavu jee ukiitwa juha utafurahi?ZITTO ni mpumbavu kati ya wapumbavu walio wengi nchi hii.
KILA MKOA UNA TARGET na KILE WALICHOKUSANYA na inaonekana wazi kabisa ukizijumuisha hizo amount zinafika bila shida. Mfano ukilipa kodi yoyote ile pesa inaonekana kwenye mifumo ya kodi. Malengo huonekana na makusanyo huonekana na kwa % zake pia. So naona Zitto ni mpumbavu na asiyejielewa.
Kwani na na wewe ni nani kuanza kuhoji uhalali wa Zitto kukinzana na taarifa ya TRA?Umaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili.
Serikali imetoa taarifa kwa wananchi kwamba mwezi December 2020 imekusanya kodi tsh trillion 2...
Ishu sio Zito,hao TRA wajibu hoja,Umaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili....
Nu mchumi mahiri,na mtafiti makini sanaUmaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili....
Zitto ni mtanzania mwenye akili nyingi kuliko wewe.Umaarufu hautafutwi kwa nguvu huja kwa maarifa na matumizi ya akili...
Shetani alihoji na kumpinga Mungu.Kwani serikali ni Mungu mpaka isipingwe au kuhojiwa?
Kwani wewe hujui kuwa MATAGA woote wana amini kuwa Jiwe ndiye Yesu wao?Kwani serikali ni Mungu mpaka isipingwe au kuhojiwa?
Bila fix tutashuhudia anguko kubwa sanatatizo hii awamu fix sana ngumu kuiamini
Hiyo kweli kabisaLumumba ni kiwanda cha uongo na majungu
Ccm kiwanda cha uongoTaarifa imetolewa na Katibu mkuu wa Hazina, unashindwaje kuiamini?