Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

Weee umekuwa msemaji wa serikali? Weee nyumbani kwako hata ugali huna unakuja hapa kuchonga na kisimu chako cha tecno
 
When kolona come marchin in , tuta tafutana. Ndugu watanzania huo ndio ukweli.
 
makosa yalifanywa October 2015.
tusirudie makosa October 2020.
 
Nilichoambulia hapa: Wafanyakazi kwenye sekta zilizo hatarini...addendum
Utalii: Ni rahisi kujua watalii hawa wanatoka wapi-dhibiti wale wanaotoka kwenye nchi zilizoathirika, zinajulikana.
Kweli wafanyakazi katika sekta hii wapewe kipaumbele, iwe ni elimu kuhusu madhara na kujikinga au kufidia gharama kama wataathirika kiuchumi na kiafya. I second.
Kwasasa, walio mstari wa mbele ni wa huduma za Usafirishaji na uchukuzi, wajue kwamba wao ndio wataweza kuondoa ufinyu wa Chakula na gharama ziambatanazo na usambazaji. Wajizatiti kwa kinga na walewe umuhimu wao katika hali hii....sio mbaya hata JKT wakasaidia.
Hakuna siasa wakati kuna janga kama hili, bali Uzalendo.
Aluta continua.
 
Na kwa wale wapenda kuvaa mask wasikilize hii
 
Mataifa mengi duniani yamehimiza raia kufanya kazi wakiwa majumbani na viwanda kufungwa na mikusanyiko mbalimbali kuhairishwa vile vile usafiri wa umma kufungwa hadi corona itakapothibitiwa.

Tanzania tumeambiwa tufanye kazi na miradi yote iendelee na viwanda kuendelea na kazi na mikusanyiko mbalimbali kuendelea.
Kwani tukisimamisha shughuli mbali mbali kwa ajili ya corona mapato yataporomoka na uchumi utayumba, serikali itakosa mapato, wafanyakazi hawatalipwa hali itakua mbaya kiuchumi serikali itafilisika. Mwisho wa siku watu watajazana majumbani bila pesa hali itakua mbaya watu wataandamana na hakutakua na wakuwazuia kwani hakuna pesa ya kuwalipa polisi/jeshi mshahara kuzuia maandamano, mwisho wa siku watu wataandamana hadi maeneo nyeti bila kizuizi.

Cha muhimu tuendelee kufanya kazi acha tufe na corona ila tuhakikishe uchumi hauyumbi serikali ikakosa mapato ikashindwa kujiendesha, ikafilisikamwisho watu wakaandamana ikawa balaa, tujitahidi corona isiturudishe nyuma tukashindwa kufika 2025.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ndiyo unaelewa sasa watu ndio chanzo cha vitambi vyenu na bado hamuwaheshimu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaiabisha ngazi ya elimu yake kwa kuwa na mawazo ya kitoto namna hiyo! Wala hana wasi wasi yuko baridi kabisa, hajali, haoni, ni kama alien asiyejua yanayoendelea duniani!

Huyu hatutakii mema hata kidogo ni Rais wa hovyo sana.

Ndio maana hili janga wanaliendesha kisiasa badala ya kuwa na Daktari wa kitengo husika kuwa msemaji wa Corona!

What a pathetic regeme with poor leaders!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni bora mkafie tu kwa corona kuliko serikali ifilisike hata uchaguzi bado mkikaa majumbani mwezzi tuu mtaandaman serikali iwape pesa mwisho wake mtaingia magogoni. Hatutaki habali hizo bado tuna miaka mingine mitano magogoni kafieni tu viwandani na corona muombeni mungu shetani ashindwe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…