Zitto: Umeme wa Gesi ungezalisha MW 3,500 zaidi ya wa Maji

Zitto: Umeme wa Gesi ungezalisha MW 3,500 zaidi ya wa Maji

Tukubali jambo moja, tulikuwa na kiongozi anayefanya maamuzi kwa kukurupuka.

Uliona wapi kiongozi anamfukuza mfanyakazi mwenye mkataba wa kazi kwa kuwauliza watu waliopo kwenye mkutano, 'Nimtumbue sasa hivi au nimwache?; Wananzengo nao wanajibu, "tumbua"; halafu mfalme anasema, "Kabwe, nimekwishakutumbua". Kweli unaamini huyo ni kiongozi anayeweza kutafakari kabla ya maamuzi?
Nimekuja mbio nikidhani umejibu maswali ya jamaa uliemtag... Kumbe ujinga tu.
 
Hiyo gesi anamiliki nani, na bei ya huo umeme ingekuwa kiasi gani?
Ndio maana JPM aliamua kutosikiliza hawa wanasiasa. Sometimes wanatushawishi mambo ambayo mlango wa nyuma wametumwa. Pamoja na heshima yangu kwa Zitto Sometimes nafikiri huongea mambo kwa influence! Ile vita yake na IPTL nilifikiri imemfungua shida yetu ya nishati lakini kwa kauli hii ananipa wasiwasi!

Jana PM kasema umeme wa maji ni cheap na bei yake haiwezi kuzidi kati ya sh 36 na kizidi sana sh 50! Gesi ni expensive! Tunaweza kuweka nguvu nyingi kwenye umeme wa maji then gas ikatumika kwa matumizi mengine na hata kuuza zaidi nje.
 
Madalali wanahangaika kunadi gesi iuziwe Tanesco!!!timeshapigwa sana na hawa wawekezaji wa nje wao walichimba wakiwa na soko lao .Wauzie private sekta kwa nini wakomalie kuuzia Tanesco.Wauze nje sio lazima watuuzie sisi

Zitto kabwe naye anapigia kelele udalali tu hakuna kitu.

Toka Magufuñi kwa hovi vimegawati vidogo tulivyonavyo umeme uko vizuri..Kuliko awamu zilizopita zilizotegemea sekta binafsi sana kutwa tukawa tunapigwa pesa na umeme wenyewe wa shida.Tusubiri bwawa letu.
 
ITV walitukatia Ni Kama hawskutaka tusikilize uchambuzi wote au baadhi ya vipengere
 
Gas hapana, labda kama ingekuwa serikali ndo wanachimba wenyewe!

Nitapinga wote wanaopiga kelele za umeme wa gas! Sababu kubwa ikiwa gas inachimbwaa na makampuni binafsi tena ya nje! Wao ndo wanapanga bei gani wauzie Tanesco! Tanesco hawatakuwa na control na huu umeme kwa hiyo wananchi tutauziwa kwa bei ya juu sana.

Hii itasababisha maisha kuwa ya gharama zaidi!

Afadhali HEP ambayo less costly, na unazalishwa na serikali ambayo watakuwa na direct control. So mwananchi hataumia sana.

Tunampinga Magufuli kwa mambo mengi ila kwa hili la Bwawa la Nyerere tupige kelele kwa kila mmoja mradi uendelee kwa 100%.

Hii project iendelee
Je hii Stigler serikali inachimba yenyewe??
 
nimemsikiliza akijumlisha 40,80 halafu 150 halafu 300 jumla akaja na figure ya 3500

Acha Nae huyo Jamaa huenda Anatumiwa na Mabeberu tuu....
Watuache na Stiegliers yetu...
Kwani wanajua fika ngoma ikikamilika watakosa pa kusema...
Gharama itakuwa chini na wananchi watafurahi Kutakuwa hakuna tena malalamiko so wanatafuta chocho baya ndio tuingie....
Gas ni gharamaaaa...
Hatutakiiiiiii!
Huenfa Kuna Kundi linapinga na Kufanya Mbinu Mradi wa Stirgliers usikamilike ila Jana Waziri mkuu kahakikisha Utakamilika Kwa Wakati!
Ni Kusimamia Kauli yake tuu kila Mtu yeyote hata wewe mkuu sdma Piga Kelele Popote Kuutetea Huu Mradi...
Utakuwa ndio Kitu tangible cha Kusemea kinachoonekana sasa wengi hawapendi wanaona Madili yao Yamepigwa chaliiiii
Papapap,....Kukukukuu,Tututuuu in Magu’s voice[emoji16][emoji23]
 
Ndugu yangu viongozi walio wengi wa maccm na Afrika kwa ujumla huwa. Wanataka Kuanzisha miradi mipya ambayo watapiga ten percent

Hiyo gas ilikuwa tayari walioanza walichukua cha kwao mapema kea hiyo waliokuwa wakaona hatutapata chetu ngoja tuanzishe miradi yao ndio matokeo yake hayo sasa.

Hata Bagamoyo Magu hakutaka kuendeleza kea vile haukua ukanda wao na tayari waliouanzisha walichukua chao mapema
 
Gas hapana, labda kama ingekuwa serikali ndo wanachimba wenyewe!

