Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

Huna Akili hata chembe. Nilidhani unataka kusema Jambo la maana kumbe unataka kuwachangisha watz washibishe matumbo ya kina bashite na kina ole sabaya na babu yao meko.
 
... duh! Kila mtanzania kwa sasa ni profesa wa covid-19!
 
Kwa ushenzi waliofanya wakutofunga mipaka .
Mpaka athali zinatukuta.
Siungi mkono
Na naomba watu wasichangie
.Kama wameamua Tufe acha tufe wote tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... lakini si kuna mfuko wa maafa? Mfuko ambao fedha zake zinatengwa moja kwa moja kutoka hazina ya taifa kila mwaka? Fedha hizo zimeenda wapi? Pili, si tunaambiwa nchi haina shida ya fedha kwa sasa? Kwamba nchi hii ni tajiri sana? Ya nini kuwachangisha wananchi wanyonge?
 
sisi ni tajiri. naona matajiri wanataka kuchangishana!
 
Kununua ndege hatuchangishani. Ila kupambana na magonjwa tuchangishane. Maana yake ni kwamba hatujui tofauti kati ya vitu muhimu na vitu vya lazima!
 
Jambo muhimu na la haraka ambalo Serikali inataliwa kulitolea tamko ni kuhusu kodi wanazolipa wafanyabiashara kila mwezi, mwaka nk.
Je ni muhimu Serikali kutoa Tax holiday kwa wafanyabiashara kwa kipindi Fulani?
 
Mbona thread yangu imegeuzwa na kuwa comment? Tatizo ni nini labda? Au sisi wengine haturuhisiwi kuanzisha topic kwa maana mawazo yetu ni finyu au?
 
Kiongozi wa chama, mshauri na mtaalamu wa kila jambo. Iwe uchumi, iwe siasa, iwe sayansi, ni mwandishi habari, mtunzi wa vitabu, n.k.
Nionavyo hakuna anachojua. Ni kama wale warembo wa kurasa za magazeti.
 
Kaka Zitto, muishinikize serikali ifunge mipaka kwa muda jamani tunaangamia! Uhai wa raia ni zaidi ya haya mambo ya uchumi.
 
Sasa kwanini mnamtishia kifo?
 
Mbona serikali haijaleta mvua lakini mafuriko yakisomba daraja mnajenga na kuwatumbua watu wa ujenzi? Kwani nani kasema Corona imeletwa na serikali? Huko ni kutusanifu wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…