Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Lumumba huwa inasajiri Mazuzu?Kutokana na ugonjwa wa corona uliosababisha taasisi nyingi kuwa locked down ikuwemo shule
Sisi Wananchi tunaiomba serkali iwalipe nusu mshahara wafanyakazi ambao wanapumzika nyumbani ili kwamba hizo fedha zisaidie katika kupambana na huu ugonjwa ulioletwa na wachina
Tuungane kupambana na huu ugonjwa ulioletwa na watu wabaya kutokana na tamaa ya kula mizogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app