Nitapinga wote wanaopiga kelele za umeme wa gas! Sababu kubwa ikiwa gas inachimbwaa na makampuni binafsi tena ya nje! Wao ndo wanapanga bei gani wauzie Tanesco! Tanesco hawatakuwa na control na huu umeme kwa hiyo wananchi tutauziwa kwa bei ya juu sana.

Hii itasababisha maisha kuwa ya gharama zaidi!

Afadhali HEP ambayo less costly, na unazalishwa na serikali ambayo watakuwa na direct control. So mwananchi hataumia sana.

Tunampinga Magufuli kwa mambo mengi ila kwa hili la Bwawa la Nyerere tupige kelele kwa kila mmoja mradi uendelee kwa 100%.

Hii project iendelee

Mkuu unetoa Madini Mengi sanaaa natamani watu wengi wakusome...
Wwngine wanajua ssma wana Maslahi yao kwenye Gas....
Ni Kweli Gas Wanachimba Wazungu huko Baharini halafu wanatuuzia sisi tunachakata then ndio tunaisafirisha kuja Dar es salaam!
Watu wengi hawajui hili....
Cc:
jingalao
Natamani mkuu ikiwezekana anzisha uzi kuwatanabaisha watu wajue gas kule inakochimbwe ni ya Makampuni ya wazungu!
Sasa Umeme tunapataje uwe Rahisi?
Jingalao waambie watu.
mwanawao kaelezea Vema mnooo nimemuelewa sana!
 
JNHPP ni bora ukilinganisha na njia ya pili ambayo tayari kina JK walikua wameshaingia chaka..Mimi hapa hata ubaya wote(unaosemekana) kufanya namuunga mkono

Tatizo langu ni jinsi alivyokua Anafanya miradi hiyo. Kama vile anashindana na watu Fulani/wananchi anajaribu kuprove wrong,matokeo yake aliingia kwa haraka bila utafiti wa kimazingira na kifedha

Na mwisho wake tunaona sasa mradi umemaliza hela zote mtaani na una hatihati ya kutoka milima na pia mrad unatekelezwa kwa feasibility study ya mwaka 1970. Yaaani kama haya ni kweli na ule mradi utashindikana,ntaumiq sana mimi kwakua itakua ni muda wa kupigwa vizuri sasa na hawa wa ges. Na hasara kwa vizazi na vizazi

Vyovyote iwavyo hakuna mtu atanibadilisha msimamo wangu kuwa jamaa alikua ana mapenzi sana na malengo makubwa juu ya Tanzania,ila mawazo yalikua kichwani make,kuyabadili kuyatenda hilo ni swala la debate na tutamjadili kwa toka sasa na vizazi na vizazi
Hakukua na namna sahihi ya kufanya zaidi ya hiyo,

Ukiwasikiliza watanzania nakuambia hutafanya lolote na mwisho wa siku watakutukana tu.
 
Stigler ni mradi WA serikali, ila gesi sio mradi WA serikali, ni Mali ya wachina walipewa Kwa miaka 100 na mzee kikwete ili wasimnyonge mtoto wake ridhiwani alipokamatwa na madawa ya kulevya China.
Na Hayati alitoa hela zake mwenyewe kujenga Stigler? Je zile hela za rambirambi alizoiba kwanini asifukuliwe azirudishe?
 
Uchambuzi wa ripoti ya CAG ulofanywa na chama cha ACT WAZALENDO inasema tulidharau na kuutupa mradi wa umeme wa gesi ambao tulishakopa fedha China wenye wenye uwezo wa kuzalisha MW 3500 tukakimbilia mradi mpya wa umeme wa Maji wenye kutoa MW 2110 kwa gharama ya Tillioni 6 matokeo yake tumekopa madeni mara mbili kwenye lengo moja.
Zitto mtaalam wa Electrical engineering 😅😅
 
Waligawana vitalu vya gesi hata Zitto kabwe anavyo wakajipanga kutukupiga wananchi hadi tukome.Viongozi wengi wa awamu ya nne waligawana vitalu kule kama kama mpira wa kona

Sisi tuliopigwa kwa miradi ya kifisafi ya umeme ya private setor tumejifunza mengi baada ya magufuli kuingia umeme uñiokuwa ukikatika katika kila siku wakidingizia sisi tuna vimegawati kiduchu kukakoma

Magufuli akajidundulizia huto huto tumegawato tudogo twa kwenye tu mito.twetu ambato.mabe etu wanaimba kuwa havifai hadi leo tunajipatia umeme wa uhakika kutoka huto.tumito twetu kwa gharama nafuu

Gesi wametupiga basi waendele na gesi yao sisi tuendelee na tu.mito twetu.na tubwawa twetu.Chukueni gesi yenu mliyotupora nendeni mkainywe au kuogea kama mkiona haiuziki nje ya nchi na ndani haina soko.Mliporo ichukueni bebeni hata kwenye mapipa katumieni kwenu
 
Mimi naona shida ya umeme sio kubwa Sana Kwa sasa ndio maana watu wanahisi tumesahau tulikotoka na wanajua watanzania niwasahaulifu Sana.
Twende taratibu na bwawa la mwalimu Nyerere likamilike, usipotosha tutaongeza na huo wa gesi miaka Mingi mbele.
 
Back
Top Bottom