makondekoujiji
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 384
- 499
Nimekuja mbio nikidhani umejibu maswali ya jamaa uliemtag... Kumbe ujinga tu.Tukubali jambo moja, tulikuwa na kiongozi anayefanya maamuzi kwa kukurupuka.
Uliona wapi kiongozi anamfukuza mfanyakazi mwenye mkataba wa kazi kwa kuwauliza watu waliopo kwenye mkutano, 'Nimtumbue sasa hivi au nimwache?; Wananzengo nao wanajibu, "tumbua"; halafu mfalme anasema, "Kabwe, nimekwishakutumbua". Kweli unaamini huyo ni kiongozi anayeweza kutafakari kabla ya maamuzi?
Ndio maana JPM aliamua kutosikiliza hawa wanasiasa. Sometimes wanatushawishi mambo ambayo mlango wa nyuma wametumwa. Pamoja na heshima yangu kwa Zitto Sometimes nafikiri huongea mambo kwa influence! Ile vita yake na IPTL nilifikiri imemfungua shida yetu ya nishati lakini kwa kauli hii ananipa wasiwasi!Hiyo gesi anamiliki nani, na bei ya huo umeme ingekuwa kiasi gani?
Je hii Stigler serikali inachimba yenyewe??Gas hapana, labda kama ingekuwa serikali ndo wanachimba wenyewe!
Nitapinga wote wanaopiga kelele za umeme wa gas! Sababu kubwa ikiwa gas inachimbwaa na makampuni binafsi tena ya nje! Wao ndo wanapanga bei gani wauzie Tanesco! Tanesco hawatakuwa na control na huu umeme kwa hiyo wananchi tutauziwa kwa bei ya juu sana.
Hii itasababisha maisha kuwa ya gharama zaidi!
Afadhali HEP ambayo less costly, na unazalishwa na serikali ambayo watakuwa na direct control. So mwananchi hataumia sana.
Tunampinga Magufuli kwa mambo mengi ila kwa hili la Bwawa la Nyerere tupige kelele kwa kila mmoja mradi uendelee kwa 100%.
Hii project iendelee
nimemsikiliza akijumlisha 40,80 halafu 150 halafu 300 jumla akaja na figure ya 3500
Gas hapana, labda kama ingekuwa serikali ndo wanachimba wenyewe!
Nitapinga wote wanaopiga kelele za umeme wa gas! Sababu kubwa ikiwa gas inachimbwaa na makampuni binafsi tena ya nje! Wao ndo wanapanga bei gani wauzie Tanesco! Tanesco hawatakuwa na control na huu umeme kwa hiyo wananchi tutauziwa kwa bei ya juu sana.
Hii itasababisha maisha kuwa ya gharama zaidi!
Afadhali HEP ambayo less costly, na unazalishwa na serikali ambayo watakuwa na direct control. So mwananchi hataumia sana.
Tunampinga Magufuli kwa mambo mengi ila kwa hili la Bwawa la Nyerere tupige kelele kwa kila mmoja mradi uendelee kwa 100%.
Hii project iendelee
Hakukua na namna sahihi ya kufanya zaidi ya hiyo,JNHPP ni bora ukilinganisha na njia ya pili ambayo tayari kina JK walikua wameshaingia chaka..Mimi hapa hata ubaya wote(unaosemekana) kufanya namuunga mkono
Tatizo langu ni jinsi alivyokua Anafanya miradi hiyo. Kama vile anashindana na watu Fulani/wananchi anajaribu kuprove wrong,matokeo yake aliingia kwa haraka bila utafiti wa kimazingira na kifedha
Na mwisho wake tunaona sasa mradi umemaliza hela zote mtaani na una hatihati ya kutoka milima na pia mrad unatekelezwa kwa feasibility study ya mwaka 1970. Yaaani kama haya ni kweli na ule mradi utashindikana,ntaumiq sana mimi kwakua itakua ni muda wa kupigwa vizuri sasa na hawa wa ges. Na hasara kwa vizazi na vizazi
Vyovyote iwavyo hakuna mtu atanibadilisha msimamo wangu kuwa jamaa alikua ana mapenzi sana na malengo makubwa juu ya Tanzania,ila mawazo yalikua kichwani make,kuyabadili kuyatenda hilo ni swala la debate na tutamjadili kwa toka sasa na vizazi na vizazi
Stigler ni mradi WA serikali, ila gesi sio mradi WA serikali, ni Mali ya wachina walipewa Kwa miaka 100 na mzee kikwete ili wasimnyonge mtoto wake ridhiwani alipokamatwa na madawa ya kulevya China.Je hii Stigler serikali inachimba yenyewe??
Na Hayati alitoa hela zake mwenyewe kujenga Stigler? Je zile hela za rambirambi alizoiba kwanini asifukuliwe azirudishe?Stigler ni mradi WA serikali, ila gesi sio mradi WA serikali, ni Mali ya wachina walipewa Kwa miaka 100 na mzee kikwete ili wasimnyonge mtoto wake ridhiwani alipokamatwa na madawa ya kulevya China.
Akili zako zipo mkun. duni mwako wewe.Jinga kabisaNa Hayati alitoa hela zake mwenyewe kujenga Stigler? Je zile hela za rambirambi alizoiba kwanini asifukuliwe azirudishe?
So far kuna umeme wa gas bei ni sh.ngapi?Hiyo gesi anamiliki nani, na bei ya huo umeme ingekuwa kiasi gani?
Zitto mtaalam wa Electrical engineering 😅😅Uchambuzi wa ripoti ya CAG ulofanywa na chama cha ACT WAZALENDO inasema tulidharau na kuutupa mradi wa umeme wa gesi ambao tulishakopa fedha China wenye wenye uwezo wa kuzalisha MW 3500 tukakimbilia mradi mpya wa umeme wa Maji wenye kutoa MW 2110 kwa gharama ya Tillioni 6 matokeo yake tumekopa madeni mara mbili kwenye lengo moja.
Tayari nimeshakuwini kisaikolojia na ndio hicho nilikuwa nataka na kutafutaAkili zako zipo mkun. duni mwako wewe.Jinga kabisa
Unahitaji akili kiasi gani kujua kwamba umeme unaozalishwa kwa gesi ni ghali kuliko umeme unaozalishwa kwa nguvu ya maji! Pumbafu kabisa.So far kuna umeme wa gas bei ni sh.ngapi?
Afu usiwe mjinga ndugu kinachoamua bei sio wingi wa umeme bali gharama na soko lake