Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

Hiyo mishahara mizima huisha ndani ya siku mbili, sasa hiyo nusu itakuwaje. Acha wapate sungura wao kama ilivyozoeleka. Wakati wa kugawana hako kasungura haujafika bado.
 
Mataifa mengi duniani yamehimiza raia kufanya kazi wakiwa majumbani na viwanda kufungwa na mikusanyiko mbalimbali kuhairishwa vile vile usafiri wa umma kufungwa hadi corona itakapothibitiwa.

Tanzania tumeambiwa tufanye kazi na miradi yote iendelee na viwanda kuendelea na kazi na mikusanyiko mbalimbali kuendelea.
Kwani tukisimamisha shughuli mbali mbali kwa ajili ya corona mapato yataporomoka na uchumi utayumba, serikali itakosa mapato, wafanyakazi hawatalipwa hali itakua mbaya kiuchumi serikali itafilisika. Mwisho wa siku watu watajazana majumbani bila pesa hali itakua mbaya watu wataandamana na hakutakua na wakuwazuia kwani hakuna pesa ya kuwalipa polisi/jeshi mshahara kuzuia maandamano, mwisho wa siku watu wataandamana hadi maeneo nyeti bila kizuizi.

Cha muhimi tuendelee kufanya kazi acha tufe na corona ila tuhakikishe uchumi hauyumbi serikali ikakosa mapato ikashindwa kujiendesha, ikafilisikamwisho watu wakaandamana ikawa balaa, tujitahidi corona isiturudishe nyuma tukashindwa kufika 2025.



Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mm ninesikiliza hotuba ya rais vizuri, huenda weww hujamuelewa. Kasema tuchukue taadhari na hapo hapo tuchape kazi. Mkuu ila kama wewe utapenda kukaa nyumbani bila kufanya kazi kaa tu kumbuka ukikaa bila kufanya kazi yoyote chakula pia kitakuw cha tabu
 
Aisee mm ninesikiliza hotuba ya rais vizuri, huenda weww hujamuelewa. Kasema tuchukue taadhari na hapo hapo tuchape kazi. Mkuu ila kama wewe utapenda kukaa nyumbani bila kufanya kazi kaa tu kumbuka ukikaa bila kufanya kazi yoyote chakula pia kitakuw cha tabu

Nimesisitiza kufanya kazi au hujasoma


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua maana ya sisi wananchi ww?sema wewe na sio sisi halafu alie lock down ni nani huyo mtumishi au serikali? Kwanza we mwananchi wa nchi gani kwanza?
 
Hiyo nusu nyingine watalipwa na nani? marekani wametoa dola 1000 kwa kila raia. nilitarajia serikali inge top up laki tano kwenye mshahra wa kila mtumishi wake ili kupambana na kuyumba kwa uchumi kulikosababishwa na korona pamoja na kutoa pesa kwa makampuni yaliyoyumba kimtaji
 
Ndio shida ya kuwa na nchi yenye vilaza wengi na ambao hawajawai kufaulu kipindi cha maisha yao yote hapo wivu unakusumbua tuu. Kama maisha yamekushinda Rudi shule ukasome na wewe ili uje kujidai
Kutokana na ugonjwa wa kichina uliosababisha taasisi nyingi kuwa locked down ikuwemo shule
Sisi Wananchi tunaiomba serkali iwalipe nusu mshahara wafanyakazi ambao wanapumzika nyumbani ili kwamba hizo fedha zisaidie katika kupambana na huu ugonjwa ulioletwa na wachina

Tuungane kupambana na huu ugonjwa ulioletwa na watu wabaya kutokana na tamaa ya kula mizogo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali itafirisika.... !? Itakosa mapato!
Akiba ya BOT itasaidia, wahisani wapo watatukopesha...
 
Kumbe Coronavirus ni shateni, watanzania tukeshe tukiomba ile tumshinde huyu shetani. Ni jambo la ajabu karne hii ya 21 kutamkwa na mtu mwenye elimu ya Phd
Hopeless comment! Unajua shetani ni nini?
 
Back
Top Bottom